Nimemuota Kapeace, naomba msaada!

Nimemuota Kapeace, naomba msaada!

Imetokea usiku wa kuamkia leo hiyo kitu, tena mara kadhaa. Kila nikilala kidogo namuona kapeace amefika tunazungumza, nikiamka hayupo! Nimeamka tangu saa kumi na moja kutafakari hili.

Nimemfuata dm tushirikiane kuitafsiri ndoto kwa amani na upendo wa hali ya juu, amenikaushia tu au haijafika.

Nafanyaje hapa wadau na mimi hii ndoto imeshaingia akilini?!!!!!

WEWE HUJIELEWI, YANI MWANAUME MZIMA UNAKUJA KUANDIKA MADUDU HAPA ILI UPATE NYAPU KWA SYMPATHY?

YANI UNAANDIKA UZI KABSA KISA MWANAMKE AMBAYE HAMJAWAHI KUONANA?

NYIE NDO WANAUME MNAOTAKA SANA KUWA MA “GENTLEMAN” SANA KULIKO KUWA MWANAUME MWENYE MSIMAMO NA KUJIHESHIMU


HUJIELEWI KABSAA
 
Imetokea usiku wa kuamkia leo hiyo kitu, tena mara kadhaa. Kila nikilala kidogo namuona kapeace amefika tunazungumza, nikiamka hayupo! Nimeamka tangu saa kumi na moja kutafakari hili.

Nimemfuata dm tushirikiane kuitafsiri ndoto kwa amani na upendo wa hali ya juu, amenikaushia tu au haijafika.

Nafanyaje hapa wadau na mimi hii ndoto imeshaingia akilini?!!!!!
Kuna wakati, ndoto huwa ni matokeo ya kuliwaza jambo kwa muda mrefu..!! We sema tu unamtaka basi..!! BASI MTONGOZEE..!!
 
HIzo shobo huwa baadaye mnabakwa. Tuvulana twa siku hizi tunatembea kama tumepasuka msamba sababu ya kuwa tayari tumeshapoteza ubingwa sababu ya mambo ya kipuuzi kama haya. Unapigwa bomba kushobokea watu
 
Back
Top Bottom