Nimemwachia mali zote, naanza upya

Nimemwachia mali zote, naanza upya

Yaani... Alikuwa demu wangu wa kwanza kabisa ..nilimpenda na nampenda sana ..anajua hilo... Ndio nikasema to make story short .. nafaulu form four 2003 .. yeye anafeli .... miaka 9 mbele namkuta nilipoajiliwa ... Nikamsaidia kuajiliwa kama mhudumu na nikamsaidia kusoma maana nilimpenda sana.. daaah .... Na nikafunga naye ndoa 2016...... hamjui tu maumivu ...nimeomba uhamisho niondoke kabisa hili eneo....
Ulivyompatapata nadhani ni miongoni mwa chanzo cha tatizo.
 
Stori isiwe ndefu.

Mke wangu mtumishi na mimi mtumishi. Anatiwa ujinga na wenzake kila siku, tuna viwanja viwili na kimoja tumejenga. Leo nimempelekea hati za viwanja vyote na a akae navyo.

Na nimemwambia nakuachia mali zote usiliwe KIZEMBE liwa ukiwa na hamu. Naondoka wasikilize hao marafiki zako. Simu nazopigiwa sio za dunia hii.

Nimeamua kumuachia mali zote, nianze upya. Wanawake Mungu anawaona. Sasa naombwa vikao kusululisha wakati ana nionea kijinsia hakutafuta ndugu. Nimekaa miezi hanipi mzigo kwa ustaarabu sikutaka kumuingilia kinguvu.

Leo namuachia kila kitu nilichopambania ameita familia kutatua na kujadili nirudi kwenye ndoa ambayo hajaihudumu zaidi ya mwaka. Mimi Mkristo Mkatoliki ila huu ujinga sitaki

Nimempa kila kitu nianze upya.
usiwe kama mke wa Lutu
 
Glass ya maji haina uzito kama utaibeba kwa mda mchache ila ukiibeba hiyo hiyo glass kwa masaa kadhaa bila kuiweka chini mkono utaanza kuuma

Ukiendelea kuibeba mkono utaanza kufa ganzi
Dawa ni kuweka chini glass
Haya matatizo usiyabebe sana unayatua na kuendelea na maisha mengine
Great example chief [emoji106]
 
We Mzee ... Mwanamke anakuita mjinga,mpumbavu mbele za watu .. umemjengea , umempa Biashara ,umemsomesha... na alikuwa mhudumu tu wa ofisi ... Umemuwezesha pote huko ... Ya Nini ... Bahati mbaya nimesomesha maendeleo ya jamii na yupo ustawi anajifanya anajua haki za wanawake
..nimemwambia haya yote hayo Hapo .chukua .... Hataki anataka turudiane wakati Mimi sitaki hizo dharau.





.
Wewe ni lofa
 
Ndoa ni makubaliano ya watu wawili walioamua kuishi pamoja kwa upendo, amani na masikilizano.........inapotokea kuwa upande mmoja ndio unalazamisha kuendelea kwa Muunganiko huo.... automatically ndoa inapoteza maana na kuwa UTUMWA............

Usibaki kwenye ndoa au mahusiano ambayo hayakupi furaha bali unatakiwa kuchukua hatua na maamuzi magumu kujinasua kwani mtu aishiye kwenye dimbwi la SONONEKO ni kama kipande Cha barafu kilichotumbukizwa ndani ya maji......

WORRD IS ENOUGH FOR THE WISE....
 
Ww muache aondoke mwanamke ukiomba mzigo ni kama unamnyanyasa anakuambia "humu ndani mimi ni kama natumika, ipo siku utakuta sipo" hii kauli ya "kukuta Sipo" Anairudia mara nyingi, nikamjibu kama hicho ndo unachotaka "ondoka upate Amani"

Mtu kununa kila siku, unamuuliza ili ujue kinachomsibu.... anajibu '' nina mambo yangu yananivuruga we lala tu'' ukifosi kumuuliza zaidi hapo anaweza kuhama hata chumba

Huyu ni mke wangu nina mtoto nae mmoja
Sijawahi kufosi mechi, kupika wala kumlazimisha kufua nguo

Nimeona bora tumalize ila sikupenda hili litokee
Puuzi kabisa wewe
 
Kweli kuna ndoa ambazo ni ndoano, pole kwa yote lakini itapendeza zaidi kama mtaweka mambo sawa maisha yaendelee.
 
Stori isiwe ndefu.

Mke wangu mtumishi na mimi mtumishi. Anatiwa ujinga na wenzake kila siku, tuna viwanja viwili na kimoja tumejenga. Leo nimempelekea hati za viwanja vyote na a akae navyo.

Na nimemwambia nakuachia mali zote usiliwe KIZEMBE liwa ukiwa na hamu. Naondoka wasikilize hao marafiki zako. Simu nazopigiwa sio za dunia hii.

Nimeamua kumuachia mali zote, nianze upya. Wanawake Mungu anawaona. Sasa naombwa vikao kusululisha wakati ana nionea kijinsia hakutafuta ndugu. Nimekaa miezi hanipi mzigo kwa ustaarabu sikutaka kumuingilia kinguvu.

Leo namuachia kila kitu nilichopambania ameita familia kutatua na kujadili nirudi kwenye ndoa ambayo hajaihudumu zaidi ya mwaka. Mimi Mkristo Mkatoliki ila huu ujinga sitaki

Nimempa kila kitu nianze upya.
Hua tunawaambia kuoa mwanamke mwenye kiajira ni kujitia kitanzi hamsikii, hao wana jeuri mpaka haifai
 
Yaani... Alikuwa demu wangu wa kwanza kabisa ..nilimpenda na nampenda sana ..anajua hilo... Ndio nikasema to make story short .. nafaulu form four 2003 .. yeye anafeli .... miaka 9 mbele namkuta nilipoajiliwa ... Nikamsaidia kuajiliwa kama mhudumu na nikamsaidia kusoma maana nilimpenda sana.. daaah .... Na nikafunga naye ndoa 2016...... hamjui tu maumivu ...nimeomba uhamisho niondoke kabisa hili eneo....
Pole kwa maumivu! Unless una mapungufu yanayokufanya umwage manyanga. Mwanaume lijari hawezi kumkimbia mwanamke hata iweje!
 
Nakumbuka Kuna jamaa mmoja alimwachia mkewe kila kitu yaan akaondoka zero kabisa ( sababu ilikuwa mkewe alikuwa na mchepuko pia jamaa kazi yake haikuwa stable .akaenda kuanza maisha mapya aisee .MUNGU akamfungulia milango jamaa akapata kazi kubwa Sana akaoa mke mwingine akajenga mjengo wa maana hapa Dar na Hadi Sasa anatembelea zile gari DT Dobie nadhani mmezielewa. Sasa mwanamke Saiv Hana mbele wala nyuma hakumbuki kutengeneza hata nywele..Yale Yale anaenda kwa ndugu wa jamaa kuomba eti warudiane..wakati jamaa kashapata mtu mwingine
 
Back
Top Bottom