Nimemwachia mali zote, naanza upya

Weee afisa ushirika mbona una mikwara ivo shemeji hajakupa mbususu mwaka.?aisee shida nn
Kuna sehemu nimesema mwaka ..!!? Mnakuwaga kwenye chimpumu.... Wapi nimesema mwaka sijapata huduma....!!?
 
Mi Mkristo Mkatoliki... Siezi oa tena ...
 
Wengi wanalaumu ..ila mwanau akishakudharau... Sio mke ..
 
Kwa hiyo unahitaji kupewa msaada gani ?
 
Kauli ya kijinga sana na yenye Udhaifu wa hali ya Juu...

Nani alikuambia huo ujinga ndio urijali....na kufa kisa mwanamke ndio ushujaa..???

Umekuwa MANIPULATED na hawa feminist na ukaaminishwa ujinga,, Grow up
Katika maisha yangu duniani... Nimempiga dada yangu tu.
.... Mke wangu nilimuwamba Kofi sikumpiga....
Akili zikae sawa.... Kwa maisha niliyokulia .. siwezi.. ndio maana nimemwambia ushanizalia watoto watatu wakiume 2 ma kike 1 ... .na ndio MSINGI wa wa kuamuachia Mali zangu...
 
Kaka .usijenge ukweni..
 
Umeliona hilo...!!? Karibu ...
 
Mbona hazitaki ... Kamuita Mama yangu na mama mkwe ..baba yangu kafariki 2002, baba yake kafariki 2020 .... Anachoomba nirudi nyumbani atabarika ... Anajua jinsi navyopambana ... Nimemwambia baki navyo ... Ameomba mpaka Misa ya kubariki ndoa ....
wazee wetu walikua wanafukuza wanawake zao waende kwao wakajifunze na baadae huitishwa vikao na mwanamke kuonywa na kurudishwa kwa mume. sijui kama hii mbinu bado ipo legit kwa maisha haya ya kisasa .
 
Issue kwamba umemfanya awe rafiki yako?????
 
wazee wetu walikua wanafukuza wanawake zao waende kwao wakajifunze na baadae huitishwa vikao na mwanmke kuonywa na kurudiahwa kwa mume. sijui kama hii mbinu bado ipo legit kwa maisha haya ya kisasa .
Utandawazi Mzee...nimeondoka Mimi ..anahangaika yeye...
 
Utandawazi Mzee...nimeondoka Mimi ..anahangaika yeye...
sawa mkuu songa mbele bana usirudi nyuma as long as watoto wako pia ndio watakaofaidi hizo mali zako. sisi vijana ngoja tuendelee kujifunza kwenu mabro
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…