Miss_Mariaah
JF-Expert Member
- Nov 9, 2022
- 2,176
- 4,979
- Thread starter
- #61
Naijua hiii😂😂😂😂Mapenzi ya sahivi hauachwi kwa kuambiwa, mtu anajikataa tu ubanaki unadate mwenyewe....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naijua hiii😂😂😂😂Mapenzi ya sahivi hauachwi kwa kuambiwa, mtu anajikataa tu ubanaki unadate mwenyewe....
Huyo nadhani alikuwa na mtu wake na kama umempa kapiga na hajakuelewa wala nini ndio maana kaamua kukuchuniaWanaume kwanini mnanuna
Una uhakika una date na lastbornHello JF,
Mwenzenu nimenuniwa Na mwanaume Wangu siku ya 3 Leo sijui kosa langu ni Nini,..last time kuongea Nae ilikua jumapili na tuliongea vizuri tu Kesho yake kimya nilimpigia Na SMS nikamtumia nikamuliza tatizo Nini hakunijibu....mpk dk hii kimya....Na social media anaingia vizuri tu...Na Mimi nimeamua nikae kimya.....Ila naumia sana....
Acha kabisa Hawa viumbe ni balaaYani ACHA tu unakuta hujamkosea alikua anakupenda weee anakuonesha Upendo Kwa kila njia then ghafla mtu kimya
Mbona sijampa nilimwambia mpaka tukioanaHuyo nadhani alikuwa na mtu wake na kama umempa kapiga na hajakuelewa wala nini ndio maana kaamua kukuchunia
Kapigwa na jamaa hajamuelewa ndio maana kaamua kumkaushiaUna uhakika huyo ni mpenzi wako?😹
Ahsante...hapana situmiii kabisa pombeMiss_Mariaah pole rafiki yangu , unatumia mitungi?
Ndo siku Tatu kwann isiwe masaa 12 kwanza Haina afya mnuniane siku 3 km watotoMatatizo mengi ya mahusiano hutatuliwa Kwa kujadiliana.
Nikupongeze Kwa kuweza kuonesha jitihada za kutaka myajadili na mwenzako
Swali la kujiuliza, hali ya wewe kununiwa na huyo mpenzi wako huwa inatokea mara Kwa mara ama ni leo tu?
Una uhakika haujamkwaza kupelekea yeye kuwa hivyo?
Sio vibaya kumwandikia ujumbe wa kumuomba msamaha, ninyi miaka yenu mna njia nyingi za kufikisha ujumbe ikiwemo hizo social networks
Sisi miaka yetu ilikuwa hadi unatuma Wazee waende kukuombea msamaha, wakati huo Mwanaume unanunua Doti kadhaa za Wax na Khanga ili kumfanya Mwanamke asiwe mgumu kupokea msamaha wako
Keep knocking, the door will soon opened 🤗
Kuwa mkweli bhasi ili tukashauri next times usije ukaingia tena mkengeMbona sijampa nilimwambia mpaka tukioana
Mara ya mwisho kuwasiliana ilikus jumapili ndo mpaka Leo kimyaAtarudi tulia tu usimsumbue...
Ila asiporudi ndani ya siku tatu useme, tutume kikosi cha uokoaji.
Tunampa siku tatu asijione cha utamu.
Zikipita siku tatu anza kujinunulia maua, chupa la wine, na vizawadi.....😹😹😹Naijua hiii😂😂😂😂
Ulikuwa unaomba ulinzi wa Mungu kwenye mahusiano yenu? Nimekuuliza sio kwamba kakuchunia baada ya kumpa mzigo???Yani ACHA tu unakuta hujamkosea alikua anakupenda weee anakuonesha Upendo Kwa kila njia then ghafla mtu kimya
Ahsante...hapana situmiii kabisa pombe
Babu mahusiano yetu ni machanga hajawahi ninunia ndo Leo pia sijamkosea last time tumeongea vizuri Sana ...babu nlifanya jitihada za kumuuliza Lakin kimya...niombe msamaha Kwa kosa lipi babuMatatizo mengi ya mahusiano hutatuliwa Kwa kujadiliana.
Nikupongeze Kwa kuweza kuonesha jitihada za kutaka myajadili na mwenzako
Swali la kujiuliza, hali ya wewe kununiwa na huyo mpenzi wako huwa inatokea mara Kwa mara ama ni leo tu?
Una uhakika haujamkwaza kupelekea yeye kuwa hivyo?
Sio vibaya kumwandikia ujumbe wa kumuomba msamaha, ninyi miaka yenu mna njia nyingi za kufikisha ujumbe ikiwemo hizo social networks
Sisi miaka yetu ilikuwa hadi unatuma Wazee waende kukuombea msamaha, wakati huo Mwanaume unanunua Doti kadhaa za Wax na Khanga ili kumfanya Mwanamke asiwe mgumu kupokea msamaha wako
Keep knocking, the door will soon opened 🤗
Sasa kwanini umemnyima?Ndiyo sikatai nikweli
Uzi wa mapenzi ukiingiza ccm yani utamu wote unakata😅😅CCM iingilie kati kumsaidia mpiga kura wake aliyenuniwa na mpenzi wake.
Kiongozi wao ephen_ wa Lucas MwashambwaCCM iingilie kati kumsaidia mpiga kura wake aliyenuniwa na mpenzi wake.