lulu za uru
JF-Expert Member
- Aug 7, 2015
- 2,557
- 3,221
usizani kila mtu anaishi kwenye maisha kama yako bro kama wew kila siku unagombana na mwenzio sio sisiMkuu we we ni muongo hakuna ndoa muishi miaka mitano chini ya jua eti hamjawahi kukwaruzana huo ni uongo...tena mtakatifu uliza hii kitu kwa wanandoa humu ndani....lazima kuna vimigogoro vya hapa na pale kuichangamsha ndoa kama hakuna kabisa basi mna matatizo.
Kesho mpeleke Bar muoneshe mabarmedi mkuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]usizani kila mtu anaishi kwenye maisha kama yako bro kama wew kila siku unagombana na mwenzio sio sisi
usizani kila mtu anaishi kwenye maisha kama yako bro kama wew kila siku unagombana na mwenzio si
Hata Mimi sigombani kila siku na migogoro ni ya kawaida sana...basi mtakuwa at early stage za ndoa kama hakuna makwazo hamkwazani au kukorofishana kidogo....usiongee kama hujaingia ndani ya ndoa na uwe ndani at least 3 to ten hivi hao wengi wanajua matured wengi wanaanzia 10yrs kawaulizeusizani kila mtu anaishi kwenye maisha kama yako bro kama wew kila siku unagombana na mwenzio sio sisi
Angefanya hivyo kama mke alizingua.. sasa kakiri mwenyewe hajamkosea wala hawakua na ugomvi mkubwa, kaamua tuu kumuharibia siku kumpeleka kwa malaya na kumwambia hzo shombo..Kupendwa wanapendwa wengi ila wanaishia kugegedwa tu bila ndoa! Hivyo ukimuona mtu kajitwisha zigo usimletee ya kuleta! Muheshimu I see, ohoooh[emoji12]!
Usioe kama unaona unafanya favor.Kweli ndoa ni favour tu tunawafanyia ndio maana mnaitaka sana kuliko sisi
Habari,
kumekuwa na mijadala mingi sana ya kuhusu ndoa humu ndani na wengi wakiwa wanalalamika kuhusu wake zao kuchapiwa/usaliti/mateso na changamoto mbali mbali za ndoa.
Kwa upande wangu,nmeoa mwanamke mzuri i mean kwenye kila sekta tabia sura na hata matendo na tupo kwenye ndoa mwaka wa 5 sasa lakini hatukuwahi kugombana wala kufanyiana mambo ya ajabu.
Kutokana na thread nyingi zilizokuwa zinakuja humu JF jana nikaamua kufanya yafuatayo.
Kwenye saa 7 mchana nikampigia simu mke wangu kuwa leo asipike ftari badala yake tutaenda kula ftari hotelini alifurahi sababu huwa namfanyia mara nyingi out za kula.
Kwenye saa 11 nikampitia na kumpeleka sehemu tukapata ftari then kuna sehemu tukapitia mpaka mida ya saa 6 usiku tukiwa njiani kurudi akiwa na furaha kama kawaida yake.
Nikapita na gari mpaka Sinza X ni mitaa ambayo huwa mida hiyo kuna malaya wa kila aina tena mpaka wa elf 10, nikapaki gari kati kati yao then nikafungua vioo vyote,walivyoona gari wakaizunguka na kuanza kutaja offer yao tena mbele ya wife.
Mke wangu akabakia tu kustaajabu,mie nkaondoa gari mpaka Shekilango nikapaki gari then nikamwambia kuwa wale unaowaona pale kuna wengine ni wazuri tena kushinda wewe lakini biashara wanayoifanya mwanaume anaweza kuwa na elf 20 akamlala na hata mimi kwa kipato changu naweza kubadilisha kila siku ndani ya mwaka mzima lakini nimewaaacha wote na kuja kukuoa wewe na kukuweka ndani kama mke wangu.
Aliniangalia tu huku akitabasamu na kunikumbatia na kunambia nakupenda mme wangu na mengine yakaendelea.
Lengo la kuleta uzi huu ni kuwakumbusha wanaume au wanawake ambao wapo ndani ya ndoa kujitahidi kuonyesha kwa waume au wake zao thamani waliyonayo kwao mpaka wakachukua jukumu zito la kuacha wote na kuja kukubali kuishi nawe milele ukimuwin kwa hilo mwenzio hakika ndoa utaiona tamu
Ramadhani Kareem
Pole sonnita inaonekana imekugusa kumoyo hii😜! Usijali, huyo aliyefanya hivyo ni utoto tu, akikua ataacha😜! Wavulana bana wanatuaibisha sana wanaume🤔!Angefanya hivyo kama mke alizingua.. sasa kakiri mwenyewe hajamkosea wala hawakua na ugomvi mkubwa, kaamua tuu kumuharibia siku kumpeleka kwa malaya na kumwambia hzo shombo..
Acheni hizo men wenye hii mentality.. mnajionaga wa maana sana kuliko wake zenu ndomana hata ndoa automatically zinakua ngumu.
Why?? Eti ukimuona kajitwishwa zigo usimletee ya kuleta. This is so wrong on so many levels.
Sent from my Redmi 5 using JamiiForums mobile app
Yaniiiiii upuuzi sana.Angefanya hivyo kama mke alizingua.. sasa kakiri mwenyewe hajamkosea wala hawakua na ugomvi mkubwa, kaamua tuu kumuharibia siku kumpeleka kwa malaya na kumwambia hzo shombo..
Acheni hizo men wenye hii mentality.. mnajionaga wa maana sana kuliko wake zenu ndomana hata ndoa automatically zinakua ngumu.
Why?? Eti ukimuona kajitwishwa zigo usimletee ya kuleta. This is so wrong on so many levels.
Sent from my Redmi 5 using JamiiForums mobile app
Hiyo ilikuwa nguruwe pita sina mkuki mieKupita "mbugani" haijaharibu mfungo?
Alipita baada ya IftarKupita "mbugani" haijaharibu mfungo?