miss pablo
JF-Expert Member
- Jul 9, 2018
- 5,411
- 11,025
Kmmk[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unazungumzia greda tu! Nitakodi kifaru kabisa [emoji23][emoji23][emoji23] siwezi kuona malikia wangu analetewa ujinga kabisa wakati baba yake nipo!
Hahahahaha aisee.. yaan mnajitia viburi na bado mnatakaNimekwambia ni swala la muda tu sie ndio waume zenu [emoji23][emoji23][emoji23] itafikia mahala we will meet and make it happen!
Mwanaume asiyechepuka utakuta ni wachache tu na sababu wanazo maalum, maana haya ni mambo ya kibayolojia, aidha atakua yuko busy mithili ya kufa mtu, kwamba yaani kazi na majukumu yanampa stress hana hizo hisia, wa aina hiyo utakuta hata kwake nyumbani hamtoshelezi mkewe, muda wote anazongwa na majukumu au anawza hela tu.
Wengine kunao, nguvu za kiume zimewapungukia, hata akiona mwanamke hapati hisia zozote, na kunao japo hawachepuki lakini wanateseka mbaya mno, kila siku wanapambana na vishawishi hadi inakua kama jela fulani hivi, wanavumilia na kujikaza sema tu hawajafikia ukingoni maana akifika tu ndio basi lazima aachie mavitu, nilikua kwenye hili kundi la mwisho, nikajikaza balaa na kuepuka kila aina ya vishawishi ila nilifika sehemu nikakamatwa shingoni na kuachia, hapakua na jinsi licha ya kwamba nampenda sana mke wangu.
kwamza kwa mimi hapa, yaani hamna mchepuko au mwanamke yeyote huko nje mtamu zaidi ya mke wangu, maana wote hao huko lazima nitumie kondomu, sasa hapo inapunguza mautamu, na kwamba kwa mke niko huru kwenda naye bila kondomu, kavu kavu na nisiogope, basi siku zote yeye ndiye namba one kwangu.....
Wa kaskazini tunaelewana tu mbona ni jambo dogo 😅😅😅! Wala hata usihofu[emoji23][emoji23] sauli benzi ama scania? Chagua[emoji23][emoji23]
Unajua nimegundua jambo. Sisi wa kaskazini na hiyo kanda yenu ni kati ya jamii za wanawake walio exposed na dunia. Tunajua kipi sahihi na kipi si sahihi kwetu. Ila kwakua jamii imeamua mfumo dume ndo kila kitu basi imeaminishwa mtu avumilie tu hata upuuzi. Sisi kanda zetu wazazi wetu hawatatutelekeza mabinti zao. Ndo maana vyimba vyetu bado vipo. We will always be our home's lookers no matter where we go. Tumelelewa kwa upendo mno na familia zetu. Hatuzazoea manyanyaso. Watafute wanaoona manyanyaso kwao ni sawa wadumu nazo
Hii reply iwekewe lamination[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji254][emoji254][emoji254][emoji254]Unazungumzia greda tu! Nitakodi kifaru kabisa [emoji23][emoji23][emoji23] siwezi kuona malikia wangu analetewa ujinga kabisa wakati baba yake nipo!
[emoji23][emoji23][emoji23] sasa mbona mnatusimangaga humu na mnajua tunachokisimamia ni kina ukweli ndani yake[emoji23][emoji23]Wa kaskazini tunaelewana tu mbona ni jambo dogo [emoji28][emoji28][emoji28]! Wala hata usihofu
Upo sahihi kwa hili umeongea kwa uchungu hadi nimeogopa! Nahisi rungu la Mungu ni moja kwa moja kwenye utosi wa mume akichitiTena hakuna wanaume wachepukaji wazuri kama ambao wamepungukiwa na nguvu za kiume, yaani ile insecurity yake anaimalizia kwa michepuko. Na uzuri wa michepuko as long as anapata anachokitaka; atakusifia huyo kitandani kumbe ukitoka hapo anakucheka wewe hadi na mkeo anayejiita Mrs wako.
Still cheating is an ultimate choice. In all honesty: hata sisi wanawake tunatamani tu, kuolewa hakufanyi tamaa zetu zife instantly. Tunakutana na wale wakaka warefu weusi, akichomekea mkanda unaonekana jamaniii. Kuna wanaume unakutana nao huko wanakusifia "you looking good", kuna wanaokucare, wanakuchekesha n.k. Lakini ndiyo unakumbuka una kiapo mbele za Mungu na mumeo; so unamkemea tu shetani, unarudi zako kwa baba chanja unamkumbatia.
Kuna wanaume ambao ni wazima kiafya, wana hela pia: ila wameamua tu kutulia na kuheshimu wake zao. Whether ni kwa kuwa na hofu ya Mungu au kwa sababu wameamua tu iwe hivyo.
Tatizo sio wote waaminifu! Katika mademu ambao hawapendi michezo ya cheating na wapo real hawazidi watatu katika hili jukwaa![emoji23][emoji23][emoji23] sasa mbona mnatusimangaga humu na mnajua tunachokisimamia ni kina ukweli ndani yake[emoji23][emoji23]
Yaani umeamua kututukanaaa? [emoji23][emoji23] yaan sisi humu hatufai? Hapana. Tunakufungilia uzi. [emoji23][emoji23] women are faithful hasa ukionyesha nafasi yako na kuisimamia kama mwanaume. Tabia zenu za kijinga ndo hupelekea haya. Binafsi namchukia mno mtu msaliti. Na wewe ukiwa msaliti hainipi nafasi na mm kuwa msaliti. Nitakua mjinga sana kukukomoa wewe angali najiumiza mimi. Si bora nife na upwiru wangu. Halaf hayo mashuka matatu huwa naonaga dharau kinoma yaani. Watu wakue wajitambue ili waje ona faida uzeeni wanakula bata.Tatizo sio wote waaminifu! Katika mademu ambao hawapendi michezo ya cheating na wapo real hawazidi watatu katika hili jukwaa!
Wengi ni opportunists tu [emoji28][emoji28][emoji28] ukitangulia mashuka ya Mmasai umemaliza kazi yani!!! Hawa ndio wanawaponza binafsi napenda mwanamke faithful na asiye mbinafsi!
Na dingi yangu mkubwa alipokea mahari 4.5m ya sista angu mmoja! Binti alikuwa anaishi Canada mda mrefu tu. Jamaa alieowa ni mtu wa Morogoro na binti nae alikulia Morogoro!Kmmk[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unaona sasa. Kumbe hamtaki mabinti zenu wafanyiwe ila nyie unyambisi wenu ndo mmeona ni sawa tu siyo?[emoji23][emoji23][emoji23] basi ni jino kwa jino
Sijawatukana ila mie nafatiliaga kila mtu kwa umakini sana bila wao kuelewa! Ni intelijensia tu katika mazungumzo huwa nagundua mengi tu kimya kimya!Yaani umeamua kututukanaaa? [emoji23][emoji23] yaan sisi humu hatufai? Hapana. Tunakufungilia uzi. [emoji23][emoji23] women are faithful hasa ukionyesha nafasi yako na kuisimamia kama mwanaume. Tabia zenu za kijinga ndo hupelekea haya. Binafsi namchukia mno mtu msaliti. Na wewe ukiwa msaliti hainipi nafasi na mm kuwa msaliti. Nitakua mjinga sana kukukomoa wewe angali najiumiza mimi. Si bora nife na upwiru wangu. Halaf hayo mashuka matatu huwa naonaga dharau kinoma yaani. Watu wakue wajitambue ili waje ona faida uzeeni wanakula bata.
Hili tusi la nguoni kwetu miss pablo unaona sasa!?😎😎😎Tena hakuna wanaume wachepukaji wazuri kama ambao wamepungukiwa na nguvu za kiume, yaani ile insecurity yake anaimalizia kwa michepuko. Na uzuri wa michepuko as long as anapata anachokitaka; atakusifia huyo kitandani kumbe ukitoka hapo anakucheka wewe hadi na mkeo anayejiita Mrs wako.
Still cheating is an ultimate choice. In all honesty: hata sisi wanawake tunatamani tu, kuolewa hakufanyi tamaa zetu zife instantly. Tunakutana na wale wakaka warefu weusi, akichomekea mkanda unaonekana jamaniii. Kuna wanaume unakutana nao huko wanakusifia "you looking good", kuna wanaokucare, wanakuchekesha n.k. Lakini ndiyo unakumbuka una kiapo mbele za Mungu na mumeo; so unamkemea tu shetani, unarudi zako kwa baba chanja unamkumbatia.
Kuna wanaume ambao ni wazima kiafya, wana hela pia: ila wameamua tu kutulia na kuheshimu wake zao. Whether ni kwa kuwa na hofu ya Mungu au kwa sababu wameamua tu iwe hivyo.
Unaona sasa[emoji23][emoji23][emoji23] hapa ndo huwa nashindwaga waelewa kbs. Yaan munayajua matatizo yenu ilaaaa sijui kwann munanyanyasa watoto wa wenzenu. Bora huyo mzee wako. Wangu hapokei mahari kbs. Anakuambia siuzi binti zangu. Halaf no bonge la diplomatic kwenye kutatua migogoro. Sema sasa hapendi binti yake asumbuliweee... nikupeendeee nikujali nikuthamini jalaf usione thamani yangu na kanyumba kako ka chini si nirudi nikalale ghorofani mimi[emoji23][emoji23] mnatunyanyasa as if ni yatima. Kiukweli manyanyaso kwangu hapanaNa dingi yangu mkubwa alipokea mahari 4.5m ya sista angu mmoja! Binti alikuwa anaishi Canada mda mrefu tu. Jamaa alieowa ni mtu wa Morogoro na binti nae alikulia Morogoro!
So kuna kipindi walikaa Iringa ikawa binti akija Moro halali ukweni anapita tu kisha anarudi kulala home kwa mzee. Zikaanza kama kelele flani kuwa mbona mwanamke anaenda kulala kwao wakati ni mke wetu kaolewa inakuwaje.
Mzee akawaambia mwanangu akija akataka kulala kwangu atakuja tu na wala hilo halina utata kama kwenu ni shida mahari yenu ipo kwenye draw tu mje kuifata muda wowote [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hata sijaigusa. Kelele ikaisha!
Indeed. I agree. Kila mtu hujibrag kwa price tag yakeSijawatukana ila mie nafatiliaga kila mtu kwa umakini sana bila wao kuelewa! Ni intelijensia tu katika mazungumzo huwa nagundua mengi tu kimya kimya!
Ndio. VIBAMIA GANG[emoji2222]Hili tusi la nguoni kwetu miss pablo unaona sasa!?[emoji41][emoji41][emoji41]
Hahahah mzee wako hapokei mahari kabisa😅 ndio maana una kiburi eeh!? Sema kuoa kwenu kwa sie watoto wa wakulima inakuwa ngumu maana mzee anaonekana atataka mbwembwe za kibepari zileUnaona sasa[emoji23][emoji23][emoji23] hapa ndo huwa nashindwaga waelewa kbs. Yaan munayajua matatizo yenu ilaaaa sijui kwann munanyanyasa watoto wa wenzenu. Bora huyo mzee wako. Wangu hapokei mahari kbs. Anakuambia siuzi binti zangu. Halaf no bonge la diplomatic kwenye kutatua migogoro. Sema sasa hapendi binti yake asumbuliweee... nikupeendeee nikujali nikuthamini jalaf usione thamani yangu na kanyumba kako ka chini si nirudi nikalale ghorofani mimi[emoji23][emoji23] mnatunyanyasa as if ni yatima. Kiukweli manyanyaso kwangu hapana
Khaaa yani unavyoongea ni kama vile hapa duniani hakuna wasiocheat😅😅Hio nimekupa scene tu ya jinsi ilivyo, sasa kumbe mapenzi yanaenda na both items...Most of you ladies like being treated thus why mkiona opportunities you find ways to flirt with guys!
Mke anaamini kuwa she has rights to cuff his man asishawishiwe huko nje while alot of bitches falling prey for him sababu wanataa kuwa treated. Ifikie muda you ladies muelewe that a nigga will hit a bitch outside anytime. He choose you as a wife to him ila atagonga tu nje cause most men cant stand the pussy offers!
Just stay on your lane as long as she fux you hard, treats you right but the competition is still solid outside! Kuanza kumfatilia you will always find out kuna mtu lazma ame flirt nae! You will end up hurt bora usijue!
Nimependa uandishi wako mkuu. We kweli ni mke wa mtu.Katika kagua kagua simu nimekutana na msg ya mchepuko anakumbushia ile biashara aliyoambiwa aaangalie kama itafaa afunguliwe biashara tayari mbona kama mume amenyamaza? jibu la mume ni kwamba "Tutaongea mama".
Nilipata ka mshtuko na ka hasira kidogo lakini baadae nikaingiwa na huruma sana nikimuangalia mume wangu.
He is so good kwetu mimi na watoto yani hakuna kitu tuombe asitimize. Ila huruma imenijia kwa sbb ana majukumu mazito mbele yake kwa sasa na huyu mchepuko hajui anawaza hela ya biashara.
Na kuhusu kumwambia nimepanga nimwambie yeye aendelee na mambo yake hela ni zake bwana ila chonde chonde asiniletee magonjwa as kwangu mimi nimetulia na najiamini kwa asilimia 100.
Na kupambana eti na mchepuko sijui kupambana na mume siwezi kisasi ni cha Mungu. Halafu kwa nature ya wanaume walivyo ntagombana na wangapi. Au mnasemaje wadau?
Mie ninamuonea sana huruma maskini unakuta anawaza familia kumbe kuna ka mchepuko kanampa stress tena naogopa kasije kakamroga akatusahau, Nifanyeje?
Bana siyo stress labda mwenyewe tu uzitengenezaMajibu ndio hayohayo au usijali mamaa. Ukweli tunajiongezeaga mizigo na stress
Sawa mkuu asante kwa ushauri wako wenye ukweli ndani yake. Ila nitamuuliza tuu ajue najua japo nitauliza kiungwana nategemea na yy anipe jibu la kiungwana na si vinginevyo. Hii ya kuuliza ni muhimu ili hata kama kuna litakalotokea huko mbele tujue tunaanzia wapi.Nimependa uandishi wako mkuu. We kweli ni mke wa mtu.
Mimi ni mwanaume hata mimi nina kamchepuko ninakokaheshimu na kengine hata kakitaka kaondoke sasahivi wala hakanishughulishi akili.
Sasa haka ninakokaheshimu kanaweza nipelekesha kidogo lakini hakawezi nifanya familia yangu ikateteleka, hilo kanalijua. Kalijaribu sana kuninunia nikimpost wife mwisho wa siku kamenyanyua mikono. Naona hata mmeo yupo makini kwa kuzingatia jibu alilompa huyo mchepuko, kama hutaki kumtaabisha mwache usimuulize.
[emoji120][emoji120]
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app