Mlundilwa Jr
JF-Expert Member
- Dec 11, 2019
- 3,187
- 4,857
- Thread starter
-
- #41
You means single Maza siyo? Mkuu hebu kuwa seriouseLugha yako ni mbaya hata inatia ukakasi...
Namuunga mkono huyo Binti kwa Asilimia 100%, Asithubutu kujaribu huo mchezo
WEWE kama unataka wadada wanao zaa, mbona wapo warembo mtaani wamezaa na wapo tayari kuolewa?
kwa ushauri ungeweza kupost hivi; NAHITAJI MSICHANA WAKUOA MWENYE MTOTO
Hatuamini vipimo vya hospitaliUmbebeshe mimba umkimbie
Nenda kampime hospital utajua
Sawa mkuu nashukuru kwa hii hoja yako acha niendelee kupma maji bahari kwa kijitiUna mtazamo na uelewa hafifu sana juu ya suala zima la afya ya uzazi. Wewe umepima un uhakika kwamba una uwezo wa kumpa mimba mwanamke? Maana wengine huwa wanatukana wanawake zao kuwa wanajaza choo tu, kumbe wao ndo wajaza choo, maana hawana uwezo wa kumjaza mimba mwanamke.
Matatizo ya kutopata watoto kwenye ndoa/mahusiano kulingana na tafiti zinaonyesha kuwa husababishwa na sababu za mwanaume kwa asilimia 50.
Kwa hiyo kabla hujaanza kulaumu wadada wa watu nakushauri nenda kapime wewe kwanza.
By the way, mwanamke atakaekubaliana na hilo sharti lako na yeye atakua ni zoba tu. Ila uzuri mazoba wako wengi siku hizi, so utampata tu wa kufanana naye.
Nimemkejeri vp Mungu mkuu acha kunitwisha laanaacha kumkejeli Mungu ndugu yangu, ni hayo tuu.
Mkuu umenitusi kisailensaMimi kama katibu mkuu wa wanaume timamu kichwani..
Naomba bwana mbalizi1 msajili na mshika orodha yetu mr Ushimen wakucheki kama upo kwetu, nina mashaka na wewe..
Na kama upo ndugu wajumbe wa kudumu, kiitwe kikao ujadiliwe fasta
Lee Mwifwa Obe mrangi na wengineo wakujadili..
Bila kukosa mwenyekiti na washauri wake
Pia mr Mshana Jr athibitishe kuwa hujapigwa ulozi.
Me niko fit mkuu kwani kuna binti niliwahigi mpa mimba akaitoaHuo mdomo sasa "kujaza choo" ww haja zako unapelekaga wapi usikite hata ww ndo mwnye tatizo
Mkuu ila tambua kupanga nikuchaguaBora tu kakataa maana sio kwa dharau hizo na kauli za hovyo.
Naomba modi wanisaidie kuweka sawaKumbe siku iz wanaume wanabeba mimba [emoji849][emoji849][emoji849][emoji15][emoji15] duh kaz tunayo
Lugha chafu ipi nimetumia mkuu?Hata hivyo una mdomo mchafu, mwanaume gani una maneno magumu kiasi hicho? Ati atajaza choo? Na wewe utakuwa unajisaidia wapi?
Me uhakika mkuuBinti anaogopa kuwa singo mazaaaa
Pamoja sana mkuuBila shaka greatthinker
Mkuu tambua kupanga nikuchagua au unataka niingie mkenge nianze kuzunguka kwa wagangaKauli kama hii hutolewa na washenzi wa tabia....Hujui zama hizi wanaume wajaza choo wameongezeka...
Jiangalie
Mkuu mimi nimtoto wa nje ya ndoaMwanangu hukutumia busara. Ulidhani yeye ni kifaa na si mtu? Kama unamaanisha usemacho, kwanini usioe na kuzaa kukafuatia? Hivi baba yako angemzalisha mama yako bila ndoa si ungekuwa mwanaharamu wewe?
Mkuu me hbDah....mkuu hebu tupia kapasport size...isijekuwa unamlaumu bure...labda Ana wasiwasi na sura za watoto zitakavyokuwa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani zoezi simple kaa hiro uikose ndoa hakika unakichwa cha dampoKama ni NDOA bora niikose tuu kuliko kuwa na mwanaume mwenye kichwa kibovu kama chako asee,.
You mean"You means single Maza siyo? Mkuu hebu kuwa seriouse