Nimemuelewa muha ila anajaza ndugu kwake bila kujali uwezo

Nimemuelewa muha ila anajaza ndugu kwake bila kujali uwezo

Waha ni wachapakazi...wanawake Kwa wanaume..akileta ndugu tafuta biashara uwaaajiri....wanakuja kutafuta Tu maisha...mpe Duka akileta ndugu analeta cheap labour....Wengi wakikaa vizuri wanahama...waha sio omba omba ..
Jirani yangu ana maduka ya jumla ni Muha. Kajenga na vyumba back yard kawaweka wanamfanyia kazi zake.
 
Sasa mkuu pussy ule wewe,huku unatuhadithia tu utamu unaopata Kwa muha mwenye tako,kisha out of blue unataka tuumize kichwa kuwaza ni namna Gani unaweza kuendelea kula utamu bila jau?No way mkuu ukitaka asali lazima un'gatwe na nyuki,jikaze bob.
Umemaliza mkuu. Mods naomba ufunge uzi🤣🤣🤣
 
Jirani yangu ana maduka ya jumla ni Muha. Kajenga na vyumba back yard kawaweka wanamfanyia kazi zake.
Ñwajua waha wauza machungwa waliojenga nyumba zaidi ya moja...
Wadada waha wapo wanaosafiri Burundi-kigoma-dar kuuza vitenge..
Waha Wengi wahangaikaji....hawapendi dharau...

Hao wanaolala sebuleni Leo Kwa dada Yao baada ya miaka miatano utasikia walishajenga
 
Mimi nimeoa Muha yuko vizuri sana! Ana jamaa zake lakini hawaji hapa mara kwa mara, inaweza kupita hata miezi na wakija ni wa kuondoka siku hiyo!
Kama sikosei hizo tabia wanazo Wasambaa, Wajaluo na Wagogo!
WAGOGO mshipa wa aibu ulikatika.
 
  • Kicheko
Reactions: BRB
Itakuaje kama zahanati wakati wewe ndio utakua kichwa wa nyumba unatoa maelekezo. Au wewe unapenda kua submissive to a woman?
Ni kweli mkuu sasa yeye anataka kumuoa lakini anataka mwanamke awe na maendeleo ili iweje, Mwanaume ndiyo anafanya maendeleo kwenye familia na siyo kumtegemea mwanamke afanye maendeleo ndani ya familia, chunguza wanawake wenye kazi nzuri na mshahara mzuri wanakuwa hawana maendeleo, Maendeleo yao ni kuvaa kupanga sehemu nzur na kukodi usafiri.
 
hakiii nakwambia!
Kuna siku mtoto wangu by then alikuwa na miaka kama minne, aliuliza kwa sauti, sasa kwani humo mnakaa watu wa ngapi?
Nilijskia vibaaaaya!
AHAHAHHAHAHA siku hizi ni mkubwa nikimkumbusha anasema we mama acha tu, nimegundua maisha at some poit huwa ni magumu sana!
Huo ni ujinga kwa kweli.
 
Waha ni wachapakazi...wanawake Kwa wanaume..akileta ndugu tafuta biashara uwaaajiri....wanakuja kutafuta Tu maisha...mpe Duka akileta ndugu analeta cheap labour....Wengi wakikaa vizuri wanahama...waha sio omba omba ..
Kwa Hapa umeongea Pointi.

Wanakuja mjini sababu ya Shida tu ila hawabweteki wakipewa fursa kidogo tu wanachomoka.
 
Bila salamu!

Sifa nyingi anazo, msikivu, mtamu, ana tako, mpambanaji, ana heshima, mvumilivu na kadhalika. Na mimi hapa nimemuelewa, ila kwa sasa tatizo naloliona ni moja tu.

Anajaza ndugu sana kwake. Ananishi chumba na sebule lakini wageni hawakauki. Kwa wiki mara 2 mpaka tatu. Kuna nyakati wanaweza kuwa hata wanne, najiuliza wanalalaje pale.

Bado ni mtu anayejitafuta kimaisha naona kama atachelewa kufanya maendeleo kwa sababu matumizi ya kuhudumia ndugu ni makubwa kuliko kipato. Hata hela anazonichuna nyingi ni za kuzidiwa mahitaji ya nyumbani.

Sasa najiuliza kama tu hapo hana nafasi inakuwa hivyoz akihamia kwangu je si itakuwa kama zahanati?

Naambiwa hapa kwamba ndio tabia za waha. Ni kweli? Mnazimuduje?
Shida yako wewe OKWI tumekujua unataka ukienda kwake umunyandue kwenye geto lake.

Sasa ukikuta ndugu zake stimu zinakata
😆😆
 
Nisikilize mimi mkuu. Hapa leo kuna wengine wanaondoka, ijumaa wanakuja wengine. Lakini sioni akijutia, namsikilizia tu
Duuh Hii sasa imezidi.....hebu mshitue basi huenda amelala usingizi.

Hao ndugu nao inaonekana hawana kazi ya kufanya.

wapeni kazi
 
Bila salamu!

Sifa nyingi anazo, msikivu, mtamu, ana tako, mpambanaji, ana heshima, mvumilivu na kadhalika. Na mimi hapa nimemuelewa, ila kwa sasa tatizo naloliona ni moja tu.

Anajaza ndugu sana kwake. Ananishi chumba na sebule lakini wageni hawakauki. Kwa wiki mara 2 mpaka tatu. Kuna nyakati wanaweza kuwa hata wanne, najiuliza wanalalaje pale.

Bado ni mtu anayejitafuta kimaisha naona kama atachelewa kufanya maendeleo kwa sababu matumizi ya kuhudumia ndugu ni makubwa kuliko kipato. Hata hela anazonichuna nyingi ni za kuzidiwa mahitaji ya nyumbani.

Sasa najiuliza kama tu hapo hana nafasi inakuwa hivyoz akihamia kwangu je si itakuwa kama zahanati?

Naambiwa hapa kwamba ndio tabia za waha. Ni kweli? Mnazimuduje?

Chukua mke, hayo yanazungumzika
 
The same red flags you ignored in the beginning of a relationship will be the reason it all ends
 
Uzuri wa waha wana antenna ndefu ukipiga machine ile mbuzi kagomwa kwenda kuchinjwa unakuwa kama umevaa ndom jiantena ukipizi na kuchomoa dushe inavuta moja kwa moja no need ya kitambaa
 
Back
Top Bottom