Nimenunua home theater LHD657 Model, lakini cha ajabu ina Sauti ya kawaida sana

Duh sasa kama ni hvyo ht mbona bei kubwa sana halafu hamna cha maana zaidi?
Mi nilikosa wakati natafuta,wahuni wakaniambia we weka hela ununue Home Theatre tu utapata kile unachotaka lakini nikiwastukia maana wajinga wengi bei ikiwa kubwa ndio wanaamini kitu ni kizuri.
 
Ninayo LG ya hivi 1000 watts mziki wake nikifungulia 30 tu.ndani hukai.kitanda,dali,kabati,vyombo vyote vinatetetema.na ina volume mpaka 100.ila niliwahi kufika 50 tu.[emoji95][emoji95][emoji95]
 
Shida hapo ni hiyo deki kanunue deki ya singsang toa hiyo iliyoijiapo mziki wa hapo hutasahau
 
Wengi wao hawazijui coz kupatikana ni ishu lakini trust me ukiipata Edfier umepata kila kitu unachokiitaji kwny mziki na movie. Hii niliyonayo inazaidi ya miaka 8 na mziki wake ni uleulee
ya kuanzia shilingi ngapi ndio iko fresh?
 
Somo kubwa sana hili
 
LG Home theatre haina bass kubwa ila ina sound quality ambayo hakuna subwoofer ya mchina inaweza kufikia. Pili, hiyo home theatre inadumu milele. Subwoofer za kichina zina bass kubwa ndiyo lakini baada ya muda mfupi zitaanza kukoroma na hata kufa kabisa. Hiyo LG yako hautajutia kabisa. Time will tell…
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…