Nimenusurika kufa usiku huu na ajali

Nimenusurika kufa usiku huu na ajali

Amakweli KIFO ni FUMBO.

Jana J3 kuna Jamaa kanusirika kama wewe hivyo hivyo na alishajiandaa na Mipango chungu mzima.

Yuko hospitalini anauguzwa lakini uhai anao na nyumba haifai tena maana Lori limeichakaza.

Pole sana na nakushauri ongeza Ibada ndugu.
Ndugu acha kabisa,yaani kifo tunatembea nacho,
 
Unakaa mtaa gani nije nipige nyumba yako x uondoe barabarani
 
Back
Top Bottom