Sifa yako kuu ni kudesa, huniangaishi!Ajifunze kubalance sio?
Taaaaawire mganga π€£ π€£ π€£ π€£ π€£Mkuu, nakuapia utakuja mwenyewe kutoa ushuhuda hapa.
wizzle hujaniota na mimi ππ€π€£π
Acha nyege tafuta kazi ufanye utawehuka ukiendelea hivyoBasi hii ndoto itakuwa ya kishenzi kupitiliza na ndo itakuwa ya kwanza kunidanganya!
Imetokea usiku wa kuamkia leo hiyo kitu, tena mara kadhaa. Kila nikilala kidogo namuona kapeace amefika tunazungumza, nikiamka hayupo! Nimeamka tangu saa kumi na moja kutafakari hili.
Nimemfuata dm tushirikiane kuitafsiri ndoto kwa amani na upendo wa hali ya juu, amenikaushia tu au haijafika.
Nafanyaje hapa wadau na mimi hii ndoto imeshaingia akilini?!!!!!
Leejay49 nimuote nan zaidi yakowizzle hujaniota na mimi ππ€
Kuna wakati, ndoto huwa ni matokeo ya kuliwaza jambo kwa muda mrefu..!! We sema tu unamtaka basi..!! BASI MTONGOZEE..!!Imetokea usiku wa kuamkia leo hiyo kitu, tena mara kadhaa. Kila nikilala kidogo namuona kapeace amefika tunazungumza, nikiamka hayupo! Nimeamka tangu saa kumi na moja kutafakari hili.
Nimemfuata dm tushirikiane kuitafsiri ndoto kwa amani na upendo wa hali ya juu, amenikaushia tu au haijafika.
Nafanyaje hapa wadau na mimi hii ndoto imeshaingia akilini?!!!!!
Leejay49 naendelea vizuri my wiii kukumiss tuπhapo sawaπ€, vipi lakin unaendeleaje my wiii
Kuku, kukuu, au kuku kuku kuku..!!???Nimekuota Mwachiluwi
Nimeota unaninyangβanya kipande cha kuku ππ
Kuku- vyuku πππ£ ππKuku, kukuu, au kuku kuku kuku..!!???
Hili hapa chini si ni rungu jamanii..!!Kuku- vyuku πππ£ ππ
π
Nilisahau kuweka hili clear hapo mwanzoni mwa mada, sitojibu U17Acha nyege tafuta kazi ufanye utawehuka ukiendelea hivyo
πππππ Zinduka kwenye kochi la shemeji hapoNilisahau kuweka hili clear hapo mwanzoni mwa mada, sitojibu U17
Ni kipaja cha kuku wa kienyejiHili hapa chini si ni rungu jamanii..!!