Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Kwahiyo leo chungu cha tatu au sioMara ya mwisho kuwasiliana ilikus jumapili ndo mpaka Leo kimya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo leo chungu cha tatu au sioMara ya mwisho kuwasiliana ilikus jumapili ndo mpaka Leo kimya
Ndomana nimekuja kushare humu nipate relief......sijui yaniUkiwa na stress ingia humu toka ukiwa na stress tena rudi humu. Huyo Mpenzi achana naye ana tabia za kitoto sana kwanini akuchunie sasa ?
Usingewaza kabisa😁😁Kwani kama ningekua natumia ingekuaje
We jipe raha km kuna aliyekuwa anakutafuta ndo muda huu wa kujidai nae, sipendi mwanaume anaejinunisha, anaesusa ovyo tena km huyo bila sababu kajisikia tu kununa😅😅😅😅na hizi dharau zangu ingekuwa mie ningemnyoosha😂😂😂😂Jamaniii
Nyie acheni tu ndomana watu huwa wanajiua au kufanya ukatili sababu YA kukaa naloIla ni kweli mkuu, mapenzi huwa yanahusisha emotional sana so yeyote anaekujia akilini ambae unahisi labda anaweza kukusaidia unamwagia tu yanayokusibu😂😂😂
KabisaKwahiyo leo chungu cha tatu au sio
SiokweliiKapigwa na jamaa hajamuelewa ndio maana kaamua kumkaushia
MaamuziSasa kwanini umemnyima?
Kabisa aisee... Ila tunakuomba wewe usifikie huko tafadhali 😆😆😆.Nyie acheni tu ndomana watu huwa wanajiua au kufanya ukatili sababu YA kukaa nalo
SitafikaKabisa aisee... Ila tunakuomba wewe usifikie huko tafadhali 😆😆😆.
Nishauri BasiUsingewaza kabisa😁😁
Good girl/womanSitafika
Kwamba tusionjeshwe?Ulishamuonjesha kakinai
Ndio binadam walivyo pole nitakucheki dm ili kama akiendelea kukaa kimya mi nikuchukue mtoto mzuri naahidi kukupenda milele daima kama ngozi na nyama tutanatanaNaijuia hiyo....Ila huyu sijategemea
Au unapiga vizinga vingi Miss_MariaahNishauri Basi
Kwa kweli kununiana Siku 3 haifai, lakini Kwa uzoefu wangu wanaonunaga mara Kwa mara ni Wanawake.Ndo siku Tatu kwann isiwe masaa 12 kwanza Haina afya mnuniane siku 3 km watoto
Endelea kumtafuta Mpenzi wa Moyo wako. Usichoke. Jipe Furaha MwenyeweHello JF,
Mwenzenu nimenuniwa Na mwanaume Wangu siku ya 3 Leo sijui kosa langu ni Nini,..last time kuongea Nae ilikua jumapili na tuliongea vizuri tu Kesho yake kimya nilimpigia Na SMS nikamtumia nikamuliza tatizo Nini hakunijibu....mpk dk hii kimya....Na social media anaingia vizuri tu...Na Mimi nimeamua nikae kimya.....Ila naumia sana....
Siwez kushusha thamani yanguEndelea kumtafuta Mpenzi wa Moyo wako. Usichoke. Jipe Furaha Mwenyewe
Hapanaa sijawahAu unapiga vizinga vingi Miss_Mariaah