Nimemwambia mke wangu nikifikisha miaka 47 naacha kufanya tendo la ndoa napumzisha mwili wangu ili kuongeza siku zangu za kuishi

Kuna mzee wa kimasai kafa juz kati alikuwa na miaka 115 na wake 15
 
unafikisha miaka 48 unakufa kwa ajali...
 
Nimekuelewa fact yako, Waweza jifunza kufanya tendo bila kutoa mbegu zako kwa huu muda waweza jifunza hili. Usiniulize how? It's possible.
 
Sijui kama wewe ni mzima downstairs mwanangu. Huo umri, kwanza, hata kufanya kwenyewe hujui. Life starts at 40.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…