Nimemuota jirani yangu akiwa chumbani kwangu usiku

Nimemuota jirani yangu akiwa chumbani kwangu usiku

Acha Imani potofu, umeshasema ni binti yawezekana unatamani upige mzee, we mtokee tu na ndoto yako itakuwa ya kweli.

You will thank me later
 
Mikopo ya vikoba haijawahi kumwacha mdaiwa salama, hata siku moja. Kawaida, mpaka usingizini huwa wana weweseka tarehe zinapo karibia kuchukuliwa vitu vya ndani (Kitanda, T.V, Godoro, Masufuria, Radio).[emoji23][emoji23][emoji23]

Utawaona watu wengi tu usingizini. Dawa ya deni ni kulipa.
 
Kama unaishi na mtu nyumbani kwako awe mwanao,Ndugu,mke,mine au mtu yeyote akikuambia jambo kama aliloandika hapa mtoa mada,usimpuuze,fanya utafiti.
Katika utafiti utagundua mengi,na hata kama sio kweli utagundua kua huyo aliokuambia habari Hiyo Ana matatizo makubwa na anahitaji kusaidiwa.
Pengine anaumwa,ameanza kuchanganyikiwa au vinginevyo.
Unaweza kugundua kuwa anafuatwa na wachawi,au wachawi wanaisumbua familia yako na Yeye kapewa nguvu na Mungu ya kuwaona.
Zaidi ya hapo unaweza kugundua Mambo mengine yasiyo ya kawaida.
Watu makini huwa hawadharau kitu.
Na Hiyo ndio akili.
Acha imani za kijinga za kishirikina
 
Shinyaga huko mabibi za watu wanuawa sana kwa mapanga kwa upuuzi kama huu,mawazo yako yabkipuuzi unaenda kumsingizia mtu eti kapotea ,hakuna kitu kama hicho ,washirikina lazima wakuunge mkono
 
Wakiwapo wengine waliokumbatia wewe vyumbani mwao katika ndoto zao unaona inavyokuwa tamu?

Rejea kufahamu nini maana ya ndoto kiasi hata ukaota ukamwone mwendazake haitakukusumbua wala kukusukuma kuleta uzi kama huu.
 
Okoka. Mpe Yesu maisha yako ili wachawi waache kukuchezea.

Chagua moja uwe mchawi sana au uwe mchaMungu sana ili uwe salama.

Ushauri wangu kuwa mchaMungu masharti ya uchawi ni magumu hata wao wenyewe wanajuta kwanini waliamua kuwa wachawi.
 
Kama unaishi na mtu nyumbani kwako awe mwanao,Ndugu,mke,mine au mtu yeyote akikuambia jambo kama aliloandika hapa mtoa mada,usimpuuze,fanya utafiti.
Katika utafiti utagundua mengi,na hata kama sio kweli utagundua kua huyo aliokuambia habari Hiyo Ana matatizo makubwa na anahitaji kusaidiwa.
Pengine anaumwa,ameanza kuchanganyikiwa au vinginevyo.
Unaweza kugundua kuwa anafuatwa na wachawi,au wachawi wanaisumbua familia yako na Yeye kapewa nguvu na Mungu ya kuwaona.
Zaidi ya hapo unaweza kugundua Mambo mengine yasiyo ya kawaida.
Watu makini huwa hawadharau kitu.
Na Hiyo ndio akili.
Tufanye utafiti bila maabara?
 
Kama ulishawahi kujiweka kwenye fikla zako kwà namna yoyote basi leo kaja kwenye ndoto. Endelea na mambo mengine

Ila kama hujawahi muwaza hata kidogo basi hapo mtafute Mshana Jr atakusaidia.
 
Back
Top Bottom