- Thread starter
- #41
Tangu umuote umeshawahi kuonana nae ana kwa a
Mara nyingiTangu umuote umeshawahi kuonana nae ana kwa ana?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tangu umuote umeshawahi kuonana nae ana kwa a
Mara nyingiTangu umuote umeshawahi kuonana nae ana kwa ana?
Mkuu it is not a joke😨Kama unavuta kete 3 punguza uanze kuvuta moja
Si ndo kaletwa na kisulisuli unajiuliza nn sasa kama bado hujaoa
Shirki ni kawaida yaoMuhammaden!
.walokole fursa kama izi za kutoa neno aziwapitagi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Okoka. Mpe Yesu maisha yako ili wachawi waache kukuchezea.
Chagua moja uwe mchawi sana au uwe mchaMungu sana ili uwe salama.
Ushauri wangu kuwa mchaMungu masharti ya uchawi ni magumu hata wao wenyewe wanajuta kwanini waliamua kuwa wachawi.
Hata mini nashangaa ...Mshana Jr kutoenekana hapa wachingiaji wengine mhhhhh
Kwani Nani kakwambia mimi ni Me🥺🥺🥺Kisuli suli kimemletea mrembo ndotoni 😂😂
aki umenifanya nicheke karibu kuanguka, ati nini??????Jitahid kula kabla ya kulala itakusaidia kuto kuweweseka usiku, Amini nakwambia njaa ndo tatizo hapo.
sasa maji itasaidia nini, si ale vizuri kabla ya kulalaKunywa maji mengi kabla ya kulala