Nimemuonea huruma mume wangu baada ya kukagua simu yake

Status
Not open for further replies.
Asante kwa ushauri nadhani hujui ni nini nimefanya. Wala hawanileweshi na wala sitalewa.
 
Nipe mbinu za kumfanya asichepuke maana naona wewe uko vizuri shougaaa
 
Mleta mada ana machungu acha wanaume wamfariji kwa kumpaka mafuta na mgongo wa chupa I'm sure Halali huyu, nimpe pole
 
Yani my dear kwa hilo usijali kabisaaa yani mm huruma yangu ni kwa jinsi anavyoteswa na stress but sio mjinga wa kukaa kimya eti sijauliza nop au si take action yyte kwa mustkabali wa afya zetu.
Kwanza my wangu wewe ni yanga ama simba.?[emoji23] sema nikuambukize furaha sasa hv.

Okey, unakosea. Hakuna huruma kwa mjinga. U dont deserve ant of that shit. Ndo maisha aliyoyachagua. Kama ulikua ma shida alipaswa kukuadress. Kama mahitaji ni mengi kwa familia kwann akaongeze mizigo nje. Amejitakia mwenyewe. Utajikuta hata sometimes unachangia kipato muinuane kumbe jasho lako linahamishiwa kwa malaya huko nje. Sijaolewa ila naheshim sana wanandoa. Na naamini kujiengage na mwanandoa ninakua cheap sana. So huyo dada naamini pia lazima anajua kuna mke. Yaan nisivyopenda ujinga ningempa nafasi tutengane kbs kila mru aendw na life yake. Yaan of all things naogopa maradhi mimi pooh
 
Unakosea. What if huo mchepuko ulikuwepo hata kabla yako. What if alishakua na wengine ila tu hukumdaka? Tabia ni kama ngozi. Hapa ni kumpa limits. Tena uwe mkali na ajue unamaanisha na muende kinkakati sasa. Yaan mm ukanisaliti baasi
 
Mleta mada ana machungu acha wanaume wamfariji kwa kumpaka mafuta na mgongo wa chupa I'm sure Halali huyu, nimpe pole
Asante sana mdogo wangu nakesha sitting room yanii lol. Nisilale ili iweje? au labda ulitaka nijibuje?.ulitaka niseme namuua au nampeleka kwa paroko? Chill and relaax mm nimeshasema hatua ntachukua nazozijua mimi. Na nyingine nazoziona zinafaaa
 
Mimi sioni ubaya kwa wewe kuanzisha huu uzi lakini kama kuna kitu umefanya hata kama hupendi kuelezea A to Z basi briefly gusia tu isije tena miezi michache ukalalama humu mume kakuletea HIV, mtoto wa nje au kakutelekeza.


Asante kwa ushauri nadhani hujui ni nini nimefanya. Wala hawanileweshi na wala sitalewa.
 
Wanawake hata ka mwanaume hasimamishi as long as unatoa vihela hauachwi ng'o in short huwa mnaenda kuzalilisha wenzi wenu huko nje kah.
 
Mi nimepigwa mi ni Simba. Ila mmeotea. Eee ntakupa mrejesho
 
Mimi sioni ubaya kwa wewe kuanzisha huu uzi lakini kama kuna kitu umefanya hata kama hupendi kuelezea A to Z basi briefly gusia tu isije tena miezi michache ukalalama mume kakuletea HIV, mtoto wa nje au kakutelekeza.
Kitu gani tena Bak? au sijakuelewa?
 
Reactions: BAK
Mi nimepigwa mi ni Simba. Ila mmeotea. Eee ntakupa mrejesho
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tumewaotea wapi nyie nyau?
Na msitutishie eti tutaonana kigoma. Labda mzee mpili na watu wake wawe wamekufaaa.
 
Kwani Kati ya mumeo na mchepuko Nani alimtafuta mwenzio kuanzisha mahusiano? Huruma Sana ikiwa stress amejitafutia mwenyewe....
Asirogwe tu kwakweli!
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Haya.
 
unaona sasa [emoji2]
 
Jamani nimemuuliza hapa muda sio mrf na kwa sbb niliscreen short msg so nikampa ushahidi. Ameshtuka kwanza na akasema why unasachi simu yangu mie nikamwambia kuhusu kusachiwa simu hilo halina mjadala mie si mkewe?
so nisishike simu kwa sbb gani? So nikataka kujua what happened huyo dada wana issue gani nae. Akasema ni kweli wana mazoea but not love affair maybe na km ingetokea ingekua sio kwa akili yake anasema huyo bi dada aliomba apewe hela ya biashara kwa malipo badae sasa naamuuliza malipo ya papuchi? kasema hapana. Na anasema alipoomba hela ya mtaji alimjibu kuwa ntakupa but akawa anapotezea. So ndo jana anamkumbushia,nilichomwambia bado sijaridhika na maelezo yake ni bora akawa muwazi zaidi kasema hivyo ndivyo ilivyokua. Amenihakikishia hata kama alitaka kumla amehairisha. Nimemwambia maradhi mengi asije niua aisee
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…