Nimemuonea huruma mume wangu baada ya kukagua simu yake

Status
Not open for further replies.
Habari mkuu? Ninakushauri cha kwanza kabisa mjuze mumeo kuwa umejua anachepuka na umsihi aache mara hii. Usiende kugombana na huyo mchepuko wake. Furahia ndoa!!!
Ndicho nilichopanga mkuu. Tumetoka mbali na my husbandhuu mchepuko wala sina time nao maana kwanza najiamini kwa kila idara so hata kama ameamua kuchepuka ni vile ubinadamu tuu na nature vimemfosi. Nataka nikazane kumuombea tuu asije pata madhara
 
Aisee ukimwambia Kua umeona na umefahamu kila kitu ila unampenda na unamhitaji bado daah katika uchawi namba moja huu ni wa kwanza, maana Jamaa atakuhandle tofauti na awali kabisa na atahitajidi mara zote kukuaminisha Kua anakupenda na ni muaminifu kwako trust me!
 
Kanuni yangu ni ile ile.
Akichepuka mapenzi yameisha. Na kumwacha wala simwachi ila ni zamu yangu na mimi kutafuta kakijana kawe kananiponza machungu. Wote tuna haki ya kubadilisha ladha.
Ukichepuka bila yeye kujua wakati wewe unajua yeye anachepuka nadhani wewe ndo utakuwa unajiumiza tu..why usifanye na yeye ajue unachepuka?
 
Sasa timbwili la nini tena na usitoe msamaha kama mwenzako
Lazima nyumba iwake moto atambue ana mke. Nawasha moto mpaka nguvu zake za kiume zipungue ndio nauzima halafu na mimi natafuta miongoni mwa wale wanaonipendaga ila nawakataliaga kwa sababu naheshimu ndoa namkubalia mmoja. Hapo nyumbani amani ni shwariii.
 
Cajojo habari za siku nyingi! Unanikumbuka?
 
Una siti ya pekee peponi iliotengenezwa kama Engish sofa! Nakusihi achana na simu ya mumeo na usimuulize chochote kuhusu hilo! Usije ukamuua na stress mze mwenzangu huyo striker sana!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…