Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
- Thread starter
- #81
Dactar mi neti now naona kujaza mavtu ndani plas joto ndo siwezi anMimi. Net fresh tuu nalala nimechanua miguu mbupu zipate hewa maake usumbufu wa mbu stakii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dactar mi neti now naona kujaza mavtu ndani plas joto ndo siwezi anMimi. Net fresh tuu nalala nimechanua miguu mbupu zipate hewa maake usumbufu wa mbu stakii
Maji yatafanya mizunguko wa damu ukae sawa...... Hapo ungezidiwa ungeongezewa damu au majiEwaaa sawa sawa mkuu ishu ni kwanini nilihisi kiu hii ipoje...
Maana kuchoka sometimes hata kama ukichoma jiko la mkaa ile CO jau sana ikiwa ina react na O ya hewa..
Sasa tukio la jana ile koo kuwasha na kupaliwa imekaaje an kuna mechanisms gani ya mtu kuhusu kiu vile
Hii experience niliyopitia niliona kabisa kuna malaika anatoa roho au we uaminiUlichopitia hakiwezi kuwa uthibitisho wa Mungu maana hayupo. Ulichopitia ni kwasababu mwili wako una mfumo wa neva, ubongo, na ufahamu (consciousness) ndiyo maana ulipata hayo mateso ila ungekufa usingeweza ku-experience tena hicho ulichopitia.
Mimi naamini kila binadamu siku atakayokufa itakuwa siku ya furaha zaidi kuwahi kutokea kwenye maisha yake, ikiwa tu kama kuna afterlife.
Weww ni legendary huku gomzi...? 😄😄😄😄Sie wenyewe huko ndo malegend.. unaanzaje kwa mfano😀
Mimi Niko na feni siwashii sipatani na feni hata kidogo.....Dactar mi neti now naona kujaza mavtu ndani plas joto ndo siwezi an
Mkuu kifo ni kitu kidogo sana aiseeeeMaji yatafanya mizunguko wa damu ukae sawa...... Hapo ungezidiwa ungeongezewa damu au maji
Kwenye kiu sijajua
Feni sometimes jau sana mkuuSii una feni 😂😂
Mimi Niko na feni siwashii sipatani na feni hata kidogo.....
Mkuu ile ya jana ilikua baba lao aiseeeePole sana mkuu
Izo dawa sii nzuri sana
Hahaha Ila hapo mweleweshe demu wako kupuuliza dawa hizo ukiwa umelala ni hatare kwa afya......Mkuu kifo ni kitu kidogo sana aiseeee
Nishaachana naeHahaha Ila hapo mweleweshe demu wako kupuuliza dawa hizo ukiwa umelala ni hatare kwa afya......
Puliza mapema one hr kabla ya kulala.......
Mkuuu kifo kiskie..Ila we dogo? 🤣🤣🤣
Feni me likae kushoto kabisa at least AC kama ya ndugu yangu SISISFeni sometimes jau sana mkuu
Mi mwenyewe kuna kipindi nazima tuuu
Hata akija. Mwingine marufuku unaweza kuja kufa..... kwann afunge mlango asikuamshe ?Nishaachana nae
Niliposoma tittle nikavuta Umakini lakini kilichoandikwa. Dah kweli we ni poor brain 😂😂😂Mkuuu kifo kiskie..
Kuna kifo na kiu
Yaani mkuu kuna wamama wengine jau sana et anasema kwa kuwa nililala akaona shida kuniamsha...Hata akija. Mwingine marufuku unaweza kuja kufa..... kwann afunge mlango asikuamshe ?
Una kazi kweli kweli 😂..... Tupe visa..Daaah sema mkuu haya madawa yaache tuu...
Kuna siku nitakuja jilipua ndani humu
Mkuu ishu ni dawa ya mbuu ulitaka kunitoa uhai ooooh weww sema hiv hv mi poor ila yakikudaka aaaah utakubaliNiliposoma tittle nikavuta Umakini lakini kilichoandikwa. Dah kweli we ni poor brain 😂😂😂