Nimeoa nina miezi miwili lakini naona kero kwa mambo haya

Nimeoa nina miezi miwili lakini naona kero kwa mambo haya

We MVULANA ndoa huiwezi mpe talaka katafute mademu.
 
Mkuu hapo unaanza maisha mapya ambayo hukuyategemea kwanza kama ulikuwa mtu wa misele tu saizi anza kuandaa sababu unaenda wapi na kufanya nini na upo na nani na ulionao wife lazima awe anawafahamu,kuoga hata kama ujisikii kuoga utaambiwa maji tayari kaoge,suala la chai na mikate na maandazi anza kuzoea,kama wife anapenda dagaa zilizochanganywa na nyanya chungu na bamia utaambiwa ni nzuri na akipata mimba hapo mziki wake ni mwingine kabisa,jambo la msingi vitu vingine chukulia kawaida tu.
 
Nina miezi miwili nimeoa ila hizo ndo kero ambazo nakutana nazo,na kiukweli zinakeraaa

1;Ku deal Na wakwe Na mashemeji
kuna mashemej ni wasumbufu asee,yaani anaeza kupigia simu af hana cha maana Na akaforce muongee nusu saa Na huezi mkatia simu.tena bora awe mjini wakiwa wa vijijini utakoma.af shida zao zote zinakua zako

2;kula chakula ambacho amependa mke wako siku hiyo.
unaeza toka kwenye miangaiko siku hyo ukawa Na hamu ya ugali samaki ila ukakuta kapika kande la nazi, af anaanza kusifia sifia lilivyo tamu.inakeraa
Saa nyingine ukimpgia simu mapema umwambie apike nn anakwambia ashanunua vifaa,hata kama bado atakudanganya ilimradi apike anachotaka kula siku hyo

3;kuwekewa maji ya kuoga af siku hyo hutak hata kuyaona maji.
utaskia honey nshakuekea maji kaoge,dah inakera Na huezi kataa

4;kukosa uhuru
ukipigiwa simu tu ukamaliza kuongea unaanza kuulizwa alikua nan?
Hapo unaanza kujieleza inform of essay
To be continued......
Ukapela raha sana mzee baba... naona unatamani siku zirudi nyuma
 
huyo mwenzio ulitafutiwa??

unaonesha ulivo chanongo yan kuwekewamaji ukaoge nako ni kero kisa hutaki kuoga!!mna kazi
Kaolea Tamaa ya ngono
Mwanaume unaona Keri kupelekewa maji bafuni aisee
Wee mwanaume WA wapi Tuanzie hapo
Hata kuwajibu shemeji zako kiujanja Kwa kuwaadaa kuwapigia baadae ndo mazima hujui
 
Vitu ambavyo mim sipend:-
1.kuulizwa unaenda wapi au uko wap
2.ukimaliza kuongea na sm lazma ujieleze

Hilo la kuoga,hata mim nilpataga shda sana,unalazimishwa kuoga wakat toka asubuh nmeshnda ndani tu,yaan sjatoka hata jasho lakin unaambiwa kuoga
Kwani kuoga kuna shida gani bro?, Hadi uone ni kero.
 
yaani
Kaolea Tamaa ya ngono
Mwanaume unaona Keri kupelekewa maji bafuni aisee
Wee mwanaume WA wapi Tuanzie hapo
Hata kuwajibu shemeji zako kiujanja Kwa kuwaadaa kuwapigia baadae ndo mazima hujui
 
Hiyo ndoa mlilazimishwa jamani

Ndoa ni wito sio unasukumwa tu
 
Kwani kuoga kuna shida gani bro?, Hadi uone ni kero.
Kuoga Kuna hatua nying ndo huwa szipend kama sjatoka jasho:-
1.uvue nguo
2.ujimwagie maji
3.ujpake sabuni
4.ujisugue
5.uvae tena
6.ukajpake mafuta
7.uchane nywele

NI BORA KAZI YA KUOSHA VYOMBO KULIKO KUOGA
 
Mkuu...Acha uchafu.. nani anataka kulala na mwanaume ananuka kama beberu..uwe unaoga...mchafu kunuka we.
Wewe nawe unasema mbona hautaki kumfulia mtarajiwa nguo. Mimi siku nikioa nitahakikisha natengeneza uzio wa hatari kati yangu na shemeji zangu na hata wakwe lazima kuwepo na adabu.
 
Mkuu vp kazi yako ya kuzibua vyoo au? Mana kwenye kuoga hapo dah ngachoka au unataka kulala na mnolo
 
Back
Top Bottom