Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Ndiyo sikatai nikweli
Ukisusa wenzio twalaKosa lipo hapa, ata mimi nikinyimwa huwa nakuwa hivyo hivyo, binafsi napenda mwanamke anayependa kupigwa mashine, mambo ya kupangiana tendo ndio huwa kero kwa sisi wanaume wenye nguvu zetu π
DiniSababu kuu ni nini kuweka hiyo condition?
Inategemea kama alikuwa ananichuna sana, nitapata unafuu wa kuokoa salio.Ukisusa wenzio twala
Kijana unafanya kazi iliyotukuka sanaπͺStill occupied? Kijana min -me yuko ready to bring a little extra sunshine vile haujawahi ku experience ebu mfungulie PM ili ajue hiyo neno "occupied" atume carrier pigeon or just keep sending you cheesy pickup lines lakini huko PM binti
Mkuu sio kila mtu anachunwa unatakiwa ulijue hiloπππ wengine tunafanya wajibu wetu kama wanaume tuππInategemea kama alikuwa ananichuna sana, nitapata unafuu wa kuokoa salio.
Malipo nusu ya kazi tuma kupitia Venmo au paypal,nasubiri.Kijana unafanya kazi iliyotukuka sanaπͺ
Ndio maana kila siku nawaambieni dini ni ujinga na utapeli .Dini
Wewe ulivyo fisi hata upewe mwenye k 5 bado utatafuta sababu ya kuchepukaKosa lipo hapa, ata mimi nikinyimwa huwa nakuwa hivyo hivyo, binafsi napenda mwanamke anayependa kupigwa mashine, mambo ya kupangiana tendo ndio huwa kero kwa sisi wanaume wenye nguvu zetu π
Na wewe mkaushie au nuna il kama huwezi vyote basi mbembeleze wewe ndio uwe falaHello JF,
Mwenzenu nimenuniwa Na mwanaume Wangu siku ya 3 Leo sijui kosa langu ni Nini,..last time kuongea Nae ilikua jumapili na tuliongea vizuri tu Kesho yake kimya nilimpigia Na SMS nikamtumia nikamuliza tatizo Nini hakunijibu....mpk dk hii kimya....Na social media anaingia vizuri tu...Na Mimi nimeamua nikae kimya.....Ila naumia sana....
Shauri tu sitokutajaNatamani nikushauri kitu Cha msingi kwa wanaume wa aina hiyo ila naziona akili zako kesho kutwa mmetafutana na mahaba tele utanionaje tenaπ₯π₯. Wacha tucomment kwa minyatoo tu
ππ sawa mkuuMalipo nusu ya kazi tuma kupitia Venmo au paypal,nasubiri.
Siwezi kujifanya ivyoNa wewe mkaushie au nuna il kama huwezi vyote basi mbembeleze wewe ndio uwe fala
MhhhNdio maana kila siku nawaambieni dini ni ujinga na utapeli .
Hawa viumbe hawaeleweki, wapo wengine ukiingia nao kwenye mahusiano, ndoto zako zote za kimaendelea zinakufa, kutokana na matumizi ya hovyo kwenye fedha, muda mwingi kuwa kwenye utatuzi wa migogoro ya nakupenda, pamoja na kupeana msongo wa mawazo.Mkuu sio kila mtu anachunwa unatakiwa ulijue hiloπππ wengine tunafanya wajibu wetu kama wanaume tuππ
Ushauri wako ni muhimu π€Natamani nikushauri kitu Cha msingi kwa wanaume wa aina hiyo ila naziona akili zako kesho kutwa mmetafutana na mahaba tele utanionaje tenaπ₯π₯. Wacha tucomment kwa minyatoo tu
Sasa hapo nin ambacho hujakielewa. Short story ni kuwa file lako limeanza kufungwaHello JF,
Mwenzenu nimenuniwa Na mwanaume Wangu siku ya 3 Leo sijui kosa langu ni Nini,..last time kuongea Nae ilikua jumapili na tuliongea vizuri tu Kesho yake kimya nilimpigia Na SMS nikamtumia nikamuliza tatizo Nini hakunijibu....mpk dk hii kimya....Na social media anaingia vizuri tu...Na Mimi nimeamua nikae kimya.....Ila naumia sana....
Kwa mfano nikiwa na wewe najua sitachepuka kabisa, kutwa utakuwa unanipa mara tano.Wewe ulivyo fisi hata upewe mwenye k 5 bado utatafuta sababu ya kuchepuka