Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
haijawahi kumuacha mtu salama,siasa mbaya sanaHuyu kavurugwa na siasa huyuu... siasa mbaya sana.
Kumbe ni hivyo...wacha niendelee kugegeda tuuNina miezi miwili nimeoa ila hizo ndo kero ambazo nakutana nazo,na kiukweli zinakeraaa
1;Ku deal Na wakwe,mashemeji Na mawifi
kuna mashemej ni wasumbufu asee,yaani anaeza kupigia simu af hana cha maana Na akaforce muongee nusu saa Na huezi mkatia simu.tena bora awe mjini wakiwa wa vijijini utakoma.af shida zao zote zinakua zako
2;kula chakula ambacho amependa mke wako siku hiyo.
unaeza toka kwenye miangaiko siku hyo ukawa Na hamu ya ugali samaki ila ukakuta kapika kande la nazi, af anaanza kusifia sifia lilivyo tamu.inakeraa
Saa nyingine ukimpgia simu mapema umwambie apike nn anakwambia ashanunua vifaa,hata kama bado atakudanganya ilimradi apike anachotaka kula siku hyo
3;kuwekewa maji ya kuoga af siku hyo hutak hata kuyaona maji.
utaskia honey nshakuekea maji kaoge,dah inakera Na huezi kataa
4;kukosa uhuru
ukipigiwa simu tu ukamaliza kuongea unaanza kuulizwa alikua nan?
Hapo unaanza kujieleza inform of essay
To be continued......
Tatizo ulioa kwa kuangalia mtikisiko wa makalio.Nina miezi miwili nimeoa ila hizo ndo kero ambazo nakutana nazo,na kiukweli zinakeraaa
1;Ku deal Na wakwe,mashemeji Na mawifi
kuna mashemej ni wasumbufu asee,yaani anaeza kupigia simu af hana cha maana Na akaforce muongee nusu saa Na huezi mkatia simu.tena bora awe mjini wakiwa wa vijijini utakoma.af shida zao zote zinakua zako
2;kula chakula ambacho amependa mke wako siku hiyo.
unaeza toka kwenye miangaiko siku hyo ukawa Na hamu ya ugali samaki ila ukakuta kapika kande la nazi, af anaanza kusifia sifia lilivyo tamu.inakeraa
Saa nyingine ukimpgia simu mapema umwambie apike nn anakwambia ashanunua vifaa,hata kama bado atakudanganya ilimradi apike anachotaka kula siku hyo
3;kuwekewa maji ya kuoga af siku hyo hutak hata kuyaona maji.
utaskia honey nshakuekea maji kaoge,dah inakera Na huezi kataa
4;kukosa uhuru
ukipigiwa simu tu ukamaliza kuongea unaanza kuulizwa alikua nan?
Hapo unaanza kujieleza inform of essay
To be continued......
Nina miezi miwili nimeoa ila hizo ndo kero ambazo nakutana nazo,na kiukweli zinakeraaa
1;Ku deal Na wakwe,mashemeji Na mawifi
kuna mashemej ni wasumbufu asee,yaani anaeza kupigia simu af hana cha maana Na akaforce muongee nusu saa Na huezi mkatia simu.tena bora awe mjini wakiwa wa vijijini utakoma.af shida zao zote zinakua zako
2;kula chakula ambacho amependa mke wako siku hiyo.
unaeza toka kwenye miangaiko siku hyo ukawa Na hamu ya ugali samaki ila ukakuta kapika kande la nazi, af anaanza kusifia sifia lilivyo tamu.inakeraa
Saa nyingine ukimpgia simu mapema umwambie apike nn anakwambia ashanunua vifaa,hata kama bado atakudanganya ilimradi apike anachotaka kula siku hyo
3;kuwekewa maji ya kuoga af siku hyo hutak hata kuyaona maji.
utaskia honey nshakuekea maji kaoge,dah inakera Na huezi kataa
4;kukosa uhuru
ukipigiwa simu tu ukamaliza kuongea unaanza kuulizwa alikua nan?
Hapo unaanza kujieleza inform of essay
To be continued......
Vitu ambavyo mim sipend:-
1.kuulizwa unaenda wapi au uko wap
2.ukimaliza kuongea na sm lazma ujieleze
Hilo la kuoga,hata mim nilpataga shda sana,unalazimishwa kuoga wakat toka asubuh nmeshnda ndani tu,yaan sjatoka hata jasho lakin unaambiwa kuoga
Duh hapo matatizo utakua nayo weweNina miezi miwili nimeoa ila hizo ndo kero ambazo nakutana nazo,na kiukweli zinakeraaa
1;Ku deal Na wakwe,mashemeji Na mawifi
kuna mashemej ni wasumbufu asee,yaani anaeza kupigia simu af hana cha maana Na akaforce muongee nusu saa Na huezi mkatia simu.tena bora awe mjini wakiwa wa vijijini utakoma.af shida zao zote zinakua zako
2;kula chakula ambacho amependa mke wako siku hiyo.
unaeza toka kwenye miangaiko siku hyo ukawa Na hamu ya ugali samaki ila ukakuta kapika kande la nazi, af anaanza kusifia sifia lilivyo tamu.inakeraa
Saa nyingine ukimpgia simu mapema umwambie apike nn anakwambia ashanunua vifaa,hata kama bado atakudanganya ilimradi apike anachotaka kula siku hyo
3;kuwekewa maji ya kuoga af siku hyo hutak hata kuyaona maji.
utaskia honey nshakuekea maji kaoge,dah inakera Na huezi kataa
4;kukosa uhuru
ukipigiwa simu tu ukamaliza kuongea unaanza kuulizwa alikua nan?
Hapo unaanza kujieleza inform of essay
To be continued......
Kuoga lazima, hii huwapa shida sana wanaume wanapo oa [emoji23][emoji23][emoji23]Vitu ambavyo mim sipend:-
1.kuulizwa unaenda wapi au uko wap
2.ukimaliza kuongea na sm lazma ujieleze
Hilo la kuoga,hata mim nilpataga shda sana,unalazimishwa kuoga wakat toka asubuh nmeshnda ndani tu,yaan sjatoka hata jasho lakin unaambiwa kuoga
chanongo😅😅huyo mwenzio ulitafutiwa??
unaonesha ulivo chanongo yan kuwekewamaji ukaoge nako ni kero kisa hutaki kuoga!!mna kazi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] naona ume Forgotten kumwita UnforgetableTatizo hupendi kuoga mkuu [emoji23] ku-solve matatizo yako inabidi uoge, ikiwezekana uwe unalala kwenye bath-tub au beseni kubwa.
Nimegundua hupendi kuoga, kutokuoga ndiyo chanzo cha kuchukia kande; kande zinahitaji mwili mwepesi wakati wa kula, pia ukiwa huogi huwezi kuwa na mazungumzo mazuri, ukioga unaweza kuongea na simu hata lisaa.
Ukiwa unaoga hautaitwa tena maji tayari maana utakuwa unapenda kwahiyo utaweka maji mwenyewe. Ukiwa unaoga hutapata muda wa kuongea na simu karibu na mke wako maana muda mwingi utakuwa bafuni hivyo hutaulizwa maswali na utakuwa ukitoka kuoga muda ni wa kujiandaa na kutoka.
OGA MKUU! [emoji23]
ndio ni chanongo huyo yani mchafuchanongo😅😅