Mi nilikosa wakati natafuta,wahuni wakaniambia we weka hela ununue Home Theatre tu utapata kile unachotaka lakini nikiwastukia maana wajinga wengi bei ikiwa kubwa ndio wanaamini kitu ni kizuri.Duh sasa kama ni hvyo ht mbona bei kubwa sana halafu hamna cha maana zaidi?
LHB675 4.2CHNinayo LG ya hivi 1000 watts mziki wake nikifungulia 30 tu.ndani hukai.kitanda,dali,kabati,vyombo vyote vinatetetema.na ina volume mpaka 100.ila niliwahi kufika 50 tu.[emoji95][emoji95][emoji95]View attachment 2668389
Lg CM5760Picha
Acha Hizo mashineNina JBL 9.1 aisee umeme wa Tanesco ulikorofisha baada ya hapo upande wa HDMI haufanyi kazi, natumia Infra-red na Bluetooth.
Bei gani mzee?mnyama hyu hapa yupo sokoni [emoji41][emoji41]
ni mdundo wa kufa mtu
ishaelezewa sana humuView attachment 2678194
Hivi hii speaker inches ngapi?mnyama hyu hapa yupo sokoni [emoji41][emoji41]
ni mdundo wa kufa mtu
ishaelezewa sana humuView attachment 2678194
350000tshBei gani mzee?
10 inch mid bass speaker na 2 passive radiator kila moja inch 12.Hivi hii speaker inches ngapi?
Haya madude yana sura mbaya
ya kuanzia shilingi ngapi ndio iko fresh?Wengi wao hawazijui coz kupatikana ni ishu lakini trust me ukiipata Edfier umepata kila kitu unachokiitaji kwny mziki na movie. Hii niliyonayo inazaidi ya miaka 8 na mziki wake ni uleulee
Mkuu unataka kuniambia nini?Acha Hizo mashine
Somo kubwa sana hiliUwingi wa spika sio ukubwa wa sauti na wala ukubwa wa watts wa redio sio ukubwa wa sauti.
Sauti ambayo inarekodiwa na wanamuziki ni stereo kwa maana ina njia mbili mithili ya masikio yetu yalivyo.Radio ambazo ni home theater sio kwa ajili ya kusikilizia muziki ila ni kwa ajili ya kutazamia muvi mana kwenye muvi kila spika moja hupewa sauti maalumu kwa mfano kuna spika zinatoa sauti ya mazungumzo tu, kuna ambazo zinatoa sauti ya effect za kwenye muvi, kuna ambazo zinatoa sauti ya saund track na mambo mengine mengi na ndio maana ukizitumia kwenye mziki sauti haziwi kubwa sana kwa sababu spika ambazo zinafanya kazi huwa ni tatu tu( 2.1)spika moja ya kulia, moja ya kushoto na subwoofer.
Kitu kingine ni kwamba nguvu ya spika haipimwi kwa watt.Watt inaonyesha kiwango cha umeme ambao redio itatumia kwa muda fulani.Kiwango cha sauti kinapimwa na SPL yaani Sound pressure level.
Kadri Spl inavyokuwa kubwa ndo sauti nayo inakuwa kubwa. Kwahiyo redio kubwa ambayo ina watt kubwa na spl ndogo inazidiwa mdundo na radio ndogo ambayo inawatt ndogo ila spl kubwa.Kama shida yako ni sauti basi zingatia spl ila kama shida yako ni kujua redio inakula umeme kiasi gani basi zingatia watt.
LG Home theatre haina bass kubwa ila ina sound quality ambayo hakuna subwoofer ya mchina inaweza kufikia. Pili, hiyo home theatre inadumu milele. Subwoofer za kichina zina bass kubwa ndiyo lakini baada ya muda mfupi zitaanza kukoroma na hata kufa kabisa. Hiyo LG yako hautajutia kabisa. Time will tell…Ni kampuni ya LG. Kuna maandishi yanasomeka lhd657 january 2023. Nimeifunga ndani kwangu cha ajabu inazidiwa mkito na hizi sabufa za kichina spiano
Nimeinunua 700k. Pesa yangu inaniuma sana kwa hiki nilichokutana nacho
Nimeagiza mwanza sijafata mwenyewe. Je, hii sio fake kweli wakuu?
Hii wiki upande wa HDMI unafanya kazi, nimeshindwa kuielewa hii JBS SBNina JBL 9.1 aisee umeme wa Tanesco ulikorofisha baada ya hapo upande wa HDMI haufanyi kazi, natumia Infra-red na Bluetooth.
Eh hainaga kilele ila inaburudisha mtu umezoe vitu ambavyo sivyo classic wewe hotels za 5 stars umewahi sikia sauti ya muziki mkubwa??mkuu kwahiyo ni sahihi sijapigwa ndio uhalisia wenyewe?