Nimeoa nina miezi miwili lakini naona kero kwa mambo haya

Nimeoa nina miezi miwili lakini naona kero kwa mambo haya

Kuna mada nyingine kuchangia unatakiwa kujitoa akili sana, na hii ni moja wapo.

Ungekuwa karibu yangu ningekupiga bonge la KOFI. shwain...!!!
 
Nina miezi miwili nimeoa ila hizo ndo kero ambazo nakutana nazo,na kiukweli zinakeraaa

1;Ku deal Na wakwe,mashemeji Na mawifi
kuna mashemej ni wasumbufu asee,yaani anaeza kupigia simu af hana cha maana Na akaforce muongee nusu saa Na huezi mkatia simu.tena bora awe mjini wakiwa wa vijijini utakoma.af shida zao zote zinakua zako

2;kula chakula ambacho amependa mke wako siku hiyo.
unaeza toka kwenye miangaiko siku hyo ukawa Na hamu ya ugali samaki ila ukakuta kapika kande la nazi, af anaanza kusifia sifia lilivyo tamu.inakeraa
Saa nyingine ukimpgia simu mapema umwambie apike nn anakwambia ashanunua vifaa,hata kama bado atakudanganya ilimradi apike anachotaka kula siku hyo

3;kuwekewa maji ya kuoga af siku hyo hutak hata kuyaona maji.
utaskia honey nshakuekea maji kaoge,dah inakera Na huezi kataa

4;kukosa uhuru
ukipigiwa simu tu ukamaliza kuongea unaanza kuulizwa alikua nan?
Hapo unaanza kujieleza inform of essay
To be continued......
Mkuu naunga mkono kwenye kero kuhusu kuoga! Wadau humu wamehamaki ulivyoijumuisha lakini binadamu hatufanani, ni asili tu ilitokea wengine kuoga kuwa changamoto!

Hata kisayansi hatikiwi kuoga kila siku
 
Leta no,ya cm yake nijaribu kuongea nae
 
Hii ni kawaida kabisa mwanzoni mwa ndoa. Vipi kitandani unajisikiaje unapokuwa umelala halafu mtu akakuwekea miguu ama mikono? Kuna siku utakuta makochi ama kitanda vimebadilishwa mwelekeo. Siku mkipata mtoto pia hautapenda. Miezi 2-3 ya mtoto kulia usiku bila kulala. Lakini mwishoe utazoea.
Nina miezi miwili nimeoa ila hizo ndo kero ambazo nakutana nazo,na kiukweli zinakeraaa

1;Ku deal Na wakwe,mashemeji Na mawifi
kuna mashemej ni wasumbufu asee,yaani anaeza kupigia simu af hana cha maana Na akaforce muongee nusu saa Na huezi mkatia simu.tena bora awe mjini wakiwa wa vijijini utakoma.af shida zao zote zinakua zako

2;kula chakula ambacho amependa mke wako siku hiyo.
unaeza toka kwenye miangaiko siku hyo ukawa Na hamu ya ugali samaki ila ukakuta kapika kande la nazi, af anaanza kusifia sifia lilivyo tamu.inakeraa
Saa nyingine ukimpgia simu mapema umwambie apike nn anakwambia ashanunua vifaa,hata kama bado atakudanganya ilimradi apike anachotaka kula siku hyo

3;kuwekewa maji ya kuoga af siku hyo hutak hata kuyaona maji.
utaskia honey nshakuekea maji kaoge,dah inakera Na huezi kataa

4;kukosa uhuru
ukipigiwa simu tu ukamaliza kuongea unaanza kuulizwa alikua nan?
Hapo unaanza kujieleza inform of essay
To be continued......
 
Nina miezi miwili nimeoa ila hizo ndo kero ambazo nakutana nazo,na kiukweli zinakeraaa

1;Ku deal Na wakwe,mashemeji Na mawifi
kuna mashemej ni wasumbufu asee,yaani anaeza kupigia simu af hana cha maana Na akaforce muongee nusu saa Na huezi mkatia simu.tena bora awe mjini wakiwa wa vijijini utakoma.af shida zao zote zinakua zako

2;kula chakula ambacho amependa mke wako siku hiyo.
unaeza toka kwenye miangaiko siku hyo ukawa Na hamu ya ugali samaki ila ukakuta kapika kande la nazi, af anaanza kusifia sifia lilivyo tamu.inakeraa
Saa nyingine ukimpgia simu mapema umwambie apike nn anakwambia ashanunua vifaa,hata kama bado atakudanganya ilimradi apike anachotaka kula siku hyo

3;kuwekewa maji ya kuoga af siku hyo hutak hata kuyaona maji.
utaskia honey nshakuekea maji kaoge,dah inakera Na huezi kataa

4;kukosa uhuru
ukipigiwa simu tu ukamaliza kuongea unaanza kuulizwa alikua nan?
Hapo unaanza kujieleza inform of essay
To be continued......
Una jinsia mbili?
Utakuwaje na mawifi kwa mujibu wa namba 1 ni ke na 2 na 3 inaonyesha ni me?

Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
 
Nina miezi miwili nimeoa ila hizo ndo kero ambazo nakutana nazo,na kiukweli zinakeraaa

1;Ku deal Na wakwe,mashemeji Na mawifi
kuna mashemej ni wasumbufu asee,yaani anaeza kupigia simu af hana cha maana Na akaforce muongee nusu saa Na huezi mkatia simu.tena bora awe mjini wakiwa wa vijijini utakoma.af shida zao zote zinakua zako

2;kula chakula ambacho amependa mke wako siku hiyo.
unaeza toka kwenye miangaiko siku hyo ukawa Na hamu ya ugali samaki ila ukakuta kapika kande la nazi, af anaanza kusifia sifia lilivyo tamu.inakeraa
Saa nyingine ukimpgia simu mapema umwambie apike nn anakwambia ashanunua vifaa,hata kama bado atakudanganya ilimradi apike anachotaka kula siku hyo

3;kuwekewa maji ya kuoga af siku hyo hutak hata kuyaona maji.
utaskia honey nshakuekea maji kaoge,dah inakera Na huezi kataa

4;kukosa uhuru
ukipigiwa simu tu ukamaliza kuongea unaanza kuulizwa alikua nan?
Hapo unaanza kujieleza inform of essay
To be continued......
Miezi mbili tu mzee unalalama namna hii?[emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe ni wa kuundia tume kabisa [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nina miezi miwili nimeoa ila hizo ndo kero ambazo nakutana nazo,na kiukweli zinakeraaa

1;Ku deal Na wakwe,mashemeji Na mawifi
kuna mashemej ni wasumbufu asee,yaani anaeza kupigia simu af hana cha maana Na akaforce muongee nusu saa Na huezi mkatia simu.tena bora awe mjini wakiwa wa vijijini utakoma.af shida zao zote zinakua zako

2;kula chakula ambacho amependa mke wako siku hiyo.
unaeza toka kwenye miangaiko siku hyo ukawa Na hamu ya ugali samaki ila ukakuta kapika kande la nazi, af anaanza kusifia sifia lilivyo tamu.inakeraa
Saa nyingine ukimpgia simu mapema umwambie apike nn anakwambia ashanunua vifaa,hata kama bado atakudanganya ilimradi apike anachotaka kula siku hyo

3;kuwekewa maji ya kuoga af siku hyo hutak hata kuyaona maji.
utaskia honey nshakuekea maji kaoge,dah inakera Na huezi kataa

4;kukosa uhuru
ukipigiwa simu tu ukamaliza kuongea unaanza kuulizwa alikua nan?
Hapo unaanza kujieleza inform of essay
To be continued......
Kama haukuwa tayari kufunga "PINGU" za maisha ulitakiwa usubiri. Inaonekana hupendi anachokipenda mkeo, na yeye hapendi unachokipenda. Kifupi mmeoana ambao hamuwezi kuvumiliana, ukumbuke hii ni miezi miwili tu bado kuna miaka kadhaa mbele yenu.
 
Nina miezi miwili nimeoa ila hizo ndo kero ambazo nakutana nazo,na kiukweli zinakeraaa

1;Ku deal Na wakwe,mashemeji Na mawifi
kuna mashemej ni wasumbufu asee,yaani anaeza kupigia simu af hana cha maana Na akaforce muongee nusu saa Na huezi mkatia simu.tena bora awe mjini wakiwa wa vijijini utakoma.af shida zao zote zinakua zako

2;kula chakula ambacho amependa mke wako siku hiyo.
unaeza toka kwenye miangaiko siku hyo ukawa Na hamu ya ugali samaki ila ukakuta kapika kande la nazi, af anaanza kusifia sifia lilivyo tamu.inakeraa
Saa nyingine ukimpgia simu mapema umwambie apike nn anakwambia ashanunua vifaa,hata kama bado atakudanganya ilimradi apike anachotaka kula siku hyo

3;kuwekewa maji ya kuoga af siku hyo hutak hata kuyaona maji.
utaskia honey nshakuekea maji kaoge,dah inakera Na huezi kataa

4;kukosa uhuru
ukipigiwa simu tu ukamaliza kuongea unaanza kuulizwa alikua nan?
Hapo unaanza kujieleza inform of essay
To be continued......
Aisee unashangaza sana,maana huyo mkeo ni kama ulimuokota au ulipewa,kwani huwezi kuongea nae mambo madogomadogo kama hayo mkaelewana?
 
😀😀😀
Yaani unataka uishi kibachelor ndani ya ndoa. Pambana tu mkuu utazoea.
 
Tatizo hupendi kuoga mkuu [emoji23] ku-solve matatizo yako inabidi uoge, ikiwezekana uwe unalala kwenye bath-tub au beseni kubwa.

Nimegundua hupendi kuoga, kutokuoga ndiyo chanzo cha kuchukia kande; kande zinahitaji mwili mwepesi wakati wa kula, pia ukiwa huogi huwezi kuwa na mazungumzo mazuri, ukioga unaweza kuongea na simu hata lisaa.

Ukiwa unaoga hautaitwa tena maji tayari maana utakuwa unapenda kwahiyo utaweka maji mwenyewe. Ukiwa unaoga hutapata muda wa kuongea na simu karibu na mke wako maana muda mwingi utakuwa bafuni hivyo hutaulizwa maswali na utakuwa ukitoka kuoga muda ni wa kujiandaa na kutoka.

OGA MKUU! [emoji23]

[emoji23][emoji23][emoji38] kuoga kunaepusha mengi
 
sasa subiri utanyanganywa mke sisi tunatafuta angalau wa kukaa naye achila hizo service
 
Back
Top Bottom