Nimeoa nina miezi miwili lakini naona kero kwa mambo haya

Nimeoa nina miezi miwili lakini naona kero kwa mambo haya

Hiyo namba mbili inaonyesha ni jinsi gani wewe na mkeo hamna mawasiliano kitu ambacho inawabidi mubadilike.

Labda nikwambie tu ndoa nzuri ni ile yenye masikizano na hata maelewano hivyo sio mbaya mkajijengea tabia ya kuzungumza na huyo mkeo kabla hajapika mkaelewana kile chakula ambacho kila mmoja atakifurahia kwa siku hiyo ndo kikawa kinapikwa.

Na ndio ndoa zipo hivyo, hapo mtaifurahia kila siku.
 
Nina miezi miwili nimeoa ila hizo ndo kero ambazo nakutana nazo,na kiukweli zinakeraaa

1;Ku deal Na wakwe Na mashemeji
kuna mashemej ni wasumbufu asee,yaani anaeza kupigia simu af hana cha maana Na akaforce muongee nusu saa Na huezi mkatia simu.tena bora awe mjini wakiwa wa vijijini utakoma.af shida zao zote zinakua zako

2;kula chakula ambacho amependa mke wako siku hiyo.
unaeza toka kwenye miangaiko siku hyo ukawa Na hamu ya ugali samaki ila ukakuta kapika kande la nazi, af anaanza kusifia sifia lilivyo tamu.inakeraa
Saa nyingine ukimpgia simu mapema umwambie apike nn anakwambia ashanunua vifaa,hata kama bado atakudanganya ilimradi apike anachotaka kula siku hyo

3;kuwekewa maji ya kuoga af siku hyo hutak hata kuyaona maji.
utaskia honey nshakuekea maji kaoge,dah inakera Na huezi kataa

4;kukosa uhuru
ukipigiwa simu tu ukamaliza kuongea unaanza kuulizwa alikua nan?
Hapo unaanza kujieleza inform of essay
To be continued......
Hakuna option ya taraka uondoke kifungoni mkuu? Vipi kuhusu mbunye unapewa?
 
Mindset tu
Mm naona zote ni faida
Kama mashemeji na wakwe wamekua kero - jichetue akili na wewe Anza kuwapiga mizinga . Watakimbia wote
 
Yani mzee baba unagubu balaa,hiyo ndoa Tia Tia majii sidhani kama miezi sita utatoboa Kama hutabadilisha fikira zako
 
Hiki ni kipimo cha akili yako ujue

Kwa nini mwanaume anaoa

Mwanaume anaoa baada ya kuwa na uwezo wa kujihudumia yeye mwenyewe toshelevu, na ziada Sasa hiyo ziada ndiyo ya kumhudumia mke.

Mbali na hapo Akili yako ndo inaanza kupata majaribu pindi tu unapooa

Hatuna ushauri sana juu yako zaidi ya kukuambia uwe unafanya vikao na akili yako uifundishe kutatua dhiruba za ndoa yako na kumwomba Mungu akupe akili njema ya kudili na Mungu wako na ndoa yako

Kumbuka ndoa yako isije ikaharibu uhusiano wako na Mungu wako
 
Nina miezi miwili nimeoa ila hizo ndo kero ambazo nakutana nazo,na kiukweli zinakeraaa

1;Ku deal Na wakwe Na mashemeji
kuna mashemej ni wasumbufu asee,yaani anaeza kupigia simu af hana cha maana Na akaforce muongee nusu saa Na huezi mkatia simu.tena bora awe mjini wakiwa wa vijijini utakoma.af shida zao zote zinakua zako

2;kula chakula ambacho amependa mke wako siku hiyo.
unaeza toka kwenye miangaiko siku hyo ukawa Na hamu ya ugali samaki ila ukakuta kapika kande la nazi, af anaanza kusifia sifia lilivyo tamu.inakeraa
Saa nyingine ukimpgia simu mapema umwambie apike nn anakwambia ashanunua vifaa,hata kama bado atakudanganya ilimradi apike anachotaka kula siku hyo

3;kuwekewa maji ya kuoga af siku hyo hutak hata kuyaona maji.
utaskia honey nshakuekea maji kaoge,dah inakera Na huezi kataa

4;kukosa uhuru
ukipigiwa simu tu ukamaliza kuongea unaanza kuulizwa alikua nan?
Hapo unaanza kujieleza inform of essay
To be continued......
Dah bro mbona kama unazingua! Mimi sijaoa ila huwa napenda mpenzi wangu akija kunitembelea nifike home jioni baada ya kazi nikute kapika kitu chochote kizuri kama suprise, pia kuwekewa maji bila kuulizwa ni bonge la raha! Nikipigiwa simu akiuliza naongea na nani naona ana wivu wa kutunza penzi lake! Una bahati ila hujajua....!

Ila hiyo ishu ya wakwe na ndugu zake ni wewe mwenyewe ndo unawaendekeza, ukiwa unawambia uko busy na kazi watakuelewa tu na wataacha kukupigia simu muda wa kazi, na mkeo anaonekana anakujali na kukupenda so hata akigundua kuwa hupendi ongea na ndugu zake nae hatachukia....!!!! Ishi kama binadamu mzee baba sio kama robot. Take it or leave it, neno sio sheria
 
Mbona kama wewe ndo kero mkuu? Kuoga, kupikiwa unaona kero? Yupe age yako hapa.
 
Nina miezi miwili nimeoa ila hizo ndo kero ambazo nakutana nazo,na kiukweli zinakeraaa

1;Ku deal Na wakwe Na mashemeji
kuna mashemej ni wasumbufu asee,yaani anaeza kupigia simu af hana cha maana Na akaforce muongee nusu saa Na huezi mkatia simu.tena bora awe mjini wakiwa wa vijijini utakoma.af shida zao zote zinakua zako

2;kula chakula ambacho amependa mke wako siku hiyo.
unaeza toka kwenye miangaiko siku hyo ukawa Na hamu ya ugali samaki ila ukakuta kapika kande la nazi, af anaanza kusifia sifia lilivyo tamu.inakeraa
Saa nyingine ukimpgia simu mapema umwambie apike nn anakwambia ashanunua vifaa,hata kama bado atakudanganya ilimradi apike anachotaka kula siku hyo

3;kuwekewa maji ya kuoga af siku hyo hutak hata kuyaona maji.
utaskia honey nshakuekea maji kaoge,dah inakera Na huezi kataa

4;kukosa uhuru
ukipigiwa simu tu ukamaliza kuongea unaanza kuulizwa alikua nan?
Hapo unaanza kujieleza inform of essay
To be continued......
Nimependa thread yako mkuu ina uhalisia,
 
huyo mwenzio ulitafutiwa??

unaonesha ulivo chanongo yan kuwekewamaji ukaoge nako ni kero kisa hutaki kuoga!!mna kazi
Utasema alilazimishwa kuoa,
Halafu kama kitu hupendi si unamwambia mwenzako kuliko kuja kulalamika mtandaoni
 
Vitu ambavyo mim sipend:-
1.kuulizwa unaenda wapi au uko wap
2.ukimaliza kuongea na sm lazma ujieleze

Hilo la kuoga,hata mim nilpataga shda sana,unalazimishwa kuoga wakat toka asubuh nmeshnda ndani tu,yaan sjatoka hata jasho lakin unaambiwa kuoga
Acha uchafu
 
Nina miezi miwili nimeoa ila hizo ndo kero ambazo nakutana nazo,na kiukweli zinakeraaa

1;Ku deal Na wakwe Na mashemeji
kuna mashemej ni wasumbufu asee,yaani anaeza kupigia simu af hana cha maana Na akaforce muongee nusu saa Na huezi mkatia simu.tena bora awe mjini wakiwa wa vijijini utakoma.af shida zao zote zinakua zako

2;kula chakula ambacho amependa mke wako siku hiyo.
unaeza toka kwenye miangaiko siku hyo ukawa Na hamu ya ugali samaki ila ukakuta kapika kande la nazi, af anaanza kusifia sifia lilivyo tamu.inakeraa
Saa nyingine ukimpgia simu mapema umwambie apike nn anakwambia ashanunua vifaa,hata kama bado atakudanganya ilimradi apike anachotaka kula siku hyo

3;kuwekewa maji ya kuoga af siku hyo hutak hata kuyaona maji.
utaskia honey nshakuekea maji kaoge,dah inakera Na huezi kataa

4;kukosa uhuru
ukipigiwa simu tu ukamaliza kuongea unaanza kuulizwa alikua nan?
Hapo unaanza kujieleza inform of essay
To be continued......
acha utoto kua kijana ulipooa ulitegemea nini ndoa ni tamu tu badili mtazamo wako
 
Nina miezi miwili nimeoa ila hizo ndo kero ambazo nakutana nazo,na kiukweli zinakeraaa

1;Ku deal Na wakwe Na mashemeji
kuna mashemej ni wasumbufu asee,yaani anaeza kupigia simu af hana cha maana Na akaforce muongee nusu saa Na huezi mkatia simu.tena bora awe mjini wakiwa wa vijijini utakoma.af shida zao zote zinakua zako

2;kula chakula ambacho amependa mke wako siku hiyo.
unaeza toka kwenye miangaiko siku hyo ukawa Na hamu ya ugali samaki ila ukakuta kapika kande la nazi, af anaanza kusifia sifia lilivyo tamu.inakeraa
Saa nyingine ukimpgia simu mapema umwambie apike nn anakwambia ashanunua vifaa,hata kama bado atakudanganya ilimradi apike anachotaka kula siku hyo

3;kuwekewa maji ya kuoga af siku hyo hutak hata kuyaona maji.
utaskia honey nshakuekea maji kaoge,dah inakera Na huezi kataa

4;kukosa uhuru
ukipigiwa simu tu ukamaliza kuongea unaanza kuulizwa alikua nan?
Hapo unaanza kujieleza inform of essay
To be continued......
Daha.Watoto wameoana
 
Back
Top Bottom