Nimeoa wiki mbili tu zilizopita lakini tayari nimechoshwa na maisha haya

Nimeoa wiki mbili tu zilizopita lakini tayari nimechoshwa na maisha haya

Mkuu kila mtu mwenye ndoa,kuna namna anavumilia maudhi ndani ya nyumba, hata hivyo maisha ya kwako binafsi,wewe ndiyo unajuwa utulivu wa akili na amani ndani yako inakuwaje,wengine wote tutabashiri kidogo tu,Hizo ni dalili za mapema zinazoashiria mbele hakuendeki,usisubiri upoteze muda wako boss,tunaishi mara moja tu.
Hapa gari imefika mwisho! Siwezi nikawa na sleepless night kwa sababu ya mtoto wa mtu. Uzuri ni kwamba hatuna mtoto.
 
Natamani ningewasikiliza kataa ndoa! Uhuru sina , namba ngeni ikipigwa yeye ni wa kwanza kupokea.
Pole sana mkuu, nadhani shida imeanzia hapa. Je mmeshawekana wazi kuhusu mahusiano yenu?, Je unapowasiliana na hizo namba ngeni una behave vipi?. Huenda ananuna kwa sababu anapopokea hizo simu unamkaripia/unamgombeza, kama ndivyo kaeni muelekezane vizuri kwa upendo, mtaelewana tu na maisha yatasonga mbele. Miongoni mwa taasisi zenye migogoro mikubwa katika dunia ya leo ni taasisi ya ndoa, ndoa nyingi zina migogoro, huenda humu ndani wanaokupa ushauri ya kuachana na huyo mkeo pia wana migogoro kwenye ndoa zao. So tumia hekima kufanya maamuzi badala ya mihemko.

Jiulize kwanza:
1. Chanzo cha tatizo ni nini?
2. Nani chanzo cha tatizo?
3. Je nini kifanyike ili kuondoa mzizi/chanzo cha tatizo?

Ukishapata majibu ya maswali hayo, basi suluhu itakuwa ndani ya uwezo wako.

Wanawake wengi tabia zao zinafanana, kama zipo tofauti ni ndogo sana. Leo utamuacha huyo kesho utampata ambaye ni tatizo zaidi ya huyo.

N.B. Tunapoingia kwenye ndoa tujitahidi kuwa wawazi kwa wenza wetu ili kuepusha migogoro isiyo ya lazima.
 
Nimeoa wiki mbili tu zilizopita, lakini tayari nimechoshwa na maisha haya. Nahisi kama ninaishi maisha ya kipumbavu . Nashangaa jinsi watu ambao wamekuwa kwenye ndoa kwa miaka mitano au zaidi wanawezaje kuvumilia huu ujinga!

Niko kitandani na huyu Binadamu , lakini ameninunia tangu jana. Nimejaribu kuzungumza naye, lakini hataki kuonyesha ushirikiano .

Nafikiria kumfukuza arudi kwao.

Nadhani ni bora niishi peke yangu kuliko kuishi na mtu huyu.

Ninahisi kuchanganyikiwa na kukata tamaa. Je, kuna mtu yeyote anaweza kunipa ushauri?
Umeshachelewa.

Ulitakiwa kutuuliza kabla ya kuoa. Wananzengo hatuvunji ndoa. You are on your own, linywe
 
Nimeoa wiki mbili tu zilizopita, lakini tayari nimechoshwa na maisha haya. Nahisi kama ninaishi maisha ya kipumbavu . Nashangaa jinsi watu ambao wamekuwa kwenye ndoa kwa miaka mitano au zaidi wanawezaje kuvumilia huu ujinga!

Niko kitandani na huyu Binadamu , lakini ameninunia tangu jana. Nimejaribu kuzungumza naye, lakini hataki kuonyesha ushirikiano .

Nafikiria kumfukuza arudi kwao.

Nadhani ni bora niishi peke yangu kuliko kuishi na mtu huyu.

Ninahisi kuchanganyikiwa na kukata tamaa. Je, kuna mtu yeyote anaweza kunipa ushauri?
Ndio shida ya kuingia kwenye ndoa ukiwa umezoea kubet unadhan Kila mahali Kuna double chance na cash out ...hyo Ngoma inahitaji utulivu WA akili na inaonekana kbisaa ulikuwa haupo tayar kuoa ulifata mkumbo wewe au humsikilizi mwanamke wako tambo nying
 
"Chase a check,never chase a bitch"

Mwanamke akikununia usijifanye simp kumlilia we kula buyu endelea na mitikasi yako mwenyewe then utamuona mwenyewe akirudi katika hali ya kawaida. Hivi viumbe ingawa ni mama zetu lakini bado vina upungufu wa Akili,fikra,busara na hekima.

Unahitaji uvumilivu na akili kubwa kuishi na kudumu navyo. Wewe kuwa bize na mishe zako za kusaka pesa usimuoneshe kuwa unamuhitaji sana . Jipende mwenyewe kwanza kabla ya kumpenda yeye.

Afya na amani ya moyo wako ni bora kabisa kuliko yeye ambaye mmefahamiana ukubwani tu. Akikuletea stress we chomoka nyumbani nenda out kafanye mambo yako. Kama ni muislam na umejaaliwa uwezo , Oa mke wa pili ili mzani ukae sawa.
 
Kidubashwa kimevishwa na nylon.
Sasa mbona ize jombaa ww kula buyu mok aingie kwenye period nyingine .

Kamwe mwanaume usililie Sex (Maku) kwasababu ni moja ya udhaifu mkubwa sana ambao mwanamke atautumia kukuchapia.

Akiona you desperate for sex anakunyima makusudi akijua utakuja kwake as a simp kulilia upewe mbususu.

Akifichq kipochi manyoya na wewe ficha mjegeje wako , endelea kuwa busy na mambo yako utamuona tu akikufata huku anakulilia yeye kwenye kwamba mbona umebadilikq na blabla nyingi .

Mwanaume ni mtawala na wala sio mtawaliwa.
 
Nimeoa wiki mbili tu zilizopita, lakini tayari nimechoshwa na maisha haya. Nahisi kama ninaishi maisha ya kipumbavu . Nashangaa jinsi watu ambao wamekuwa kwenye ndoa kwa miaka mitano au zaidi wanawezaje kuvumilia huu ujinga!

Niko kitandani na huyu Binadamu , lakini ameninunia tangu jana. Nimejaribu kuzungumza naye, lakini hataki kuonyesha ushirikiano .

Nafikiria kumfukuza arudi kwao.

Nadhani ni bora niishi peke yangu kuliko kuishi na mtu huyu.

Ninahisi kuchanganyikiwa na kukata tamaa. Je, kuna mtu yeyote anaweza kunipa ushauri?
Lazima anune, unataka akuchekee wakati ana nyege? Pumbavu.
 
Sitaki kuonekana Mzembe. Kesho anarudi kwao
kumfukuza ni kuonesha udhaifu wako kuwa huna njia sahihi za kutatua shida zako ktk ndoa. Hata mkweo /wakwe zako watakudharau wakisikia umemrudisha mtoto wao kwasababu amekununia.

Unachotakiwa kufanya ni simpo tu usiombe Tendo la ndoa (Maku specifically) mpaka pale atakapokulilia wewe umpe mjegeje (oombo). Muoneshe kuwa yeye si chochote kwako bali ni mpita njia kama walivyo wapita njia wengine.Hivyo balance shobo na kuwa busy na mambo yako
 
Nimeoa wiki mbili tu zilizopita, lakini tayari nimechoshwa na maisha haya. Nahisi kama ninaishi maisha ya kipumbavu . Nashangaa jinsi watu ambao wamekuwa kwenye ndoa kwa miaka mitano au zaidi wanawezaje kuvumilia huu ujinga!

Niko kitandani na huyu Binadamu , lakini ameninunia tangu jana. Nimejaribu kuzungumza naye, lakini hataki kuonyesha ushirikiano .

Nafikiria kumfukuza arudi kwao.

Nadhani ni bora niishi peke yangu kuliko kuishi na mtu huyu.

Ninahisi kuchanganyikiwa na kukata tamaa. Je, kuna mtu yeyote anaweza kunipa ushauri?
 
Nimeoa wiki mbili tu zilizopita, lakini tayari nimechoshwa na maisha haya. Nahisi kama ninaishi maisha ya kipumbavu . Nashangaa jinsi watu ambao wamekuwa kwenye ndoa kwa miaka mitano au zaidi wanawezaje kuvumilia huu ujinga!

Niko kitandani na huyu Binadamu , lakini ameninunia tangu jana. Nimejaribu kuzungumza naye, lakini hataki kuonyesha ushirikiano .

Nafikiria kumfukuza arudi kwao.

Nadhani ni bora niishi peke yangu kuliko kuishi na mtu huyu.

Ninahisi kuchanganyikiwa na kukata tamaa. Je, kuna mtu yeyote anaweza kunipa ushauri?
Ulidate naye kwa muda gani kabla ya kumuoa?
 
Sampuli ya wanawake wanaopenda kununa ni vidada vifupi na hivi vimbau mbau.

Kwa ambao hawajaoa, ukiona mchumba au demu analeta mapigo.ya kuzira au kununa usijichamganye kuona, ukiingia ndani uwe na uhakika kwa mwezi una week Moja ya furaha na week tatu za kununiwa na mateso juu.
 
Huenda hukuwa umejiandaa kuishi kwenye ndoa, au hukujua nini kitakuja ukishaingia ndani. Hiyo ni sehemu ya honeymoon tu mkuu, hadi mjuane vizuri inaweza kufika hata miaka mitano.

Relax, muache anune, ahame chumba, atacheka mwenyewe na kukuomba unyumba mwenyewe. Hii ni moja ya sababu kubwa Me wengi wanakuwa na michepuko, wanashindwa kuvumilia ujinga wa kununiwa na kunyimwa papa.
 
Back
Top Bottom