Pole sana Mjukuu, Kwa hali uliyonayo Kuna Kila sababu uje huku Kijijini nimwambie Bibi yako akufanyie Kanselingi kidogo 😜Babu mahusiano yetu ni machanga hajawahi ninunia ndo Leo pia sijamkosea last time tumeongea vizuri Sana ...babu nlifanya jitihada za kumuuliza Lakin kimya...niombe msamaha Kwa kosa lipi babu
Babu Sio lastbornKwa kweli kununiana Siku 3 haifai, lakini Kwa uzoefu wangu wanaonunaga mara Kwa mara ni Wanawake.
Lakini mjukuu, Hivi Mjukuu umewahi ku-date na Lastborn wewe? (Mniwie radhi ma Lastborn wote humu Jukwaani).
Hao watu hata ukiwa nao Kwa rumu ukiwa unampiga deki kama ni Ke basi atakuwa analia Kwa kudeka tu ukisema umwache analia tena.....yaani Mwanaume anabaki dilemma asipige deki ama apige deki🙌
Huyo alijenga chumba kimoja akaacha matoleo, njoo niongeze sebule na vyumba viwili tena, tuyasongeshe maisha !!![emoji1787][emoji1787]Hello JF,
Mwenzenu nimenuniwa Na mwanaume Wangu siku ya 3 Leo sijui kosa langu ni Nini,..last time kuongea Nae ilikua jumapili na tuliongea vizuri tu Kesho yake kimya nilimpigia Na SMS nikamtumia nikamuliza tatizo Nini hakunijibu....mpk dk hii kimya....Na social media anaingia vizuri tu...Na Mimi nimeamua nikae kimya.....Ila naumia sana....
Babu mbona nlivomwambia tusubiri alikubali vizur tuPole sana Mjukuu, Kwa hali uliyonayo Kuna Kila sababu uje huku Kijijini nimwambie Bibi yako akufanyie Kanselingi kidogo 😜
Ila Kwa uzoefu wangu, mara nyingi sisi Wanaume iwapo tunanyimwa tamu huwa Moja haikai Wala mbili haikai.
Hebu fanya mpango uonane na BF yako mahali pa Falagha ili muyajenge.
😂😂Nimecheka sana jamni ngoja mafirst born wakuone😂😂Kwa kweli kununiana Siku 3 haifai, lakini Kwa uzoefu wangu wanaonunaga mara Kwa mara ni Wanawake.
Lakini mjukuu, Hivi Mjukuu umewahi ku-date na Lastborn wewe? (Mniwie radhi ma Lastborn wote humu Jukwaani).
Hao watu hata ukiwa nao Kwa rumu ukiwa unampiga deki kama ni Ke basi atakuwa analia Kwa kudeka tu ukisema umwache analia tena.....yaani Mwanaume anabaki dilemma asipige deki ama apige deki🙌
😅sawaSiwez kushusha thamani yangu
Legeza masharti Mjukuu, mwenzio anaweza kuwa ana hali mbaya huko alipo. Asije akaingia kwenye tamaa ya kwenda Riverside barBabu nilimwambia mpaka tuoane
Kumbe ukweli/chanzo cha yeye kukaa kimya unakijuaNdiyo sikatai nikweli
Kalewe tu, badae usije patana ukamwambia min alisema nikuache kwanza una tabia za kike za kununanuna😁😁😁Nishauri Basi
Leo hujaanza na ile "Uko wapii"Una uhakika huyo ni mpenzi wako?😹
Kama alikuhaidi mkumbushe ahadi yake.....ama vipi mwambie atume Wajumbe waje kwenu kuleta PosaBabu mbona nlivomwambia tusubiri alikubali vizur tu
Sorry nataka nikuulize swali kidogo upo kwenye age ipi 20's au 30's ukinijibu nataka nikupe maoni yanguMbona sijampa nilimwambia mpaka tukioana
Basi yuko sawa.Babu nilimwambia mpaka tuoane
Hahahaha.............basi angalia historia yake, labda amelelewa Kwa Bibi ama Kwa Mama PekeeBabu Sio lastborn
Natafuta pakuanzia mkuu😊Msaidieni huyu binti....!
Jamaa anaandamana hadi apewe tumbua😂Hahahaha.............basi angalia historia yake, labda amelelewa Kwa Bibi ama Kwa Mama Pekee
Pole sana kwa changamoto inayokukumbaHello JF,
Mwenzenu nimenuniwa Na mwanaume Wangu siku ya 3 Leo sijui kosa langu ni Nini,..last time kuongea Nae ilikua jumapili na tuliongea vizuri tu Kesho yake kimya nilimpigia Na SMS nikamtumia nikamuliza tatizo Nini hakunijibu....mpk dk hii kimya....Na social media anaingia vizuri tu...Na Mimi nimeamua nikae kimya.....Ila naumia sana....
Basi weka ratiba zako vizuri ukampeNdiyo sikatai nikweli
Kwa hiyo kumbe tunaosumbua wapenzi wa wa watu ,tusikate tamaa , kuna siku tutafakiwa tu.?😅😅😅We jipe raha km kuna aliyekuwa anakutafuta ndo muda huu wa kujidai nae, sipendi mwanaume anaejinunisha, anaesusa ovyo tena km huyo bila sababu kajisikia tu kununa😅😅😅😅na hizi dharau zangu ingekuwa mie ningemnyoosha