Wengine ni manunda ukilala lala jicho moja la sivyo pumbu zako atawatupia kunguru,Japo si sawa lakini baadhi ya wanawake bila kichapo heshima haipo. Ila usipige kuharibu sura yake, mwite chumbani mcharaze maeneo yasiyomletea madhara.
Mwanamke ukimkanda usoni ndio vizuri kunakoenekana ndio anakuwa na adabu yale makovu atajificha ndani week nzima asionekane na mashoga zake mpka aponeJapo si sawa lakini baadhi ya wanawake bila kichapo heshima haipo. Ila usipige kuharibu sura yake, mwite chumbani mcharaze maeneo yasiyomletea madhara.
Heshimu wazazi wewe, mzazi kasema apigwe we unasema asipigwe hutaiona pepo. 😀Kwani ni lazima umpige si muachane bila kuumizana, maisha sio ya ndoa tu.
Endelea kumchekea hadi siku akuite msenge mbele ya hadhara ndio utaelewa kilichomtoa kanga manyoya.Kwakweli huwa siamini kabisa kwenye mambo ya kupiga mwanamke ambae nimemzidi nguvu by far.
Kuna binti nimemuoa sasa kuna vijitabia vimekuwa kiburi ambacho kilianza kama masikhara ila sana kinazidi.
Sasa tangu nianze kumkanya, mabishano yamekuwa mengi, nikiongea neno moja kwa sauri ya chini kujaribu kumwelewesha yeye ashaongea maneno kumi kwa sauti tena ya shombo.
Kero hii sijawai kumwambia mama yake ila kwavile kuna ndugu yake moja tunaishi nae nahisi ndio kafikisha hio habari kimya kimya,
Jana mama mkwe kaniambia wazi kwamba bila kumtandika mwanae katu hawezi kuja kuniheshimu kama mwanaume, kaniasa namuendekeza sana mwanae kunipanda kichwa, Kanipa msisitizo kwamba akijaribu tena kuinua mdomo ruksa nimchape makofi.
Je ni sawa kumpiga mwanamke ? hakuna njia nyingine ?
Nawewe unasapoti kipigo? Duu siamini kabisa.Heshimu wazazi wewe, mzazi kasema apigwe we unasema asipigwe hutaiona pepo. [emoji3]
Kwa Nini umwoe Binti?Kwakweli huwa siamini kabisa kwenye mambo ya kupiga mwanamke ambae nimemzidi nguvu by far.
Kuna binti nimemuoa sasa kuna vijitabia vimekuwa kiburi ambacho kilianza kama masikhara ila sana kinazidi.
Sasa tangu nianze kumkanya, mabishano yamekuwa mengi, nikiongea neno moja kwa sauri ya chini kujaribu kumwelewesha yeye ashaongea maneno kumi kwa sauti tena ya shombo.
Kero hii sijawai kumwambia mama yake ila kwavile kuna ndugu yake moja tunaishi nae nahisi ndio kafikisha hio habari kimya kimya,
Jana mama mkwe kaniambia wazi kwamba bila kumtandika mwanae katu hawezi kuja kuniheshimu kama mwanaume, kaniasa namuendekeza sana mwanae kunipanda kichwa, Kanipa msisitizo kwamba akijaribu tena kuinua mdomo ruksa nimchape makofi.
Je ni sawa kumpiga mwanamke ? hakuna njia nyingine ?
Sasa wewe ulitaka akatiwe keki au? Dawa ya jeuri kiburi 😀Nawewe unasapoti kipigo? Duu siamini kabisa.