Nimenyoosha mikono juu

Kama ni kweli aende kwa mwamposa akaombewe au aende kipindi cha njia panda clouds.
Maana majanga yake ni kama series ya kuigofya
 
Sio kwa povu ilo jamani...daah msuto au?
 
Inaweza kua kweli binafsi siwezi kubisha sababu siwezi kujifaham saana, sasa nafanyaje kujua
 
Neno kwa wote wanaompeti peti mtoa mada na kumuonea huruma, wanawake ni HODARI SANA ku-play victims, ukisikia story pande mbili ndio utajua ukweli uko wapi.

Hapo kwenye ati "nyumba yangu" nimeweka kituo, inshort kuna uongo mwingi kwenye siki kisimulizi. Mtu mwenyewe anajiita lady in action lady in action, which action ?! hawa ndio wale wanawake haki sawa ngangari ngangari 50/50 ujuaji, kiburi, jeuri nyingi yakishawakuta wanajifanya kuonewa hapa anajifanya malaika wa nuru, HAKUNA MWANAUME MKOROFI MBELE YA MWANAMKE MWENYE ADABU NA UTII
 
Sorry usinihisi vibaya.

Mara nyingi huwa mnataka mpetiwepetiwe ninyi na siyo kuwapetipeti waume zenu.
Hivyo wasipowapetipeti basi huwa mnasema niache niondoke na mnaondoka kwa mbwembwe sana!

Nikuulize wewe uliondoka baada ya kuonesha juhudi zote za kuilinda ndoa yako kushindikana(kumbuka siyo eti uoneshe mbinu zako wakati umeshachafua!!)
 
Ukifuatilia nyuzi za huyu dada utagundua kua plug zake hazichomi vizuri kichwani
Yani bidaa akili iko tenge, nimepitia nyuzi zake zote ni vijembe kwa huyo mume wake inshort ni mtu wa madrama ya kijinga jinga tu akili kisoda, pole kwa mwenzetu aliyeoa hii creature.
 
Kwanini usijaribu kwenda kumuona "kansela" yaani mwana saikolojia. Mara nyingine ni muhimu kusikilizwa na mtu asiyekuhumu ambae anaweza kukupa ushauri. Pia kuongea ni tiba, unaweza kuliona tatizo kubwa kumbe ni la kawaida tu.
Be strong huyo mtoto anakutegemea, usikate tamaa, ukiweza jiweke bize.
 
Fungukeni Sasa
 
Lkn nyie wanaume mnamatatizo sana somtym sema wanawake wavumilivu sana ila wakichoka mambo ndo hugeuka
 
Kweli mkuu nakubaliana na wewe
 
Mkuu unaibua mambo makubwa khs huyo mdada,kuna changamoto kubwa hapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…