Lucha
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 14,516
- 50,658
Hiyo njia ngumu njia nyepesi ni kuacha kula nyama inayopikwa kwa pressure cookerBas uwe unaweka kwanza jikoni maji yakikauka unaweka huko😄
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo njia ngumu njia nyepesi ni kuacha kula nyama inayopikwa kwa pressure cookerBas uwe unaweka kwanza jikoni maji yakikauka unaweka huko😄
Duuh hapo ndio sielewi ila naona inajisave dakika 40 then i
Hapana hazitumii mwingi kupika maharage Unit moja haifiki ni kwenye point 46 tena hapo umetumia saa moja na nusu bila kulizima.Kale kalid kajuu hakikisha kamejifunga na yaani hamna hewa inayotoka.
Saa 1 maharage yameiva.
Ila izi ndunde zinatumia umeme aisee.
Mkuu pressure cooker nzur ni zile za Manuel, Mimi ninayo ya Manuel nzuri sana nikiwa utumbo dakika tu umeiva umekua laini kama ndiziKutokana na mazingira machafu ya baadhi ya mama ntilie
Mwanaume nimeamua kupika
Sasa Jana nimenunua pressure cooker ili kupikia maharage na nyama Cha ajabu naona maharege natumia saa moja na nusu ila maji hayajauki mpaka kupungunza
Nakosea wapi wakuu
View attachment 3188002
Anhaa huenda nakosea hapa huwa naweka mimaji mingi sana nikiamini ndio kuiva kwa harakaWeka maji kidogo sana. Pressure cooker haihitaji maji mengi kama sufuria ya kawaida.
FakeKwann hazifai mkuu
Tatizo waswahili ujuaji ni mwingi sana haya zako original ulizotengeneza zipp wapiFake
Ulichukua namba ya simu ya muuzaji? Umejaribu kumpigia kumuuliza?Kutokana na mazingira machafu ya baadhi ya mama ntilie
Mwanaume nimeamua kupika
Sasa Jana nimenunua pressure cooker ili kupikia maharage na nyama Cha ajabu naona maharege natumia saa moja na nusu ila maji hayajauki mpaka kupungunza
Nakosea wapi wakuu
View attachment 3188002
Hazifai kwenye suala la ubora, na kulingana na kipato chetu na matumizi yetu, je unaweza kumudu manunuzi ya cooker mpya kila inaharibikakwa hiyo zilitengenezwa kwa ajili ya kazi gani?mimi nafikiri wbongo wengi kingereza kinatupiga chenga,kwenye kusoma manual book.
Haiingii akilini dunia nzima wanatumia za umeme,leo bongo ndo tugundue kuwa hazifai.
hiyo pressure cooker ina programme za upishi tayari,wewe weka maharage na weka maji yazidi ujazo wa maharage kwa nchi moja,funika huo mfuniko vizuri,weka on kwenye umeme na uchague programe ya maharage,basi itakupigia na si zaidi ya dk 40 na ikimaliza itatoa mlio,zima na utoe pressure kwenye kile kitufe,mvuke ukiisha basi funua mfuniko maharage tayariKutokana na mazingira machafu ya baadhi ya mama ntilie
Mwanaume nimeamua kupika
Sasa Jana nimenunua pressure cooker ili kupikia maharage na nyama Cha ajabu naona maharege natumia saa moja na nusu ila maji hayajauki mpaka kupungunza
Nakosea wapi wakuu
View attachment 3188002
hoyo haiharibiki hovyohovyo broHazifai kwenye suala la ubora, na kulingana na kipato chetu na matumizi yetu, je unaweza kumudu manunuzi ya cooker mpya kila inaharibika
Hapa suluhisho ni Katiba Mpya tuKutokana na mazingira machafu ya baadhi ya mama ntilie
Mwanaume nimeamua kupika
Sasa Jana nimenunua pressure cooker ili kupikia maharage na nyama Cha ajabu naona maharege natumia saa moja na nusu ila maji hayajauki mpaka kupungunza
Nakosea wapi wakuu
View attachment 3188002
sio kweli cookerNilienda dukani, yule muuza duka akaniambia hizo cooker ya umeme haifai, labda ya kawaida
Kama bado una shida njoo inbox nitakusaidiaKutokana na mazingira machafu ya baadhi ya mama ntilie
Mwanaume nimeamua kupika
Sasa Jana nimenunua pressure cooker ili kupikia maharage na nyama Cha ajabu naona maharege natumia saa moja na nusu ila maji hayajauki mpaka kupungunza
Nakosea wapi wakuu
View attachment 3188002
Hutii limao, tangawizi?nawaza shombo hiloshombo
Sahihi kabisa.Sina uelewa zaidi lakini roughly;
Pressure cooker 6L yenye 1000W ikiwaka saa moja inaondoka na Unit 1.
Bei ya unit moja ni Tsh 292, Almost utaivisha maharage kwa sh 300-400.
Wali dak 10-20 unaiva, wali utapika kwa Tsh 100
Ya kwangu inaitwa Andalus.Nadhani inategemea na aina ya pressure cooker uliyonunua. Mimi ninayo ya umeme na inatumika almost daily na ni pamoja na nyama, maharage, pilau, mikate na sasa ina mwaka wa pili na familia yangu ni ya watu 6. Pia ni very economical kwenye ulaji wa umeme.
Nasikia umeolewa.., eti kweli? 🥺Usitutishe bhana mkuu😂.. Unhealthy stuffs zipo everywhere siku hizi ivo vyakula tunavonunua tupike kwenye jiko la mkaa pia vina chemical kibao kuanzia shambani hadi kuhifadhiwa.. Ni hatari kila mahali.
Itakuwa inatumia kuni hiyo.Kutokana na mazingira machafu ya baadhi ya mama ntilie
Mwanaume nimeamua kupika
Sasa Jana nimenunua pressure cooker ili kupikia maharage na nyama Cha ajabu naona maharege natumia saa moja na nusu ila maji hayajauki mpaka kupungunza
Nakosea wapi wakuu
View attachment 3188002