Nimemuota jirani yangu akiwa chumbani kwangu usiku

Nimemuota jirani yangu akiwa chumbani kwangu usiku

We hadi unafikisha umri huo hujawai kuota? Acha kufikiria mademu mchana kutwa
 
Acha uoga bana we.

Ametabasamu sababu ameona upo vizuri hapo ambapo palikuwa wazi.

😁😁😁😁😁😁.

Angelia ingekuwa noma kidogo Mkuu.
 
Okoka. Mpe Yesu maisha yako ili wachawi waache kukuchezea.

Chagua moja uwe mchawi sana au uwe mchaMungu sana ili uwe salama.

Ushauri wangu kuwa mchaMungu masharti ya uchawi ni magumu hata wao wenyewe wanajuta kwanini waliamua kuwa wachawi.
.walokole fursa kama izi za kutoa neno aziwapitagi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wanasemaga kwamba wachawi wanaweza tumia sura ya mtu mwingine kuja kwao especial jirani yako, so inawezekana ndo ivo
 
Mbona hilo jepesi, fanya kukachombeza jako kasichana, kama unaanza mazoea nako visalamu vya hapa na pale hauku ukimuangalia muonekano wake, kama anaonesha kukuchangamkia ujue huyo kweli alikutokea, ila akiwa serious not interested sana na mambo yako, ujue hiyo ilikuwa ndoto tu.

Jaribu kufanya hilo zoezi dogo hapo, hii dunia ina mengi usiache jambo likupite kizembe.
 
Back
Top Bottom