Nimenuniwa na mpenzi wangu

Nimenuniwa na mpenzi wangu

Babu mahusiano yetu ni machanga hajawahi ninunia ndo Leo pia sijamkosea last time tumeongea vizuri Sana ...babu nlifanya jitihada za kumuuliza Lakin kimya...niombe msamaha Kwa kosa lipi babu
Pole sana Mjukuu, Kwa hali uliyonayo Kuna Kila sababu uje huku Kijijini nimwambie Bibi yako akufanyie Kanselingi kidogo 😜

Ila Kwa uzoefu wangu, mara nyingi sisi Wanaume iwapo tunanyimwa tamu huwa Moja haikai Wala mbili haikai.

Hebu fanya mpango uonane na BF yako mahali pa Falagha ili muyajenge.
 
Kwa kweli kununiana Siku 3 haifai, lakini Kwa uzoefu wangu wanaonunaga mara Kwa mara ni Wanawake.

Lakini mjukuu, Hivi Mjukuu umewahi ku-date na Lastborn wewe? (Mniwie radhi ma Lastborn wote humu Jukwaani).

Hao watu hata ukiwa nao Kwa rumu ukiwa unampiga deki kama ni Ke basi atakuwa analia Kwa kudeka tu ukisema umwache analia tena.....yaani Mwanaume anabaki dilemma asipige deki ama apige deki🙌
Babu Sio lastborn
 
Hello JF,

Mwenzenu nimenuniwa Na mwanaume Wangu siku ya 3 Leo sijui kosa langu ni Nini,..last time kuongea Nae ilikua jumapili na tuliongea vizuri tu Kesho yake kimya nilimpigia Na SMS nikamtumia nikamuliza tatizo Nini hakunijibu....mpk dk hii kimya....Na social media anaingia vizuri tu...Na Mimi nimeamua nikae kimya.....Ila naumia sana....
Huyo alijenga chumba kimoja akaacha matoleo, njoo niongeze sebule na vyumba viwili tena, tuyasongeshe maisha !!![emoji1787][emoji1787]
 
Pole sana Mjukuu, Kwa hali uliyonayo Kuna Kila sababu uje huku Kijijini nimwambie Bibi yako akufanyie Kanselingi kidogo 😜

Ila Kwa uzoefu wangu, mara nyingi sisi Wanaume iwapo tunanyimwa tamu huwa Moja haikai Wala mbili haikai.

Hebu fanya mpango uonane na BF yako mahali pa Falagha ili muyajenge.
Babu mbona nlivomwambia tusubiri alikubali vizur tu
 
Kwa kweli kununiana Siku 3 haifai, lakini Kwa uzoefu wangu wanaonunaga mara Kwa mara ni Wanawake.

Lakini mjukuu, Hivi Mjukuu umewahi ku-date na Lastborn wewe? (Mniwie radhi ma Lastborn wote humu Jukwaani).

Hao watu hata ukiwa nao Kwa rumu ukiwa unampiga deki kama ni Ke basi atakuwa analia Kwa kudeka tu ukisema umwache analia tena.....yaani Mwanaume anabaki dilemma asipige deki ama apige deki🙌
😂😂Nimecheka sana jamni ngoja mafirst born wakuone😂😂
 
Babu nilimwambia mpaka tuoane
Legeza masharti Mjukuu, mwenzio anaweza kuwa ana hali mbaya huko alipo. Asije akaingia kwenye tamaa ya kwenda Riverside bar

Najua sio lazima Kuduu, lakini Kuna namna mnaweza kufanya bila kuingiliana lakini mwenzio akarudi nyumbani akiwa mwepesi kabisa......

Na hilo nalo tuliseme? Ngoja nikavute zangu Kiko miye huko nje 🤗
 
Hello JF,

Mwenzenu nimenuniwa Na mwanaume Wangu siku ya 3 Leo sijui kosa langu ni Nini,..last time kuongea Nae ilikua jumapili na tuliongea vizuri tu Kesho yake kimya nilimpigia Na SMS nikamtumia nikamuliza tatizo Nini hakunijibu....mpk dk hii kimya....Na social media anaingia vizuri tu...Na Mimi nimeamua nikae kimya.....Ila naumia sana....
Pole sana kwa changamoto inayokukumba
🙏jaribu kua karibu na mungu kwa kipindi kigumu unachopitia
🙏jaribu kumvulia chupi na kumuoffer papuchi.
 
We jipe raha km kuna aliyekuwa anakutafuta ndo muda huu wa kujidai nae, sipendi mwanaume anaejinunisha, anaesusa ovyo tena km huyo bila sababu kajisikia tu kununa😅😅😅😅na hizi dharau zangu ingekuwa mie ningemnyoosha
Kwa hiyo kumbe tunaosumbua wapenzi wa wa watu ,tusikate tamaa , kuna siku tutafakiwa tu.?😅😅😅
 
Back
Top Bottom