Nimenusurika kuuawa Guest house baada ya mpenzi wangu kupandisha majini

Duh ila nyie wanaume mna nyege mbaya😆😆
 
Mimi niliona ananitania Mwanzoni.

Aisee!!
hapo ndipo alikuzidi ujanja!

Malalamiko yake kuhusu harufu asiyoipenda ilikuwa ni sababu tosha hasa nawe uliponusa hizo harufu.

Laiti ungemsikiiza mechi ikasogezwa mbele usingejipata kwenye kadhia hiyo.
 
Juzi niko lugalo hospital kalewa dogo Ana kama 15 years hiv. Walizani maleria umepanda kichwani kumbe majini bwana. Yaani kumbana yule dogo ili achomwe sindano ya usingz/kumlegeza ilihitaji wanaume 6 walishiba Kati yao wanajeshi 3 na bado ilikuwa ni varangati. Na dogo hana mwili mkubwa wala nn. Ndio ni kasemA Haya madude yakivaa mwili Wako na MIGUVU yao ya KISHETANI si ya kuyasogelea kabisa. Mimi demu akianza hizo swaga za Mapepo tu hapo hapo NASEPA
 
Daa... pole sana mkuuu.
 
pole sana mkuu..
naomba nijifunze hap kitu toka kwako..
haya maneno ya kikulungwa ndo yapii??
naomba unisaidie na jamii forum kwa ujumla..
 
Unaendekeza nyege
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…