mbwangali
JF-Expert Member
- Jan 8, 2021
- 2,266
- 4,057
😄😄Dada umekuwa wa motoKukupa ushauri upi tena?
Piga nyapu hiyo....anadhani alikuja kununa humo ndani🤒
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😄😄Dada umekuwa wa motoKukupa ushauri upi tena?
Piga nyapu hiyo....anadhani alikuja kununa humo ndani🤒
Akili Yako bado ndogo sanaa 👍 👍 yaan mkeo kununa kidogo tuuh umekasirika je?ukichapiwa si utakufa wewNimeoa wiki mbili tu zilizopita, lakini tayari nimechoshwa na maisha haya. Nahisi kama ninaishi maisha ya kipumbavu . Nashangaa jinsi watu ambao wamekuwa kwenye ndoa kwa miaka mitano au zaidi wanawezaje kuvumilia huu ujinga!
Niko kitandani na huyu Binadamu , lakini ameninunia tangu jana. Nimejaribu kuzungumza naye, lakini hataki kuonyesha ushirikiano .
Nafikiria kumfukuza arudi kwao.
Nadhani ni bora niishi peke yangu kuliko kuishi na mtu huyu.
Ninahisi kuchanganyikiwa na kukata tamaa. Je, kuna mtu yeyote anaweza kunipa ushauri?
🤣🤣🤣🤣🥴😄😄Dada umekuwa wa moto
Hivi unaweza kuthibitisha kwamba nimeoa kwa shinikizo la familia au umejisikia kuandika tu?nyie mnaooa kwa mashinikizo ya familia huwa mnateseka au wakati mwingine kuwatesa sana wenza wenu.
Mimi wa kwangu nikiongea na simu nikawa naitikia tu maneno machache na mafupi kama poa,sawa,nakuja au baadae hilo ni tatzo mtu ananuna anaweza rusha hata kisuNatamani ningewasikiliza kataa ndoa! Uhuru sina , namba ngeni ikipigwa yeye ni wa kwanza kupokea.
HakujuqUlilazimishwa
Akili ndogo inapimwa hivi? Basi na wewe akili yako haijitoshelezi. Idiot!Akili Yako bado ndogo sanaa [emoji106] [emoji106] yaan mkeo kununa kidogo tuuh umekasirika je?ukichapiwa si utakufa wew
Mwambie Siri ya ndoa ni uvumlivu sio kupiga mzigo tuhShida ya kuingia kwenye ndoa ukiwa haupo tayari madhara yake ndio hayo. Ndoa sio majaribio, kaa na mwenzako uyamalize.
Naam tukiwashauri wanatuona malofa ona sasa kinachowakutaUshauri wa Kataa ndoa uliupuuzia, kula chuma hiko
Duh!..Nimeoa wiki mbili tu zilizopita, lakini tayari nimechoshwa na maisha haya. Nahisi kama ninaishi maisha ya kipumbavu . Nashangaa jinsi watu ambao wamekuwa kwenye ndoa kwa miaka mitano au zaidi wanawezaje kuvumilia huu ujinga!
Niko kitandani na huyu Binadamu , lakini ameninunia tangu jana. Nimejaribu kuzungumza naye, lakini hataki kuonyesha ushirikiano .
Nafikiria kumfukuza arudi kwao.
Nadhani ni bora niishi peke yangu kuliko kuishi na mtu huyu.
Ninahisi kuchanganyikiwa na kukata tamaa. Je, kuna mtu yeyote anaweza kunipa ushauri?
Kaka umri usikufunge kabisa mi nasubri muda wanguHapana mkuu , kama tendo upatakanaji wake ulikuwa sio kipengele mkuu, shida nilikuwa nimeangalia umri wangu.
Sas kununa kidogo tuuh. Tafuta Uzi niliupost JuziAkili ndogo inapimwa hivi? Basi na wewe akili yako haijitoshelezi. Idiot!
Heri ya siku ya mwanamke/wanawake🤣🤣🤣🤭
Asante sana mkuu, barikiwa sanaHeri ya siku ya mwanamke/wanawake
Ndugu inabidi uwaelewe wanawake aisee.Haya mambo hutaambiwa au kufundishwa na mchungaji wako au padre haya mambo utaambiwa na wanaume wenzio.Natamani ningewasikiliza kataa ndoa! Uhuru sina , namba ngeni ikipigwa yeye ni wa kwanza kupokea.
Mkome kuoa tulishawaonya ndoa ni utapeliNimeoa wiki mbili tu zilizopita, lakini tayari nimechoshwa na maisha haya. Nahisi kama ninaishi maisha ya kipumbavu . Nashangaa jinsi watu ambao wamekuwa kwenye ndoa kwa miaka mitano au zaidi wanawezaje kuvumilia huu ujinga!
Niko kitandani na huyu Binadamu , lakini ameninunia tangu jana. Nimejaribu kuzungumza naye, lakini hataki kuonyesha ushirikiano .
Nafikiria kumfukuza arudi kwao.
Nadhani ni bora niishi peke yangu kuliko kuishi na mtu huyu.
Ninahisi kuchanganyikiwa na kukata tamaa. Je, kuna mtu yeyote anaweza kunipa ushauri?