antimatter
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 47,274
- 126,778
Mkuu, sikio halijawahi kuzidi kichwa. Utadakwa fasta tu.Utajuaje sasa? Kwani mimi ni mjinga niruhusu ujue? Nitatumia mbinu zangu za kijasusi.
Na sio lazima nifanye nae kila siku, hata mara moja kwa mwezi inatosha. Tukikutana nahakikisha amenisugua haswaa, na nampa hadi ile popo kanyea mbingu na ile ya kuingia uvunguni. Nikitoka hapo nyege zote zimeisha nitamtafuta mwezi ujao tena. Na simu hatupigiani.
Ilibidi na nyie mfanyiwe jambo ili mtulie kwenye ndoa zenu.
Hivi hamna wanaume ambao hawachepuki? Inamaana hao wanawezaje na nyie mnashindwaje?Tungekua na hiyo namna ningekua wa kwanza kuitumia, maana wanawake nyie mnavyotushawishi kila siku, mara mvae mpasuo, matiti yote nje nje, mara sketi fupi, mara nguo zinazobana yadi misambwada inachomoza hadi tu yaani, ifahamike wanaume tulivyoumbwa huwa tunavutiwo na mlivyo, isingekua hivyo hatungeendeleza vizazi, yaani tunavutiwa na kuwatia mimba. Sasa tatizo huko kuvutiwo hamna namna ya kuzuia kubaki tu ndani ya mkeo, unavutiwo na kila mwanamke huko nje, sema tu tunahangaika kuji-control, la sivyo tungekua kama kuku na jogoo, unaparamia kila unayepishana naye.
Kila siku napishana na warembo, nahangaika mara niangalie chini, mara nijaribu kupotezea ila ndio hivyo najikuta mara moja uzalendo umenishinda namlaza mmoja.
Ningekua na sindano nayojidunga au tembe za kumeza kabla kutoka asubuhi, ambazo zitanisaidia kila nikipishana na mwanamke nisivutiwe naye au hata kumtamani hadi jioni ninaporudi ndani ndio nimeze ili nivutiwe na mke wangu, mbona ningekua natumia kila siku, lakini kwa sasa hamna namna.
Wew ni mwanamke mwelewa sana kumbe eeh. Mfundishe na Hannah naye abadili msimamo, naona yeye kajipanga kupambana na mwanaume.Ndicho nilichopanga mkuu. Tumetoka mbali na my husbandhuu mchepuko wala sina time nao maana kwanza najiamini kwa kila idara so hata kama ameamua kuchepuka ni vile ubinadamu tuu na nature vimemfosi. Nataka nikazane kumuombea tuu asije pata madhara
Sasa utapambana na mwanaume ambaye amegonga nje tu ila anahudumia familia yake vyema. Sometimes huwa mnajitaftiaga mabalaa nyie wenyewe tu. Mtii mumeo na ukae kwa kutulia bidada!
Mwanaume akitimiza majukumu yake kwa ufasaha swala la yeye kuonja wanawake wa nje halikwepeki na mwanaume akiwa na hela ndio hayo hutokea. Kama unataka mwanaume asiyegonga nje tafta wa kusaidiana nae maisha hao ndio huwa wanakabaga papuchi moja tu ila ukitaka wa kuprovide 100% ukae ukijua ata provide hata kwa wenzio pia!
Kila kitu kina gharama zake, ukitaka mwenye hela jua kuna wengi pia wanamtaka soko gumu jamani! The same applies kwetu ukimtaka KE mrefu mweupe mwenye baby face hips na tako guu la haja hapo kuna wakware 100 nao wanafukuzia! Tunda amemtesa sana WHOZU kihisia sio bure sababu ana mvuto ambao kila dume linautamani hivyo kwa demu kama yule kugombania na wenzio ni kawaida.
Sasa utapambana na mwanaume ambaye amegonga nje tu ila anahudumia familia yake vyema. Sometimes huwa mnajitaftiaga mabalaa nyie wenyewe tu. Mtii mumeo na ukae kwa kutulia bidada!
Mwanaume akitimiza majukumu yake kwa ufasaha swala la yeye kuonja wanawake wa nje halikwepeki na mwanaume akiwa na hela ndio hayo hutokea. Kama unataka mwanaume asiyegonga nje tafta wa kusaidiana nae maisha hao ndio huwa wanakabaga papuchi moja tu ila ukitaka wa kuprovide 100% ukae ukijua ata provide hata kwa wenzio pia!
Kila kitu kina gharama zake, ukitaka mwenye hela jua kuna wengi pia wanamtaka soko gumu jamani! The same applies kwetu ukimtaka KE mrefu mweupe mwenye baby face hips na tako guu la haja hapo kuna wakware 100 nao wanafukuzia! Tunda amemtesa sana WHOZU kihisia sio bure sababu ana mvuto ambao kila dume linautamani hivyo kwa demu kama yule kugombania na wenzio ni kawaida.
Kama hiyo ndio maana halisi ya "mwanamke mwelewa" inipite tu kushoto. Yaani unifanyie ujinga halafu utagemee nielewe ujinga wako?Wew ni mwanamke mwelewa sana kumbe eeh. Mfundishe na Hannah naye abadili msimamo, naona yeye kajipanga kupambana na mwanaume.
Hajui kuwa mwisho wa siku mwanamke ndo luza
ukisikia mwanamke anasema eti inamucha tuu kuna mengi ''one girl told me that women don't share good dick''
Sasa utapambana na mwanaume ambaye amegonga nje tu ila anahudumia familia yake vyema. Sometimes huwa mnajitaftiaga mabalaa nyie wenyewe tu. Mtii mumeo na ukae kwa kutulia bidada!
Mwanaume akitimiza majukumu yake kwa ufasaha swala la yeye kuonja wanawake wa nje halikwepeki na mwanaume akiwa na hela ndio hayo hutokea. Kama unataka mwanaume asiyegonga nje tafta wa kusaidiana nae maisha hao ndio huwa wanakabaga papuchi moja tu ila ukitaka wa kuprovide 100% ukae ukijua ata provide hata kwa wenzio pia!
Kila kitu kina gharama zake, ukitaka mwenye hela jua kuna wengi pia wanamtaka soko gumu jamani! The same applies kwetu ukimtaka KE mrefu mweupe mwenye baby face hips na tako guu la haja hapo kuna wakware 100 nao wanafukuzia! Tunda amemtesa sana WHOZU kihisia sio bure sababu ana mvuto ambao kila dume linautamani hivyo kwa demu kama yule kugombania na wenzio ni kawaida.
[emoji23][emoji23][emoji2222][emoji2222]tulia basi lazima mmoja awe mnyonge
Ya kwioo[emoji23]Haha Good man nipo hapa niombee nasema ukwerii
[emoji23][emoji23][emoji23]Daah ila mabinti wa kichaga aisee..!! Unajua hadi betting
Hizi ndio kauli za kumfikirisha msela, they are not offensive but they are tactical!
Au aseme ameona na amefahamu ila yeye na mwanae bado wanahitaji sana furaha ya kuwa na baba wa familia anaewathamini wasingependa kuona hilo linafikia ukomo au wanapitia katika wakati mgumu katika namna yeyote ile atafakari juu ya dhamira ya muungano wao kama familia. Kama kuna changamoto zozote ni muda muafaka wa kuzitatua.
Hapa hata kama uwe kidume vipi lazma utepete.
Hahahahah ila si unaiosha kwanza😂 dah we ni mtata sana! Sema maku iliotoka kupigwa huwa ina hali flani ya ajabu yani inakuwaga mbichi sana full utelezi hata ikioshwa na doffy huwa na hali hio tu! Staki kukumbuka yani 😅😅😅Nakupa na wewe ukapige mbizi kwenye cum za mwenzako kama ulivyokuwa unakuja kusuuza UTI za mchepuko wako kwangu.
Duuu, hilo dude bak naloo tu😂Halooo, unamwonea huruma??
Ningekuwa mimi kwenye hiyo nafasi yako sijui ingekuwaje yaani. Vile ningeliamsha dudeee.
Swali zuri si hivo vipesa mbuzi ndio vinawasumbua 🤣🤣🤣🤣Ubora wa mwanaume ni kutimiza majukumu tu?
Ambayo hata tukiwa wenyewe tunaweza kutimiza?!
Ukampime kabla muendelee.Kuna maradhi, akiniletea VVU na akizaa nje watoto huko bado future ya watoto imeharibiwa.
Una neutralizeNdio wawe tofauti pia na kweli wengi wa kuchepuka hufanikiwa Sana kuliko wa ndoani pia ni equalizer ya ndoa kutokuvunjika maana na wewe sio msafi hata mumeo akiwa na makando una msamehe ila ukiwa mwaminifu kwenye mahusiano chance ya kufa hayo mahusiano ni 97%