Nimemwachia mali zote, naanza upya

Nimemwachia mali zote, naanza upya

Stori isiwe ndefu.

Mke wangu mtumishi na mimi mtumishi. Anatiwa ujinga na wenzake kila siku, tuna viwanja viwili na kimoja tumejenga. Leo nimempelekea hati za viwanja vyote na a akae navyo.

Na nimemwambia nakuachia mali zote usiliwe KIZEMBE liwa ukiwa na hamu. Naondoka wasikilize hao marafiki zako. Simu nazopigiwa sio za dunia hii.

Nimeamua kumuachia mali zote, nianze upya. Wanawake Mungu anawaona. Sasa naombwa vikao kusululisha wakati ana nionea kijinsia hakutafuta ndugu. Nimekaa miezi hanipi mzigo kwa ustaarabu sikutaka kumuingilia kinguvu.

Leo namuachia kila kitu nilichopambania ameita familia kutatua na kujadili nirudi kwenye ndoa ambayo hajaihudumu zaidi ya mwaka. Mimi Mkristo Mkatoliki ila huu ujinga sitaki

Nimempa kila kitu nianze upya.
pole dogo. sikuingine zingatia kanuni hii utanikumbuka.

"Usioe mtu unaempenda, oa mtu anayekupenda"
 
Naamin mtarudiana tu, kwa jins ulivyoandika ni bado unampenda

Ukiona mwanamke wako amebadilika usianze kumlaumu, unaweza kuta ww ndio sababu ya yeye kubadilika

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
Babu... Baba amefariki ... Baba yake amefariki... Kama nilivyosema ..Mama yake amemuita yupo nyumbani... Na nimemtumia mama tiketi ya ndege ..wakae .. kuongea kuhusu malezi ya watoto sio kurudiana.... Udhaifu wangu ni mnywaji(sio mlevi).... Naonekana namuonea ...
 
Ungesema namuachia kiwanja na nyumba, usiseme mali.. mali yenyewe iko wapi hapo?? Sokapohapo!!
Nimemwachia demu wangu sio mke ndinga la mil 35, nyumba ya ghorofa mbili nk, na sijatangaza. Wewe viwanja viwili matangazo kama ya Amazon college
Na ww mbele ya mtu aliyemuachia demu wake mali za thamani za billion 5 . Unaonekana mpuuzi na vimilioni 35 vyako...

Kila mtu na viwango vyake
 
If you sleep till the sunrise... Aaah you shoga!
Nafikri ...umepata majibu ..!!?? Am not that stupid bro.. MAAMUZI niliyofanya na aliyofanya huyu kumuua mkewe na kujiua yeye !!?? YAPI Bora! Yapi ya kiume!!?? . .. halijakufika.... Busara niliyotumia inamuumiza mnoo... Kesha niita nyumbani(ukoo nilio muoa)...keshiniita kwao(nilpomuoa ) ... Anaumia yeye ...nimemuchia Mali zote... Kaka yake ndio ana ndoa.... Nimekaa naye miaka 8 .... Baada ya kuondoka ndio amejua Nini maana ya mume.... Kama hampo kwenye hii TAASISI ya ndoa tuacheni msilete ujuaji... ALIYONIUDHI NKAMUACHIA MALI ZOTE BADO MNANIONA MJINGA!!?
 
Na ww mbele ya mtu aliyemuachia demu wake mali za thamani za billion 5 . Unaonekana mpuuzi na vimilioni 35 vyako...

Kila mtu na viwango vyake
Kaka ... Umekisikia kisa Cha mwanza ... Mimi na yule nani mwanaume!!?? Mwanamke alinidharau pakubwa mno ... Nkasema poa kanizalia watoto ..nkaondoka .... Tangu napost hii thread mpaka Leo tumekaaa vikao vingi mnoo anaomba msamaha ...na mwanaume aliyekuwa ana mpa KIBURI amemuacha ... ... Ana haha mjini tu ... Mali nimemuachia heshima kapoteza .... Vikao ni vingi .... Turudiane ... Ningekuwa na risasi na hasira zile !!? Hata Kwa kisu ningeweza kumuua...ila nilimpenda sana ..hata humu nilieleza ... Nikaamua kumuacha amenizalia watoto wawili wakiume wa kwanza na WA kike wa pili ... Nikasema nimuachie Mali awalee wanangu ila sitokaa naye tena Kwa usaliti alionifanyia... MKANIONA BOYA!!??? MI NI GENTLEMAN...
 
Ungesema namuachia kiwanja na nyumba, usiseme mali.. mali yenyewe iko wapi hapo?? Sokapohapo!!
Nimemwachia demu wangu sio mke ndinga la mil 35, nyumba ya ghorofa mbili nk, na sijatangaza. Wewe viwanja viwili matangazo kama ya Amazon college
Sasa gari ya 35M nayo ni gari ya kuhonga kweli? Nilijua kuanzia 50M hivi minimum angalau! Wote waganga njaa tu we' na huyo demu wako.
 
Kaka ... Umekisikia kisa Cha mwanza ... Mimi na yule nani mwanaume!!?? Mwanamke alinidharau pakubwa mno ... Nkasema poa kanizalia watoto ..nkaondoka .... Tangu napost hii thread mpaka Leo tumekaaa vikao vingi mnoo anaomba msamaha ...na mwanaume aliyekuwa ana mpa KIBURI amemuacha ... ... Ana haha mjini tu ... Mali nimemuachia heshima kapoteza .... Vikao ni vingi .... Turudiane ... Ningekuwa na risasi na hasira zile !!? Hata Kwa kisu ningeweza kumuua...ila nilimpenda sana ..hata humu nilieleza ... Nikaamua kumuacha amenizalia watoto wawili wakiume wa kwanza na WA kike wa pili ... Nikasema nimuachie Mali awalee wanangu ila sitokaa naye tena Kwa usaliti alionifanyia... MKANIONA BOYA!!??? MI NI GENTLEMAN...
Safi Sana Mali Zina tafutwa! Bora Amani ya Moyo
 
Kuna yule Demu wa Msanii flani alimuacha mwana wamezaa nae watoto wawili akaenda kuolewa na jamaa...!! Wanawake ni shida sana kuna namna wakifanya maamuzi yao wew Jitahidi kuachana nae uanzee upyaaa ni Bora kuonekana mjinga kuliko kutaka Kuonekana Mwanaume..
 
Ndugu zangu Offisho_Kid na Uchira 1 ukimsoma huyu mwamba inaonyesha yupo kwenye "Maumivu makubwa ya roho na moyo"

Unaweza kumuona kwa nje yupo ""smart na vizuri and so on"" ila kiuhalisia mwamba anateketea rohoni.

Siku hizi Kuna ma feminist wengi sanaa wanaojiona wameelimika na wanaweza ku control wanaume.
Ole wako ukutane nao Hawa...!!!!!

In the second side, Ukiwauliza Espy Atoto Noelia et al., (2020) Wana msemo wao ""Ndoa ni kwa wanaume wenye akili"" ila sijui kama wanao olewa nao wanatakiwa kuwa na akili..!!

Hapohapo uki "cite" hizo post mbili hapo juu za mwamba, utaona kuwa huyu jamaa alijitoa kwa moyo na pesa ili mke wake aridhike ila badala yake kawa mwiba.

Huyu ndio wale walioambiwa "mwenye kuoa ndio ana akili" basi na yeye akajifanya ana akili na kuoa ila LEO YAMEMKUTA.

Ndugu yangu Mtoto wa nzi Mimi ni mtumishi mwenzako mwenye miaka 32 na miaka 10 Utumishini.

Inaweza kuwa umenipita miaka (umri) na muda wa Ajira au "the vice versa".

Ndugu, katika jambo ambalo nasisitiza na naendelea kusisitiza kwa watumishi wenzangu ni kwamba USIOE USIOE USIOE.

Una mshahara na muda, basi tafuta biashara au uwekezaji "and go for it".
Tafuta hela uishi maisha yako.
Pesa itakupeleka kokote utakako, hata huko kwa Mungu ukitaka kwenda ni rahisi kwenda kama una pesa. Si utakua unatoa sadaka na zaka na kusaidia wahitaji?

Sasa mnaoa ili mtafute nini? MTAKUFAAA.
Mambo ya kuweka mtoto wa watu ndani ili aje kukuumiza na kukutoa roho "Ya nini yote?"

Wanawake wa siku hizi wamefundishwa haki sawa.
Na hili wameli-apply kwenye kila kitu.

Ukitaka kufa mapema dunia ya sasa WE OA.

Ma-feminist WATAWAUAAAA.

Nimemaliza.

Mwenye sikio na asikie.

#YNWA

[emoji23][emoji23][emoji91]
 
Back
Top Bottom