Nimemwelewa sana Mbowe, usipoteze imani na Rais Samia. Alivyo kwa Kauli na Matendo hawezi kuwa ni yeye!

Nimemwelewa sana Mbowe, usipoteze imani na Rais Samia. Alivyo kwa Kauli na Matendo hawezi kuwa ni yeye!

Mimi mnanishanagaza watu wa Tanzania hii. Sifa nzuri nzuri anayepongezwa ni rais. Mfano utasikia, TRA imevuka lengo la makusanyo. Rais Samia apewe sifa. Mara sijui umeme wa uhakika, rais apewe sifa.
Ila zikika sifa mbaya za serikali mnataka kumtenganisha na sifa hizo. Kwangu ukisema yeye si mwanasheria anaweza kuwa hajui ubatili wa katiba si utetezi maana rais hatutegemei ajue kila kitu ila kazungukwa na wataa ambao inapaswa awatumie.
Mbowe kavuna alichopanda taingia mwanzo yale maridhiano yalikuwa ni janja janja tu.
Maridhiano ilikuwa ni marekebisho ya katiba si kuitwa ikulu upewe fadhila.
Mtu akikupa fadhila kesho anaweza zichukua kama ambavyo wana ccm mnadai kuruhusu mikutano ya kisiasa ni huruma ya rais Samia kwa wapinzani
Upo sahihi mkuu

Lakini akinyoshewa mkono kwa matendo mabaya ya serikali yake watu wanasema sio yeye anaonewa, tunamfanya rais ni malaika, yaani tumsemehe kwa mazuri tu ila mabaya ya serikali yake tumpe nani?
 
Wanabodi,
Nimemsikiliza Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe

Kiukweli kabisa mimi nimemwelewa sana Mwenyekiti Freeman Mbowe hapa, na hata ningekuwa mimi!, I would have felt the same.

Namuomba sana Mhe. Mbowe, please usipoteze imani na Rais Samia!, kwasababu Rais Samia ninaye mfahamu mimi, sio mtu mwenye ndimi mbili!, namfahamu fika Rais Samia kwa kauli na matendo, yeye kama yeye, hawezi kabisa kusema hivi haiafu akaja kutenda vile!. She is straightforward person and firm

Mhe. Freeman, rudisha moyo, applies zile 4R za Rais Samia tulisongeshe mbele kwa mbele.

Mungu Ibariki Tanzania

Paskali.
Leo nimeisikiliza Press Conference ya Mh. Mbowe, kiukweli nimeguswa, na nimemwelewa sana Mhe. Mbowe, natoa pole zangu kwa wahanga wote wa Chadema kwa kilichotokea
Na kuungana nao kulaani waliotenda vitendo hivyo.

Hata hivyo hakuna any direct link ya uhusika wa Rais Samia, ila kwa vile Chadema wameamua kwenda mahakamani kufungua mashitaka kwa wahusika individual, nawashauri katika mashitaka yao, pia wawahisishe wahusika wote wa tortuous liability na vicarious liability waliohusika.
P
 
Umeongea uongo. Process za kutunga miswada lazima zipite kweñye Baraza la mawaziri. Sasa utasemaje Rais hajui wakati ndio mwenyekiti wa Baraza la mawaziri.
Mtu ambaye si mwanasheria, hawezi kujua illegality ya any legal issues mpaka allowed na wanasheria, Rais Samia sio mwanasheria, atajuaje ubatili wa Katiba na Ubatili wa Sheria mpya aliyoisaini bila kuelezwa na wasaidizi wake sheria?. Hao wasaidizi wake sheria wamemtungia muswada batili, kwenye kikao cha cabinet, hakuna aliyemwambia kuhusu ubatili huu, Bunge letu nalo likaipokea hiyo batili toka serikali likatunga Sheria Batili na kumpelekea Rais Samia kuisaini na akaisaini. Madudu ya ajabu ya ubatili wa Katiba yetu, mabadiliko "fake" ya sheria na Tume ya Uchaguzi. Rais Samia asilaumiwe kwasababu yeye sio mwanasheria!
P
 
Leo nimeisikiliza Press Conference ya Mh. Mbowe, kiukweli nimeguswa, na nimemwelewa sana Mhe. Mbowe, natoa pole zangu kwa wahanga wote wa Chadema kwa kilichotokea
Na kuungana nao kulaani waliotenda vitendo hivyo.

Hata hivyo hakuna any direct link ya uhusika wa Rais Samia, ila kwa vile Chadema wameamua kwenda mahakamani kufungua mashitaka kwa wahusika individual, nawashauri katika mashitaka yao, pia wawahisishe wahusika wote wa tortuous liability na vicarious liability waliohusika.
P
White washing....
 
Four R za Samia zimeshasiginwa tayari.
Ustahamilivu ulikosekana - wangewasikiliza vijana wanaongea nini badala ya kugeuka na kuwa watabiri wa nyota na kuwahukumu kabla.

CDM wana turufu na hii waitumie kuwabeba 2025
 
Four R za Samia zimeshasiginwa tayari.
Ustahamilivu ulikosekana - wangewasikiliza vijana wanaongea nini badala ya kugeuka na kuwa watabiri wa nyota na kuwahukumu kabla.

CDM wana turufu na hii waitumie kuwabeba 2025
Tatizo ni hii turufu ni tofali tuu la barafu, toka lini tofali la barafu likajenga nyumba?.
Hizi siasa za matukio sio mtaji kabisa wa kisiasa!.
P
 
Toa porojo hapa. Ndio maana huteuliwi hata Udc
Kwani mimi natafuta uDC? Pongezi Zangu ni Bonafide-Genuine! Sisaki Teuzi, Sitaki Teuzi, Niko Naye Mbeya, Nitamweza!
Screen Shot 2022-08-07 at 4.58.55 AM (5).png

P
 
Huwezi kuwashauri Chadema wewe mwanaccm .
Huwezi kumzuia mtu kutoa ushauri, anayeamua kushauri ndie mwenye mamlaka ya kuamua kushauri,
mtu wa pili mwenye mamlaka ni mshauriwa,ana uhuru wa kupokea ushauri na kuufanyia kazi,kupokea ushauri na kuuouuzia,au kutopokea kabisa ushauri。Hata ushauri wangu usipopokelewa,mimi nakuwa nimetimiza wajibu wangu。
Kwenye uenyekiti nimeshauri Japo Lowassa Alikuwa a Liability CCM, Akawa Asset Chadema. Lissu is a Very Bad Liability, but is The Only Asset Chadema Has Kuwangiza Ikulu!. Je... ?

Baada ya Sultani wao kuamua kuendelea nikashauri Kuelekea 2025 - Baada ya Mbowe kutetea uenyekiti wake, masikini Tundu Lissu, kwishney! Je, atabaki ama atatimka? Lissu Cool down, usiitishe Press kumjibu Mbowe!

P
 
Huwezi kumzuia mtu kutoa ushauri, anayeamua kushauri ndie mwenye mamlaka ya kuamua kushauri,
mtu wa pili mwenye mamlaka ni mshauriwa,ana uhuru wa kupokea ushauri na kuufanyia kazi,kupokea ushauri na kuuouuzia,au kutopokea kabisa ushauri。Hata ushauri wangu usipopokelewa,mimi nakuwa nimetimiza wajibu wangu。
Kwenye uenyekiti nimeshauri Japo Lowassa Alikuwa a Liability CCM, Akawa Asset Chadema. Lissu is a Very Bad Liability, but is The Only Asset Chadema Has Kuwangiza Ikulu!. Je... ?

Baada ya Sultani wao kuamua kuendelea nikashauri Kuelekea 2025 - Baada ya Mbowe kutetea uenyekiti wake, masikini Tundu Lissu, kwishney! Je, atabaki ama atatimka? Lissu Cool down, usiitishe Press kumjibu Mbowe!

P
Siwezi kupoteza muda wangu kusoma mabandiko yako, as I said 2016 ndio niliacha kuwa serious na unachosema au kuandika.

Heshima uliyojijengea humu jukwaani umeipoteza mwenyewe sio mimi tu chunguza humu watu kibao walishaacha kukuchukulia serious kwenye maandiko yako.
 
Siwezi kupoteza muda wangu kusoma mabandiko yako, as I said 2016 ndio niliacha kuwa serious na unachosema au kuandika.

Heshima uliyojijengea humu jukwaani umeipoteza mwenyewe sio mimi tu chunguza humu watu kibao walishaacha kukuchukulia serious kwenye maandiko yako.
duh。。。!
 
Huyu si unamkumbuka?

Tusubiri tuone amekuandikaje humu.
View attachment 3182533
tusubirie,bali baada ya kuachiwa nikiwa UK nilimtafuta over a cup of coffee,akaniambia jinsi watu walivyokuwa wakimpelekea print out ya thread zangu kumuaminisha namsagia kunguni!,nilimweleza ukweli wangu wote。
Mama yake alipomlilia JPM,niliandika kitu。

Alipofariki niliandika Personal Plea Kwa Rais Magufuli: Kama ameweza kuwasamehe wabakaji, wauaji, mafisadi, wahujumu, anaweza pia kumsamehe Eric Kabendera, amzike mama yake
Maziko nilihudhuria!。
P
 
tusubirie,bali baada ya kuachiwa nikiwa UK nilimtafuta over a cup of coffee,akaniambia jinsi watu walivyokuwa wakimpelekea print out ya thread zangu kumuaminisha namsagia kunguni!,nilimweleza ukweli wangu wote。
Mama yake alipomlilia JPM,niliandika kitu。

Alipofariki niliandika
Maziko nilihudhuria!。
P
Mayalla bhana...
 
Back
Top Bottom