Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umetumia muda Gani kusoma hii threads vipi SI muda wa kuingiza hela huu? Acha usenge na ujuaji mpumbavu weweChemsha maji weka na maharage yako kwenye chupa isiyopooza usiku kucha asubuhi ikifika yapike dkk 5 tu maharage unakula, mjini mipango, dkk 40 zote hizo si muda wa kuingiza hela 🤣🤣
Hii pia tuliitumia sana miaka ya themanini hadi 90 mwanzoniChemsha maji weka na maharage yako kwenye chupa isiyopooza usiku kucha asubuhi ikifika yapike dkk 5 tu maharage unakula, mjini mipango, dkk 40 zote hizo si muda wa kuingiza hela 🤣🤣
Maji hayaishi lakini maharage si yanaiva?Kutokana na mazingira machafu ya baadhi ya mama ntilie
Mwanaume nimeamua kupika
Sasa Jana nimenunua pressure cooker ili kupikia maharage na nyama Cha ajabu naona maharege natumia saa moja na nusu ila maji hayajauki mpaka kupungunza
Nakosea wapi wakuu
View attachment 3188002
Sawa mkuuUmetumia muda Gani kusoma hii threads vipi SI muda wa kuingiza hela huu? Acha usenge na ujuaji mpumbavu wewe