Nimeoa nina miezi miwili lakini naona kero kwa mambo haya

Nimeoa nina miezi miwili lakini naona kero kwa mambo haya

Mapema sana kulalamika, huenda umekurupuka kuoa (kufata mkumbo).
 
bado sana kijana, ngoja mashemeji waanze kufurika nyumbani kwako nakuhakikishia mlangoni kwako kutajaa ndala kama vile msikitini .. usisahau kuleta tena taarifa ukifika hatua hiyo
 
Jamaa Angekua kijiweni, wangesema : Hatimaye mchafu kuoga kapata demu msafi....[emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732] ....!!!
 
Nina miezi miwili nimeoa ila hizo ndo kero ambazo nakutana nazo,na kiukweli zinakeraaa

1;Ku deal Na wakwe,mashemeji Na mawifi
kuna mashemej ni wasumbufu asee,yaani anaeza kupigia simu af hana cha maana Na akaforce muongee nusu saa Na huezi mkatia simu.tena bora awe mjini wakiwa wa vijijini utakoma.af shida zao zote zinakua zako

2;kula chakula ambacho amependa mke wako siku hiyo.
unaeza toka kwenye miangaiko siku hyo ukawa Na hamu ya ugali samaki ila ukakuta kapika kande la nazi, af anaanza kusifia sifia lilivyo tamu.inakeraa
Saa nyingine ukimpgia simu mapema umwambie apike nn anakwambia ashanunua vifaa,hata kama bado atakudanganya ilimradi apike anachotaka kula siku hyo

3;kuwekewa maji ya kuoga af siku hyo hutak hata kuyaona maji.
utaskia honey nshakuekea maji kaoge,dah inakera Na huezi kataa

4;kukosa uhuru
ukipigiwa simu tu ukamaliza kuongea unaanza kuulizwa alikua nan?
Hapo unaanza kujieleza inform of essay
To be continued......
Daah. Brother unatatizo sehemu sio bure
 
Ww ni mtu mzima sasa,na mkeo mtu mzima ,mmekutala kila mtu na tabia yake,ili muishi pamoja unatakiwa uchukue tabia zako nzuli nae achukue tabia zake nzuli kisha mnajumlisha zile mbaya mnaziacha, mweleze mkeo mapema usioyapenda ili ajue kwa maaana usipomweleza leo ,ukaaa ndio ukaja kumweleza hukooo mbele atakuambia ya kwmb umebadilika cku hizi au atakuambia umepata mwanamke mwingine, ukiwa unahamu ya ugali mwambie asubui unapotoka, na kuhusu hao mashemeji zako akiwa amekupigia cm na hana cha maana anachoongea. Kama hauna kazi msikilize maana huwenda anawalingishia wanazengo hukooo kwmb dada yangu ameolewa mjini ngoja nimpigie shemeji yangu mumsikie bila kujua kama dada yake anakumbana na kibamia au mkono WA tembo, kama hauitaji kumksikiliza mwambie nina kazi nitakucheki baadae inakuwa imekwisha hiyooo,

Sent from my itel S11 using JamiiForums mobile app
 
Tatizo hupendi kuoga mkuu [emoji23] ku-solve matatizo yako inabidi uoge, ikiwezekana uwe unalala kwenye bath-tub au beseni kubwa.

Nimegundua hupendi kuoga, kutokuoga ndiyo chanzo cha kuchukia kande; kande zinahitaji mwili mwepesi wakati wa kula, pia ukiwa huogi huwezi kuwa na mazungumzo mazuri, ukioga unaweza kuongea na simu hata lisaa.

Ukiwa unaoga hautaitwa tena maji tayari maana utakuwa unapenda kwahiyo utaweka maji mwenyewe. Ukiwa unaoga hutapata muda wa kuongea na simu karibu na mke wako maana muda mwingi utakuwa bafuni hivyo hutaulizwa maswali na utakuwa ukitoka kuoga muda ni wa kujiandaa na kutoka.

OGA MKUU! [emoji23]
Kwakweli... Solution Ni kuoga
 
Miezi miwili tu unaanza kulalama, asee!!! Happy kwenye mashemeji sawa, Sasa na kuoga napo😂😂😂
 
Tatizo hupendi kuoga mkuu 😂 ku-solve matatizo yako inabidi uoge, ikiwezekana uwe unalala kwenye bath-tub au beseni kubwa.

Nimegundua hupendi kuoga, kutokuoga ndiyo chanzo cha kuchukia kande; kande zinahitaji mwili mwepesi wakati wa kula, pia ukiwa huogi huwezi kuwa na mazungumzo mazuri, ukioga unaweza kuongea na simu hata lisaa.

Ukiwa unaoga hautaitwa tena maji tayari maana utakuwa unapenda kwahiyo utaweka maji mwenyewe. Ukiwa unaoga hutapata muda wa kuongea na simu karibu na mke wako maana muda mwingi utakuwa bafuni hivyo hutaulizwa maswali na utakuwa ukitoka kuoga muda ni wa kujiandaa na kutoka.

OGA MKUU! 😂
🤣🤣🤣🤣mkuu naona umebembea na point ya kuoga tu ndo chanzo Cha yote.
 
Nina miezi miwili nimeoa ila hizo ndo kero ambazo nakutana nazo,na kiukweli zinakeraaa

1;Ku deal Na wakwe,mashemeji Na mawifi
kuna mashemej ni wasumbufu asee,yaani anaeza kupigia simu af hana cha maana Na akaforce muongee nusu saa Na huezi mkatia simu.tena bora awe mjini wakiwa wa vijijini utakoma.af shida zao zote zinakua zako

2;kula chakula ambacho amependa mke wako siku hiyo.
unaeza toka kwenye miangaiko siku hyo ukawa Na hamu ya ugali samaki ila ukakuta kapika kande la nazi, af anaanza kusifia sifia lilivyo tamu.inakeraa
Saa nyingine ukimpgia simu mapema umwambie apike nn anakwambia ashanunua vifaa,hata kama bado atakudanganya ilimradi apike anachotaka kula siku hyo

3;kuwekewa maji ya kuoga af siku hyo hutak hata kuyaona maji.
utaskia honey nshakuekea maji kaoge,dah inakera Na huezi kataa

4;kukosa uhuru
ukipigiwa simu tu ukamaliza kuongea unaanza kuulizwa alikua nan?
Hapo unaanza kujieleza inform of essay
To be continued......
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] sasa apo kero ipo wapi mzee au ndo umevurugwa
 
Kunta fanya kama meja kunta act kufa hata siku mbili unaweza nusuru ndoa.
 
Hiyo namba 4 noma[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Kama kuoga tuu unaona shida basi utakuwa huna jema wewe....

Na utakula makande mpaka akili ikukae sawa..!!
 
Back
Top Bottom