Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo mkuu,mbona hata makka leo Iddy,sijui utaratibu wenu wa Tanzania ukoje?Duuh mkuu huko ulipo leo mnakula idd mkuu?
Huku Tanzania wazee wa bakwata wamesema kesho mkuu.Ndiyo mkuu,mbona hata makka leo Iddy,sijui utaratibu wenu wa Tanzania ukoje?
Asante nashukuru,ile hadithi ya kusema kabla hujalala unawandika wote kwenye karatasi wanaokudai na unaowadai,nimeikumbuka leoPole sana mkuu. Mungu ana ishara zake. Mojawapo ni hili somo kwamba tujiandae muda wote. Tunamshukuru Mungu kwa kukunusuru na familia yako
mchepuko anasemaje?Yaani kilichonisaidia ni varanda ya nyumba ni kubwa, pamoja na kenji, kama isingekuwa hivyo ukuta ungenifunika nikiwa usingizini.
Sisi hatuna michepuko,ila tunaruhusiwa kuowa wake wannemchepuko anasemaje?
Duh pole sana kwa mitihani
Kuna jamaa aliuliza majuzi nini faida na hasara za kujenga nyumba karribu na barabara, hii iingefaa akaionaJamani ajali haina kinga,
Gari aina ya canter Limekuja kugonga chumbani kwangu, baada ya kufeli breki. Inaonekana lilikuwa limepaki sehemu, likajaa wanguwangu mpaka chumbani. Kishindo nilichokisikia kilikuwa kikubwa sana, tena ukitegemea nilikuwa usingizini Mungu mkubwa hakuna aliyeumia, kwenye gari kulikuwa hakuna mtu
Nitakulaje tunda kimasihara wakati nina wake wanne?Mleta mada ulikuwa usingizini baada ya kula tunda kimasihara?
Kula mizigo mpaka ikome.
Pole sana mkuu.Jamani ajali haina kinga,
Gari aina ya canter Limekuja kugonga chumbani kwangu, baada ya kufeli breki. Inaonekana lilikuwa limepaki sehemu, likajaa wanguwangu mpaka chumbani. Kishindo nilichokisikia kilikuwa kikubwa sana, tena ukitegemea nilikuwa usingizini Mungu mkubwa hakuna aliyeumia, kwenye gari kulikuwa hakuna mtu
Ungekuwa ushajikomboa na hizi tozo..Jamani ajali haina kinga,
Gari aina ya canter Limekuja kugonga chumbani kwangu, baada ya kufeli breki. Inaonekana lilikuwa limepaki sehemu, likajaa wanguwangu mpaka chumbani. Kishindo nilichokisikia kilikuwa kikubwa sana, tena ukitegemea nilikuwa usingizini Mungu mkubwa hakuna aliyeumia, kwenye gari kulikuwa hakuna mtu
Huo uharibu wenye gar watalipa ama
Ndiyo watalipaHuo uharibu wenye gar watalipa ama
Hiyo nyumba iko ndanindani siyo barabarani kivilePole sana mkuu.
Wenzako wajanja wanaoishi pembezoni mwa bara bara huchumbia mataruma ama mirunda kuzikinga nyumba zao na ajali kama hizo.