Nimenyoosha mikono juu

Nimenyoosha mikono juu

Baada ya kupitia misukosuko mingi kwenye ndoa yangu nimeamua kuja kupumzika nyumbani. Moyo unauma sana mpaka sitamani hata kuinuka kitandani natamani kulala tu, nikilala usiku nikisikia adhana ya saa 11 asubuh moyo unauma nataman kuwe usiku tu tulale tusiamke. Sina namna siwezi kumlazimisha anipende, hanipendi, haoni umuhimu wangu wala hisia na mimi hana.

Kinachoniuma zaidi vitu yangu vyote nimeiacha,, nyumba yangu, biashara yangu nimerudi O ninamtoto mdogo
Sijajua kwa ambao wameshapitia hili walifanyaje wakasahau machungu maisha yakaendelea.


Dada acha kuhuzunika sana japokuwa ni ngumu.

The matter is,jaribu kukaa na familia yako then uwasikilize wana mawazo gani then kama kuna uwezekano pia kaa na familia ya upande wa mmeo.

Mwisho wa siku if possible mnaweza pata suluhu ikishindikana basi take easy ww sio wa kwanza kukutokea.

Kingine thread yako haina nyama za kuweza mtu kukupa ushauri ulio sahihi coz humu jf hatujui sababu iliyopelekea adi kuachana.

Suluhu yoyote lazima usikilize pande zote mbili then you come up with a better decisions.

Kwa hiyo inatakiwa tu kuyamaliza kifamilia zaidi lkn sio humu,coz sisi hatujui nan mbaya wa mwenzake.

Dada kaza moyo yataisha tena kiroho safi kabisa mm nna imani iyo, ww sio wa kwanza.
 
Kipi umekimiss kwa huyo jamaa mpaka uwe na maumivu hivyo?

Mkuyenge hakupi
Kakununia
Ana wanawake wengi
Hajari watoto
Hakupendi.

Au ni handsome sana??
Au unaogopa mtaa utakuonaje miaka 34 hujaolewa??
Au unaogopa jamii itakushangaa kua umeachwa??

Watoto unao tena 2 kabisa, si ajabu kazi/shughuli ya kukuingizia kipato unayo..

Jitathmini ndgu yangu.
Word
 
Baada ya kupitia misukosuko mingi kwenye ndoa yangu nimeamua kuja kupumzika nyumbani. Moyo unauma sana mpaka sitamani hata kuinuka kitandani natamani kulala tu, nikilala usiku nikisikia adhana ya saa 11 asubuh moyo unauma nataman kuwe usiku tu tulale tusiamke. Sina namna siwezi kumlazimisha anipende, hanipendi, haoni umuhimu wangu wala hisia na mimi hana.

Kinachoniuma zaidi vitu yangu vyote nimeiacha,, nyumba yangu, biashara yan comgu nimerudi O ninamtoto mdogo
Sijajua kwa ambao wameshapitia hili walifanyaje wakasahau machungu maisha yakaendelea.
No matter how long the night will be, morning will eventually come.
There is always a fall before a rise
 
Wazaz wako wakija kusoma andiko hili ajui watajiskiaje.. wamekuzaa.. wamekusomesha had umekua mtu mzima. Gharama nying.. leo hii umeamua kuteseka na mapenz sabab ndo eneo ambalo umeona la muhimu saaaaana kuliko chochote maishan..

Sis wanadam ni viumbe wa ajabu sana aisee.. badala uwekeze akil kwenye mambo ya maana.. unaendekeza mizagamuo.. daah
Hahah n suala la muda atakaa sawa tu
 
Baada ya kupitia misukosuko mingi kwenye ndoa yangu nimeamua kuja kupumzika nyumbani. Moyo unauma sana mpaka sitamani hata kuinuka kitandani natamani kulala tu, nikilala usiku nikisikia adhana ya saa 11 asubuh moyo unauma nataman kuwe usiku tu tulale tusiamke. Sina namna siwezi kumlazimisha anipende, hanipendi, haoni umuhimu wangu wala hisia na mimi hana.

Kinachoniuma zaidi vitu yangu vyote nimeiacha,, nyumba yangu, biashara yangu nimerudi O ninamtoto mdogo
Sijajua kwa ambao wameshapitia hili walifanyaje wakasahau machungu maisha yakaendelea.
Dai talaka.

Amandla...
 
Baada ya kupitia misukosuko mingi kwenye ndoa yangu nimeamua kuja kupumzika nyumbani. Moyo unauma sana mpaka sitamani hata kuinuka kitandani natamani kulala tu, nikilala usiku nikisikia adhana ya saa 11 asubuh moyo unauma nataman kuwe usiku tu tulale tusiamke. Sina namna siwezi kumlazimisha anipende, hanipendi, haoni umuhimu wangu wala hisia na mimi hana.

Kinachoniuma zaidi vitu yangu vyote nimeiacha,, nyumba yangu, biashara yangu nimerudi O ninamtoto mdogo
Sijajua kwa ambao wameshapitia hili walifanyaje wakasahau machungu maisha yakaendelea.
Chakwanza chakujiuliza ulizaliwa naye?na je utakufa naye?kuhusiana na hivyo hitu, biashara japo inauma ndio lakin anza upya namungu atavirejesha, kwann ulazimishe mtu akupende, huyo mtoto mwambie ukweli bwana mm na baba yako tumeachana na yeye ndochanzo hanitaki. Mwache mtoto ajue ukweli na huku ukianza maisha yako upya
 
Dada kwanza pole Sana kwa mazito yaliyokufika n mapito tu hili nalo litapita Kama mengine tu

Sasa dada nimefuatilia nyuzi zako huko nyuma inaonekana mwanzon ulikuwa na mahusiano na mtu mwingne na mkafanikiwa kupata mtoto wenu kwa mujibu wako yupo std 3 kisha mkaachana japo s kwa Aman baadae ukapata mtu mwingne mmeishi pamoja mkapata mtoto Leo mmeachana Tena sasa huoni Kama Kuna shida mahali dada yangu?

Kila mtoto na baba yake na bado n binti wewe unaweza ukapata mtu mwingne akakuzalisha Tena sidhan Kama mtu akuoe asitake mtoto na yeye

USHAURI wangu hebu jifanyie tathmin kwanza wewe mwenyewe kabla ya kuwanyoshea vidole hao wanaume uliopata zaa nao na mkaishi pamoja

Huko nyuma katika wako mmoja ulipata kuyasema haya kuwa mzazi mwenzako anamawasiliano na wewe. Ambayo hukuyapenda kwann hukumblock mapema kuepusha matatizo unadhan mwanamme ambaye unaishi naye angefurahia hayo mawasiliano wakat yeye ndye anayetoa huduma? Usimuone Kama ndez hyo mwanaume wa mwisho uloyeoshi nae lazma alikuwa anafuatilia nyendo zako

JITATHMIN
Na katika kosa kubwa wanalofanya wanawake kwa waume zao ni kuwaona hao wanaume ni mandezi, kumbe hapo mwanaume anajua kila kitu kinachoendelea sema kainamisha kichwa kama kobe huku akitunga sheria. Baadaye bomu utakalopigwa unaanza kulia lia kwa watu ili wakuonee huruma (unatafuta sympathy)!
 
Baada ya kupitia misukosuko mingi kwenye ndoa yangu nimeamua kuja kupumzika nyumbani. Moyo unauma sana mpaka sitamani hata kuinuka kitandani natamani kulala tu, nikilala usiku nikisikia adhana ya saa 11 asubuh moyo unauma nataman kuwe usiku tu tulale tusiamke. Sina namna siwezi kumlazimisha anipende, hanipendi, haoni umuhimu wangu wala hisia na mimi hana.

Kinachoniuma zaidi vitu yangu vyote nimeiacha,, nyumba yangu, biashara yangu nimerudi O ninamtoto mdogo
Sijajua kwa ambao wameshapitia hili walifanyaje wakasahau machungu maisha yakaendelea.
Kiasi nachukua wanawake kwa kile mke wangu alinitendea.... Sikufichi heri huyo mumeo kakuwahi maana nyinyi ni mashetani hamna huruma... Ila pole😏
 
Hasara roho,vingine achana navyo tafuta pesa,imarisha uchumi wako,kuwa karibu na wajane upate uzoefu wa kuhandle stress maana aliyekuumiza fanya vile ameshafariki usonge mbele.
 
Haujanifukuza lkn je ndio nitaubadilisha moyo wake? je hata nikirudi nitadum kwa muda gan sababu anachofanya hata yeye haelewi ni vile hanipendi ndio anajikuta
emu twambie kikubwa kilichokufanya maisha ya hapo yakushinde ni nini
 
Baada ya kupitia misukosuko mingi kwenye ndoa yangu nimeamua kuja kupumzika nyumbani. Moyo unauma sana mpaka sitamani hata kuinuka kitandani natamani kulala tu, nikilala usiku nikisikia adhana ya saa 11 asubuh moyo unauma nataman kuwe usiku tu tulale tusiamke

Baada ya kupitia misukosuko mingi kwenye ndoa yangu nimeamua kuja kupumzika nyumbani. Moyo unauma sana mpaka sitamani hata kuinuka kitandani natamani kulala tu, nikilala usiku nikisikia adhana ya saa 11 asubuh moyo unauma nataman kuwe usiku tu tulale tusiamke. Sina namna siwezi kumlazimisha anipende, hanipendi, haoni umuhimu wangu wala hisia na mimi hana.

Kinachoniuma zaidi vitu yangu vyote nimeiacha,, nyumba yangu, biashara yangu nimerudi O ninamtoto mdogo
Sijajua kwa ambao wameshapitia hili walifanyaje wakasahau machungu maisha yakaendelea.
usingizi sio dawa, amka usingizini majibu yatakuja
 
lakini dada hata leo ukiondoka kwa huyu kesho utapata mwingine.mambo yatakuwa yaleyele kwa sababu inaonekana we ndo mwenye shida na wala sio hao wanaume inahitaji mtu wa kuongea nae
 
Baada ya kupitia misukosuko mingi kwenye ndoa yangu nimeamua kuja kupumzika nyumbani. Moyo unauma sana mpaka sitamani hata kuinuka kitandani natamani kulala tu, nikilala usiku nikisikia adhana ya saa 11 asubuh moyo unauma nataman kuwe usiku tu tulale tusiamke. Sina namna siwezi kumlazimisha anipende, hanipendi, haoni umuhimu wangu wala hisia na mimi hana.

Kinachoniuma zaidi vitu yangu vyote nimeiacha,, nyumba yangu, biashara yangu nimerudi O ninamtoto mdogo
Sijajua kwa ambao wameshapitia hili walifanyaje wakasahau machungu maisha yakaendelea.
Simple issue ya kufuata mihemko imekufanya urudi nyuma. Hili ndio tatizo la General Partnerships nyingi kufeli ikiwemo ndoa.
 
Mwenyewe kama wewe,nahisi una kheri kidogo,mi alikuwa ananiacha Kwa miez 6 bila huduma ukimuuliza anasema ndo maana nilioa mwalimu....nimeishi nae miaka miwili nimeona nae mara 5.Nilivumilia Kuogopa watu wataongea Nini...but moyo ulivyochoka niligeuka jumla na sikurudi nyuma.Mali zinapita tu,embu jikaze anza 1 na utafika panapostahili ...nilitamani kufa ila nilipowaza watoto na utamu wa debolo....nikasema 🤪.....just move on baby....ninao wawili watoto..miaka 7 na 2 yrs old.Naganga🤜 kazaaa😉😉😉
Pole Sana kipenz changu
 
Mapenz mapenzi!!ushauri Tafuta mirinda ya baridi sukumia na mbuzi katoliki..lala tafakar maisha upya wapi umetoka..wapi unaenda...fikiria watu wote waliojitoa wewe kufika hapo..halaf factor zingine keep constant
 
Baada ya kupitia misukosuko mingi kwenye ndoa yangu nimeamua kuja kupumzika nyumbani. Moyo unauma sana mpaka sitamani hata kuinuka kitandani natamani kulala tu, nikilala usiku nikisikia adhana ya saa 11 asubuh moyo unauma nataman kuwe usiku tu tulale tusiamke. Sina namna siwezi kumlazimisha anipende, hanipendi, haoni umuhimu wangu wala hisia na mimi hana.

Kinachoniuma zaidi vitu yangu vyote nimeiacha,, nyumba yangu, biashara yangu nimerudi O ninamtoto mdogo
Sijajua kwa ambao wameshapitia hili walifanyaje wakasahau machungu maisha yakaendelea.
Pole sana siwez kuongeleasana ndoa sabbu sijapitia huko lkn nakuonea huruma
Kilakitu kinakuja na Riziki kikiwepo ndipo Riziki Yako ilipo kikiisha amini rizikiyako imeisha wakat unajisikia uchovu huwez kuamka sabbu ya maumivu ya mapenz mfukirie yule alikuwa ICU mda huu anapigania uhai anatamn ainuke angalau aone mandhari ya nje ilivo lkn viungo vyote havina mawasiliano utagundua wew unamaumivu ya kawaida mno,kunamwingine kapotess viungo vyote muda huu kwaajali umehis maumivu yake??
Mungu kakupa pumz kakupa nguvu hesabu Hilo ndilo jaribu lako na muhimu ulishinde

Iyosehemu haikuwa sahihi kwako fikiria izostress zinaweza sabbisha upoteze dira ya watoto wako wenye thamni kuliko hta nyumba uloacha vitu vinatafutwa tu dada omba Mungu sana akupe subra na uvumilivu ktka kipindi hiki usiache kuomba..polesana
 
Kiasi nachukua wanawake kwa kile mke wangu alinitendea.... Sikufichi heri huyo mumeo kakuwahi maana nyinyi ni mashetani hamna huruma... Ila pole😏
Sawa lkn sio wakt wake ulishapona maumivu Yako unajua pia hali wanazopitia wengine punguza ukali wa maneno
 
Back
Top Bottom