Nimenuniwa na mpenzi wangu

Huu ushauri ndo nlitaka nimpe ila ishamaliza...akatoe mzigo kwa jamaa huko...kama hatak basi ndo Ivo ajue kabisa jamaa kashapata kisima kingine anajichotea maji tu
 
Wazibe hilo kojolea afu uishi nae kwa kuona kwamba ngono SI issue....kwenye ndoa ngono Ina zaid ya asilimia 70..
 
Ashafanya maamuzi huyo,mwache aende
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…