Nimeoa nina miezi miwili lakini naona kero kwa mambo haya

[emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]
nikajua utakua umelala kumbe tupo macho wengi,
 
mbona mambo madogo tu hayo wala yasikunyime raha mkuu
 
af ndio Nini?
Hebu acha ujinga
Mtu hujui hata kuandika jamani
Kumbe kweli time ya uchaguzi haijawaonea watu
Watu hamjui kuandika hata kiswahili?
Nimeshi dwa kuendelea kusoma
 
hahahah sijaoa ila Hiyo namba 3 I can feel it
 
Piga chini huyo mke, talaka zipo kwa ajili ya waliooa, ukiona vitu vidogo vidogo vinakukera usipoteze muda
 
Kwa hiyo mkuu we masuala ya kuoga huyataki kabisa
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Una kisirani.

Na kwa kisirani hiki, I think your wife is pregnant.
 
Ulilazimishwa kuoa?.

4.Kama hamna baya kwenye simu uliyoongea nayo mbona huwa ni rahisi tu kushare...
 
Vitu ambavyo mim sipend:-
1.kuulizwa unaenda wapi au uko wap
2.ukimaliza kuongea na sm lazma ujieleze

Hilo la kuoga,hata mim nilpataga shda sana,unalazimishwa kuoga wakat toka asubuh nmeshnda ndani tu,yaan sjatoka hata jasho lakin unaambiwa kuoga
Huna harufu?
 
Wewe sio muoaji mkuu bado ujana unakusumbua unapoamua kuoa au kuolewa inapaswa uachane namambo yote yadunia sasa wewe unaonekana bado means unataka ufanye unachokitaka wewe wakati tayari mko wawili nammeishakuwa mwili mmoja poleeee ILA TAMBUA UJANA NIMAJI YAMOTO HAUTAKUFIKISHA POPOTE KAMA UNAONA HUYO MWANAMKE KAWA KERO MUACHE MTOTO WAWATU ENDELEA NA USELA WAKO.
 
Vitu ambavyo mim sipend:-
1.kuulizwa unaenda wapi au uko wap
2.ukimaliza kuongea na sm lazma ujieleze

Hilo la kuoga,hata mim nilpataga shda sana,unalazimishwa kuoga wakat toka asubuh nmeshnda ndani tu,yaan sjatoka hata jasho lakin unaambiwa kuoga
Kwanini nisikuulize wakati wewe mme wangu akuuuuu kwahilo baba nilegezeee[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…