Sawa mzee wa miongozoMgoja waje kukupa muongozo
Matatizo Yako usilete hukuDunia hii
Matatizo Yako usilete huku
Kwann hazifai mkuuNilienda dukani, yule muuza duka akaniambia hizo cooker ya umeme haifai, labda ya kawaida
Duuh hapo ndio sielewi ila naona inajisave dakika 40 then inazimaManual yako inasemaje hususan kuhusu kupika hayo maharage; hapo kutakuwa na power consumption tofauti huenda wewe unatumia nguvu kidogo ambapo inatumia muda mwingi kufanikisha kazi, ingawa una uwezo wa kutumia nguvu kubwa kwa muda mdogo (in the end workdone is the same)
Za umeme ukikutana na mfanyabiashara mwaminifu anakuambia ukweli, hazifaiKwann hazifai mkuu
Inategemea na matumizi, watu wengi wananunua tu lakini hawajui namna ya kuzitumiaZa umeme ukikutana na mfanyabiashara mwaminifu anakuambia ukweli, hazifai
Kwaiyo niiuze sasaZa umeme ukikutana na mfanyabiashara mwaminifu anakuambia ukweli, hazifai