Hi baby🤣Nipo hapa
Cutey njoo inbox 🙈Hi baby🤣
😹It's men who make first moveCutey njoo inbox 🙈
Kuna mzee wa kimasai kafa juz kati alikuwa na miaka 115 na wake 15Leo nimeamka chupa imejaa chai ! Baada ya kutafakari kwa kina wanaume kwanini tunatangulia kufa kabla ya wanawake nikagundua tunafanya ngono sana na kupunguza miaka yetu ya kuishi ,hebu fikiria patashika ya mwili pale unapokuwa juu ya mwanamke,jasho ,udende,makelele sijui mwili unakakamaa kama unakata roho tendo Hilo ukilifanya kwa miaka 30 huwezi kuwa hai ! Wanawake wao wanapokea lakini sisi ndio tunaosulubika ! Kukojoa tu pekee ni kutoa damu x miaka 30 utakuwa hai ? Ndio maana sasa Mimi nimemwambia mke wangu nikifikisha miaka 47 na sasa Nina 45 sifanyi tendo la ndoa Tena iwe ndani au nje ya ndoa napumzisha viungo vya mwili wangu ! Akawanyonye damu wengine
Hajui ndiyo anakaribisha tezi dume kwasababu hormones zitazaliana kwa kwenda hakunaHiyo tizi ndio inayokupa maisha marefu na afya 😂
Ndio hivyo unless uko kwenye late 20 huwezi juaHivi eeh?
Sikulijua hilo.
Mimi sio mtoto wa afu 2 mkuu.Ndio hivyo unless uko kwenye late 20 huwezi jua
Nimekuelewa fact yako, Waweza jifunza kufanya tendo bila kutoa mbegu zako kwa huu muda waweza jifunza hili. Usiniulize how? It's possible.Leo nimeamka chupa imejaa chai ! Baada ya kutafakari kwa kina wanaume kwanini tunatangulia kufa kabla ya wanawake nikagundua tunafanya ngono sana na kupunguza miaka yetu ya kuishi ,hebu fikiria patashika ya mwili pale unapokuwa juu ya mwanamke,jasho ,udende,makelele sijui mwili unakakamaa kama unakata roho tendo Hilo ukilifanya kwa miaka 30 huwezi kuwa hai ! Wanawake wao wanapokea lakini sisi ndio tunaosulubika ! Kukojoa tu pekee ni kutoa damu x miaka 30 utakuwa hai ? Ndio maana sasa Mimi nimemwambia mke wangu nikifikisha miaka 47 na sasa Nina 45 sifanyi tendo la ndoa Tena iwe ndani au nje ya ndoa napumzisha viungo vya mwili wangu ! Akawanyonye damu wengine
Sijui kama wewe ni mzima downstairs mwanangu. Huo umri, kwanza, hata kufanya kwenyewe hujui. Life starts at 40.Leo nimeamka chupa imejaa chai ! Baada ya kutafakari kwa kina wanaume kwanini tunatangulia kufa kabla ya wanawake nikagundua tunafanya ngono sana na kupunguza miaka yetu ya kuishi ,hebu fikiria patashika ya mwili pale unapokuwa juu ya mwanamke,jasho ,udende,makelele sijui mwili unakakamaa kama unakata roho tendo Hilo ukilifanya kwa miaka 30 huwezi kuwa hai ! Wanawake wao wanapokea lakini sisi ndio tunaosulubika ! Kukojoa tu pekee ni kutoa damu x miaka 30 utakuwa hai ? Ndio maana sasa Mimi nimemwambia mke wangu nikifikisha miaka 47 na sasa Nina 45 sifanyi tendo la ndoa Tena iwe ndani au nje ya ndoa napumzisha viungo vya mwili wangu ! Akawanyonye damu wengine