Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AsanteNdugu zangu Offisho_Kid na Uchira 1 ukimsoma huyu mwamba inaonyesha yupo kwenye "Maumivu makubwa ya roho na moyo"
Unaweza kumuona kwa nje yupo ""smart na vizuri and so on"" ila kiuhalisia mwamba anateketea rohoni.
Siku hizi Kuna ma feminist wengi sanaa wanaojiona wameelimika na wanaweza ku control wanaume.
Ole wako ukutane nao Hawa...!!!!!
In the second side, Ukiwauliza Espy Atoto Noelia at El. Wana msemo wao ""Ndoa ni kwa wanaume wenye akili"" ila sijui kama wanao olewa nao wanatakiwa kuwa na akili..!!
Hapohapo uki "cite" hizo post mbili hapo juu za mwamba, utaona kuwa huyu jamaa alijitoa kwa moyo na pesa ili mke wake aridhike ila badala yake kawa mwiba.
Huyu ndio wale walioambiwa "mwenye kuoa ndio ana akili" basi na yeye akajifanya ana akili na kuoa ila LEO YAMEMKUTA.
Ndugu yangu Mtoto wa nzi Mimi ni mtumishi mwenzako mwenye miaka 32 na miaka 10 Utumishini.
Inaweza kuwa umenipita miaka (umri) na muda wa Ajira au "the vice versa".
Ndugu, katika jambo ambalo nasisitiza na naendelea kusisitiza kwa watumishi wenzangu ni kwamba USIOE USIOE USIOE.
Una mshahara na muda, basi tafuta biashara au uwekezaji "and go for it".
Tafuta hela uishi maisha yako.
Pesa itakupeleka kokote utakako, hata huko kwa Mungu ukitaka kwenda ni rahisi kwenda kama una pesa. Si utakua unatoa sadaka na zaka na kusaidia wahitaji?
Sasa mnaoa ili mtafute nini? MTAKUFAAA.
Mambo ya kuweka mtoto wa watu ndani ili aje kukuumiza na kukutoa roho "Ya nini yote?"
Wanawake wa siku hizi wamefundishwa haki sawa.
Na hili wameli-apply kwenye kila kitu.
Ukitaka kufa mapema dunia ya sasa WE OA.
Ma-feminist WATAWAUAAAA.
Nimemaliza.
Mwenye sikio na asikie.
#YNWA
Basi sawaStori isiwe ndefu.
Mke wangu mtumishi na mimi mtumishi. Anatiwa ujinga na wenzake kila siku, tuna viwanja viwili na kimoja tumejenga. Leo nimempelekea hati za viwanja vyote na a akae navyo.
Na nimemwambia nakuachia mali zote usiliwe KIZEMBE liwa ukiwa na hamu. Naondoka wasikilize hao marafiki zako. Simu nazopigiwa sio za dunia hii.
Nimeamua kumuachia mali zote, nianze upya. Wanawake Mungu anawaona. Sasa naombwa vikao kusululisha wakati ana nionea kijinsia hakutafuta ndugu. Nimekaa miezi hanipi mzigo kwa ustaarabu sikutaka kumuingilia kinguvu.
Leo namuachia kila kitu nilichopambania ameita familia kutatua na kujadili nirudi kwenye ndoa ambayo hajaihudumu zaidi ya mwaka. Mimi Mkristo Mkatoliki ila huu ujinga sitaki
Nimempa kila kitu nianze upya.
Na wakati mwingine huyo anayeshawishi hana hata mume, anataka uachane na mume wako ili mfanane [emoji3064][emoji3064]Wanawake Kuna wakati tunafeli Sana alafu mashoga ndo watu wanatuharibu unamkuta mtu anajazwa maneno anajiona kilakitu anaweza wakat huo anasahau kuwa anaemshawishi asimtii mumewe usku ukifika analala na mumewe kwa amani
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Jamaa yangu alishaniambiaga mwanaume hutakiwi kuwa na mwanamke mmoja. Kama imani hairuhusu hatamchepuko unatosha ili akizingua au kukunyima unatulia siku ya pili unaenda suuza rungu ukirudi nyumbani huna time.Me yamenikuta sana haya mambo, nikaona isiwe shida nikaoa mke wa pili.
Akaanza kulalama ooh utachelewa sana kupata maendeleo nikamwambia sina shida ya hayo maendeleo.
Sasa hv heshima na adabu, tena akiona kesho ni zamu ya mwenzie anatoa show ya kibabe ili nikifika kule nichemke
ndoa ambayo hajaihudumu zaidi ya mwaka.
Ipi ni sahihi?Na nikafunga naye ndoa
Nimewaza nje ya box coz na deal na hizi mambo kila siku almost lazima nikutane na hizi cases.Yaani mambo ya kitandani ndio umeona ya msingi sana kwenye mada ya jamaa
Kweli botha na trump walikuwa sahihi alivyosema waafrica tunawaza sex tu muda wote.
😳😳😳 Kuacha kila kitu na kuanza upya ni changamoto au UMASIKINI..!!Kwamba kutooa mwanamke ndo utakuwa umekwepa hizo changamoto?
Muoane nyie kwa nyie ndo hamtapata changamoto za ndoa