Lamomy JF-Expert Member Joined Sep 4, 2023 Posts 25,425 Reaction score 59,309 Jan 26, 2024 #41 Half american said: Ndugu nawapenda ila sio hao wa january to december hawakauki. Waje lakini sio kila siku Click to expand... Acha uchoyo
Half american said: Ndugu nawapenda ila sio hao wa january to december hawakauki. Waje lakini sio kila siku Click to expand... Acha uchoyo
N ngakotecture JF-Expert Member Joined Dec 30, 2014 Posts 2,569 Reaction score 2,847 Jan 29, 2024 #42 sysafiri said: Mimi nimeoa Muha yuko vizuri sana! Ana jamaa zake lakini hawaji hapa mara kwa mara, inaweza kupita hata miezi na wakija ni wa kuondoka siku hiyo! Kama sikosei hizo tabia wanazo Wasambaa, Wajaluo na Wagogo! Click to expand... Duh hadi wasambaaa?
sysafiri said: Mimi nimeoa Muha yuko vizuri sana! Ana jamaa zake lakini hawaji hapa mara kwa mara, inaweza kupita hata miezi na wakija ni wa kuondoka siku hiyo! Kama sikosei hizo tabia wanazo Wasambaa, Wajaluo na Wagogo! Click to expand... Duh hadi wasambaaa?