Nimenuniwa na mpenzi wangu

Nimenuniwa na mpenzi wangu

Kosa lipo hapa, ata mimi nikinyimwa huwa nakuwa hivyo hivyo, binafsi napenda mwanamke anayependa kupigwa mashine, mambo ya kupangiana tendo ndio huwa kero kwa sisi wanaume wenye nguvu zetu 😀
Ukisusa wenzio twala
 
Still occupied? Kijana min -me yuko ready to bring a little extra sunshine vile haujawahi ku experience ebu mfungulie PM ili ajue hiyo neno "occupied" atume carrier pigeon or just keep sending you cheesy pickup lines lakini huko PM binti
Kijana unafanya kazi iliyotukuka sana💪
 
Kosa lipo hapa, ata mimi nikinyimwa huwa nakuwa hivyo hivyo, binafsi napenda mwanamke anayependa kupigwa mashine, mambo ya kupangiana tendo ndio huwa kero kwa sisi wanaume wenye nguvu zetu 😀
Wewe ulivyo fisi hata upewe mwenye k 5 bado utatafuta sababu ya kuchepuka
 
Hello JF,

Mwenzenu nimenuniwa Na mwanaume Wangu siku ya 3 Leo sijui kosa langu ni Nini,..last time kuongea Nae ilikua jumapili na tuliongea vizuri tu Kesho yake kimya nilimpigia Na SMS nikamtumia nikamuliza tatizo Nini hakunijibu....mpk dk hii kimya....Na social media anaingia vizuri tu...Na Mimi nimeamua nikae kimya.....Ila naumia sana....
Na wewe mkaushie au nuna il kama huwezi vyote basi mbembeleze wewe ndio uwe fala
 
Natamani nikushauri kitu Cha msingi kwa wanaume wa aina hiyo ila naziona akili zako kesho kutwa mmetafutana na mahaba tele utanionaje tena😥😥. Wacha tucomment kwa minyatoo tu
Shauri tu sitokutaja
 
Mkuu sio kila mtu anachunwa unatakiwa ulijue hilo😛😛😛 wengine tunafanya wajibu wetu kama wanaume tu😁😁
Hawa viumbe hawaeleweki, wapo wengine ukiingia nao kwenye mahusiano, ndoto zako zote za kimaendelea zinakufa, kutokana na matumizi ya hovyo kwenye fedha, muda mwingi kuwa kwenye utatuzi wa migogoro ya nakupenda, pamoja na kupeana msongo wa mawazo.
 
Natamani nikushauri kitu Cha msingi kwa wanaume wa aina hiyo ila naziona akili zako kesho kutwa mmetafutana na mahaba tele utanionaje tena😥😥. Wacha tucomment kwa minyatoo tu
Ushauri wako ni muhimu 🤔
 
Mko mbali sana,kama sio mbali sana emu nenda kamuone,huenda kuna shida.
Dalili za mtu ambaye hana interest na uhusiano wenu utaziona.Ila kwa sasa nenda kamuone kwanza
 
Hello JF,

Mwenzenu nimenuniwa Na mwanaume Wangu siku ya 3 Leo sijui kosa langu ni Nini,..last time kuongea Nae ilikua jumapili na tuliongea vizuri tu Kesho yake kimya nilimpigia Na SMS nikamtumia nikamuliza tatizo Nini hakunijibu....mpk dk hii kimya....Na social media anaingia vizuri tu...Na Mimi nimeamua nikae kimya.....Ila naumia sana....
Sasa hapo nin ambacho hujakielewa. Short story ni kuwa file lako limeanza kufungwa
 
Back
Top Bottom