Kama unaishi na mtu nyumbani kwako awe mwanao,Ndugu,mke,mine au mtu yeyote akikuambia jambo kama aliloandika hapa mtoa mada,usimpuuze,fanya utafiti.
Katika utafiti utagundua mengi,na hata kama sio kweli utagundua kua huyo aliokuambia habari Hiyo Ana matatizo makubwa na anahitaji kusaidiwa.
Pengine anaumwa,ameanza kuchanganyikiwa au vinginevyo.
Unaweza kugundua kuwa anafuatwa na wachawi,au wachawi wanaisumbua familia yako na Yeye kapewa nguvu na Mungu ya kuwaona.
Zaidi ya hapo unaweza kugundua Mambo mengine yasiyo ya kawaida.
Watu makini huwa hawadharau kitu.
Na Hiyo ndio akili.