Nimenuniwa na mpenzi wangu

Nimenuniwa na mpenzi wangu

Hello JF,

Mwenzenu nimenuniwa Na mwanaume Wangu siku ya 3 Leo sijui kosa langu ni Nini,..last time kuongea Nae ilikua jumapili na tuliongea vizuri tu Kesho yake kimya nilimpigia Na SMS nikamtumia nikamuliza tatizo Nini hakunijibu....mpk dk hii kimya....Na social media anaingia vizuri tu...Na Mimi nimeamua nikae kimya.....Ila naumia sana....
Una uhakika una date na lastborn
 
Matatizo mengi ya mahusiano hutatuliwa Kwa kujadiliana.

Nikupongeze Kwa kuweza kuonesha jitihada za kutaka myajadili na mwenzako

Swali la kujiuliza, hali ya wewe kununiwa na huyo mpenzi wako huwa inatokea mara Kwa mara ama ni leo tu?

Una uhakika haujamkwaza kupelekea yeye kuwa hivyo?

Sio vibaya kumwandikia ujumbe wa kumuomba msamaha, ninyi miaka yenu mna njia nyingi za kufikisha ujumbe ikiwemo hizo social networks

Sisi miaka yetu ilikuwa hadi unatuma Wazee waende kukuombea msamaha, wakati huo Mwanaume unanunua Doti kadhaa za Wax na Khanga ili kumfanya Mwanamke asiwe mgumu kupokea msamaha wako

Keep knocking, the door will soon opened 🤗
Ndo siku Tatu kwann isiwe masaa 12 kwanza Haina afya mnuniane siku 3 km watoto
 
Matatizo mengi ya mahusiano hutatuliwa Kwa kujadiliana.

Nikupongeze Kwa kuweza kuonesha jitihada za kutaka myajadili na mwenzako

Swali la kujiuliza, hali ya wewe kununiwa na huyo mpenzi wako huwa inatokea mara Kwa mara ama ni leo tu?

Una uhakika haujamkwaza kupelekea yeye kuwa hivyo?

Sio vibaya kumwandikia ujumbe wa kumuomba msamaha, ninyi miaka yenu mna njia nyingi za kufikisha ujumbe ikiwemo hizo social networks

Sisi miaka yetu ilikuwa hadi unatuma Wazee waende kukuombea msamaha, wakati huo Mwanaume unanunua Doti kadhaa za Wax na Khanga ili kumfanya Mwanamke asiwe mgumu kupokea msamaha wako

Keep knocking, the door will soon opened 🤗
Babu mahusiano yetu ni machanga hajawahi ninunia ndo Leo pia sijamkosea last time tumeongea vizuri Sana ...babu nlifanya jitihada za kumuuliza Lakin kimya...niombe msamaha Kwa kosa lipi babu
 
Usikute kajamaa chako ni kalast born kalichokubuhu 😆😆😆.

Usimtafute kama kweli anakupenda atakutafuta mwenyewe ila ukiendelea kumtafuta atajiona mwamba amekukamata kweli kweli na hauna kimbilio so atatumia hiyo hali kukunyanyasa.

Watu wa hivyo huwa wanasubirigi msg kila saa wanaangalia simu zao ili waone kama wametafutwa sasa akiona kimya siku ya kwanza siku ya pili na yatatu kama kweli yupo na wewe hana mwingine na anania ya dhati na wewe lazima akutafute.

Zuia hako kakimuhe muhe tulia, ukimiss wakuchat nae njoo humu upoteze muda... ila asipokutafuta ndani ya wiki ujue wewe ulikua umeingilia mahusiano ya wenzio so jiongeze.
 
Back
Top Bottom