Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hajanuna anakula kiumbe kipya.Wanaume kwanini mnanuna
Kwasababu hatujuani humu so mtu anaandika chochote tu 😆😆😆 ila whatsapp pagumu maana tunayo hadi namba yako.Ila jamani 🤣🤣🤣
Jambo unalifanya kwa siri likiharibika unakuja hadharani kuomba upewe pole, aisee miss_Mariaah pole sana. Keep moving on ishatokea hiyo and you won't change anything.
Mkuu ,hizi stress za mapenzi , hazinaga kuficha , nilishafikia hatua ya kumweleza hadi mama yangu mzazi akaniombee msamaha kipindi hicho , akanipiga na mwiko wa ugali kichwani😁😁Kwasababu hatujuani humu so mtu anaandika chochote tu 😆😆😆 ila whatsapp pagumu maana tunayo hadi namba yako.
Tumpe pole tu maana tutafanyaje sasa? Au kuna msela anataka jimbo? Au ni trick tu huyu mrembo kutuambia yupo available?🤣🤣🤣Kwasababu hatujuani humu so mtu anaandika chochote tu 😆😆😆 ila whatsapp pagumu maana tunayo hadi namba yako.
😂🤣Hongera make ungekua na dozi unapiga kwakweli mambo yangekua mchanganyiko 😹😹😹
Upo we karembo?Kapata mwanamke mwingine jiweke kando tu hakuna namna hapo
SawaAcha mwenzako aburudike sasa
Naijuia hiyo....Ila huyu sijategemeaBreak up huanza hivyo hivyo huwa haziji ghafla
Ukiwa na stress ingia humu toka ukiwa na stress tena rudi humu. Huyo Mpenzi achana naye ana tabia za kitoto sana kwanini akuchunie sasa ?
Yaniii ebu shangaa Na wewe nimejiuliza maswali mengiNdo siku Tatu kwann isiwe masaa 12 kwanza Haina afya mnuniane siku 3 km watoto
Sijampa kweliiiKuwa mkweli bhasi ili tukashauri next times usije ukaingia tena mkenge
Ila ni kweli mkuu, mapenzi huwa yanahusisha emotional sana so yeyote anaekujia akilini ambae unahisi labda anaweza kukusaidia unamwagia tu yanayokusibu😂😂😂Mkuu ,hizi stress za mapenzi , hazinaga kuficha , nilishafia hatua ya kumweleza hadi mama yangu mzazi akaniombee msamaha kipindi hicho , akanipiga na mwiko wa ugali kichwani😁😁
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Nitasonga mbele tu hakuna namnaZikipita siku tatu anza kujinunulia maua, chupa la wine, na vizawadi.....😹😹😹
Imani za kishirikina.yawezekana ana mapepo yasiyokuoenda.pigania upendoYani ACHA tu unakuta hujamkosea alikua anakupenda weee anakuonesha Upendo Kwa kila njia then ghafla mtu kimya
Naomba Sana tuUlikuwa unaomba ulinzi wa Mungu kwenye mahusiano yenu? Nimekuuliza sio kwamba kakuchunia baada ya kumpa mzigo???
Kwani kama ningekua natumia ingekuajeNdio maana 🤔mambo madogo hayo😁😁😁
Kwamba ni tangazo lilikoandikwa kitasha sio? Aseme direct sasa tusemezane maana tupo wakumingo.Tumpe pole tu maana tutafanyaje sasa? Au kuna msela anataka jimbo? Au ni trick tu huyu mrembo kutuambia yupo available?🤣🤣🤣
😂😂😂😂JamaniiiUpo we karembo?
Huyu sio kwamba kapata mwingine ila kagombana na huyo mwingine