Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni ya kampuni/brand ipi?Nadhani inategemea na aina ya pressure cooker uliyonunua. Mimi ninayo ya umeme na inatumika almost daily na ni pamoja na nyama, maharage, pilau, mikate na sasa ina mwaka wa pili na familia yangu ni ya watu 6. Pia ni very economical kwenye ulaji wa umeme.
Hapana, kwenye matumizi ya umeme ziko very economicalKale kalid kajuu hakikisha kamejifunga na yaani hamna hewa inayotoka.
Saa 1 maharage yameiva.
Ila izi ndunde zinatumia umeme aisee.
Ambapo hadi kuivisha unaweza kuwa umetumia unit ngapi za LUKU?Huo ndio muda wake...
Dak 10-30 za kujaza pressure
Dak 50-60 za kupika
Basi langu bovuHapana, kwenye matumizi ya umeme ziko very economical
Acha uongoZa umeme ukikutana na mfanyabiashara mwaminifu anakuambia ukweli, hazifai
Sina uelewa zaidi lakini roughly;Ambapo hadi kuivisha unaweza kuwa umetumia unit ngapi za LUKU?
Loweka maharage jioni pika kesho yake au loweka asubuhi kisha yapike jioni, yatatumia kama nusu saa tuu kuiva ndani ya pressure cooker. Samahani kama sikukuelewa concern yako. Ila ukipika maharage au makande bila kuloweka kabla pressure cooker utaiona kama useless.Kutokana na mazingira machafu ya baadhi ya mama ntilie
Mwanaume nimeamua kupika
Sasa Jana nimenunua pressure cooker ili kupikia maharage na nyama Cha ajabu naona maharege natumia saa moja na nusu ila maji hayajauki mpaka kupungunza
Nakosea wapi wakuu
View attachment 3188002
Kama sikosei bei ya unit moja ya umeme uwa ni 356. Kumbe bado siyo gharama kubwa.Sina uelewa zaidi lakini roughly;
Pressure cooker 6L yenye 1000W ikiwaka saa moja inaondoka na Unit 1.
Bei ya unit moja ni Tsh 292, Almost utaivisha maharage kwa sh 300-400.
Wali dak 10-20 unaiva, wali utapika kwa Tsh 100
Hapa vizuri kujua specifications. Maana unit moja ya umeme ni 1kWh au 1000 Wh kwahiyo inabidi usome kwanza consumption ya kifaa chako, mfano kikiandikwa 300 Watt inamaanisha ukikiwasha kwa saa moja kitatumia 300 Watt tu. Karibia nusu ya unit 1.Ambapo hadi kuivisha unaweza kuwa umetumia unit ngapi za LUKU?
Sure Tsh 356 hiviKama sikosei bei ya unit moja ya umeme uwa ni 356. Kumbe bado siyo gharama kubwa.
kwa hiyo zilitengenezwa kwa ajili ya kazi gani?mimi nafikiri wbongo wengi kingereza kinatupiga chenga,kwenye kusoma manual book.Za umeme ukikutana na mfanyabiashara mwaminifu anakuambia ukweli, hazifai
Hata ukiweka shombo inabaki inakua totauti na iliyopikwa kwenye sufuria ya kawaida nafikiri yale maji ya awali huwa yanatakiwa yakauke yote kwanza, sasa pressure cooker yenyewe huwa haikaushi maji inachemsha na yaleyale maji yake hadi inaiva na shombo yakeUkichemsha nyama weka viungo kitunguu swaumu na tangawiz na cubes au simba mbili inakata shombo
brand gani mkuuNadhani inategemea na aina ya pressure cooker uliyonunua. Mimi ninayo ya umeme na inatumika almost daily na ni pamoja na nyama, maharage, pilau, mikate na sasa ina mwaka wa pili na familia yangu ni ya watu 6. Pia ni very economical kwenye ulaji wa umeme.
Bas uwe unaweka kwanza jikoni maji yakikauka unaweka huko😄Hata ukiweka shombo inabaki inakua totauti na iliyopikwa kwenye sufuria ya kawaida nafikiri yale maji ya awali huwa yanatakiwa yakauke yote kwanza, sasa pressure cooker yenyewe huwa haikaushi maji inachemsha na yaleyale maji yake hadi inaiva na shombo yake