Nimenunua pressure cooker, Cha ajabu natumia saa moja na nusu kupika maharage. Nakosea wapi?

Nimenunua pressure cooker, Cha ajabu natumia saa moja na nusu kupika maharage. Nakosea wapi?

Mim nimepikia cake leo nikabonyeza kwenye cake muda umeisha cake ipo vile vile nikatoa nikaweka kwa oven imeiva
 
Duuh hapo ndio sielewi ila naona inajisave dakika 40 then i

Kale kalid kajuu hakikisha kamejifunga na yaani hamna hewa inayotoka.

Saa 1 maharage yameiva.

Ila izi ndunde zinatumia umeme aisee.
Hapana hazitumii mwingi kupika maharage Unit moja haifiki ni kwenye point 46 tena hapo umetumia saa moja na nusu bila kulizima.
 
Kutokana na mazingira machafu ya baadhi ya mama ntilie

Mwanaume nimeamua kupika

Sasa Jana nimenunua pressure cooker ili kupikia maharage na nyama Cha ajabu naona maharege natumia saa moja na nusu ila maji hayajauki mpaka kupungunza

Nakosea wapi wakuu

View attachment 3188002
Mkuu pressure cooker nzur ni zile za Manuel, Mimi ninayo ya Manuel nzuri sana nikiwa utumbo dakika tu umeiva umekua laini kama ndizi
 
Kutokana na mazingira machafu ya baadhi ya mama ntilie

Mwanaume nimeamua kupika

Sasa Jana nimenunua pressure cooker ili kupikia maharage na nyama Cha ajabu naona maharege natumia saa moja na nusu ila maji hayajauki mpaka kupungunza

Nakosea wapi wakuu

View attachment 3188002
Ulichukua namba ya simu ya muuzaji? Umejaribu kumpigia kumuuliza?
 
kwa hiyo zilitengenezwa kwa ajili ya kazi gani?mimi nafikiri wbongo wengi kingereza kinatupiga chenga,kwenye kusoma manual book.
Haiingii akilini dunia nzima wanatumia za umeme,leo bongo ndo tugundue kuwa hazifai.
Hazifai kwenye suala la ubora, na kulingana na kipato chetu na matumizi yetu, je unaweza kumudu manunuzi ya cooker mpya kila inaharibika
 
Kutokana na mazingira machafu ya baadhi ya mama ntilie

Mwanaume nimeamua kupika

Sasa Jana nimenunua pressure cooker ili kupikia maharage na nyama Cha ajabu naona maharege natumia saa moja na nusu ila maji hayajauki mpaka kupungunza

Nakosea wapi wakuu

View attachment 3188002
hiyo pressure cooker ina programme za upishi tayari,wewe weka maharage na weka maji yazidi ujazo wa maharage kwa nchi moja,funika huo mfuniko vizuri,weka on kwenye umeme na uchague programe ya maharage,basi itakupigia na si zaidi ya dk 40 na ikimaliza itatoa mlio,zima na utoe pressure kwenye kile kitufe,mvuke ukiisha basi funua mfuniko maharage tayari
 
Nilienda dukani, yule muuza duka akaniambia hizo cooker ya umeme haifai, labda ya kawaida
sio kweli cooker
Kutokana na mazingira machafu ya baadhi ya mama ntilie

Mwanaume nimeamua kupika

Sasa Jana nimenunua pressure cooker ili kupikia maharage na nyama Cha ajabu naona maharege natumia saa moja na nusu ila maji hayajauki mpaka kupungunza

Nakosea wapi wakuu

View attachment 3188002
Kama bado una shida njoo inbox nitakusaidia
 
Nadhani inategemea na aina ya pressure cooker uliyonunua. Mimi ninayo ya umeme na inatumika almost daily na ni pamoja na nyama, maharage, pilau, mikate na sasa ina mwaka wa pili na familia yangu ni ya watu 6. Pia ni very economical kwenye ulaji wa umeme.
Ya kwangu inaitwa Andalus.
 
Usitutishe bhana mkuu😂.. Unhealthy stuffs zipo everywhere siku hizi ivo vyakula tunavonunua tupike kwenye jiko la mkaa pia vina chemical kibao kuanzia shambani hadi kuhifadhiwa.. Ni hatari kila mahali.
Nasikia umeolewa.., eti kweli? 🥺
 
Back
Top Bottom