Nimeoa wiki mbili tu zilizopita lakini tayari nimechoshwa na maisha haya

Nimeoa wiki mbili tu zilizopita lakini tayari nimechoshwa na maisha haya

"Chase a check,never chase a bitch"

Mwanamke akikununia usijifanye simp kumlilia we kula buyu endelea na mitikasi yako mwenyewe then utamuona mwenyewe akirudi katika hali ya kawaida. Hivi viumbe ingawa ni mama zetu lakini bado vina upungufu wa Akili,fikra,busara na hekima.

Unahitaji uvumilivu na akili kubwa kuishi na kudumu navyo. Wewe kuwa bize na mishe zako za kusaka pesa usimuoneshe kuwa unamuhitaji sana . Jipende mwenyewe kwanza kabla ya kumpenda yeye.

Afya na amani ya moyo wako ni bora kabisa kuliko yeye ambaye mmefahamiana ukubwani tu. Akikuletea stress we chomoka nyumbani nenda out kafanye mambo yako. Kama ni muislam na umejaaliwa uwezo , Oa mke wa pili ili mzani ukae sawa.
Nimekuelewa sana mkuu. Naufanyia kazi huu ushauri.
 
Pole sana mkuu, nadhani shida imeanzia hapa. Je mmeshawekana wazi kuhusu mahusiano yenu?, Je unapowasiliana na hizo namba ngeni una behave vipi?. Huenda ananuna kwa sababu anapopokea hizo simu unamkaripia/unamgombeza, kama ndivyo kaeni muelekezane vizuri kwa upendo, mtaelewana tu na maisha yatasonga mbele. Miongoni mwa taasisi zenye migogoro mikubwa katika dunia ya leo ni taasisi ya ndoa, ndoa nyingi zina migogoro, huenda humu ndani wanaokupa ushauri ya kuachana na huyo mkeo pia wana migogoro kwenye ndoa zao. So tumia hekima kufanya maamuzi badala ya mihemko.

Jiulize kwanza:
1. Chanzo cha tatizo ni nini?
2. Nani chanzo cha tatizo?
3. Je nini kifanyike ili kuondoa mzizi/chanzo cha tatizo?

Ukishapata majibu ya maswali hayo, basi suluhu itakuwa ndani ya uwezo wako.

Wanawake wengi tabia zao zinafanana, kama zipo tofauti ni ndogo sana. Leo utamuacha huyo kesho utampata ambaye ni tatizo zaidi ya huyo.

N.B. Tunapoingia kwenye ndoa tujitahidi kuwa wawazi kwa wenza wetu ili kuepusha migogoro isiyo ya lazima.
Asante kwa ushauri murua.Nitajaribu kujifanyia mimi mwenyewe assessment ya kinifu kabla sijaongea naye tena kuhusu hii tabia.
 
😹😹😹 Wala usimfukuze, na wewe nuna mara kumi zaidi yake..!!

Au km vipi si umpelekee moto kisirani kiishe....!!
Wanawake tunakuwaga na nyege zinazoambatana na visirani mkuu, piga mashine. Hujapitia kwenye vikao vya kiumeni?
 
Nimeoa wiki mbili tu zilizopita, lakini tayari nimechoshwa na maisha haya. Nahisi kama ninaishi maisha ya kipumbavu . Nashangaa jinsi watu ambao wamekuwa kwenye ndoa kwa miaka mitano au zaidi wanawezaje kuvumilia huu ujinga!

Niko kitandani na huyu Binadamu , lakini ameninunia tangu jana. Nimejaribu kuzungumza naye, lakini hataki kuonyesha ushirikiano .

Nafikiria kumfukuza arudi kwao.

Nadhani ni bora niishi peke yangu kuliko kuishi na mtu huyu.

Ninahisi kuchanganyikiwa na kukata tamaa. Je, kuna mtu yeyote anaweza kunipa ushaurwa

Nimeoa wiki mbili tu zilizopita, lakini tayari nimechoshwa na maisha haya. Nahisi kama ninaishi maisha ya kipumbavu . Nashangaa jinsi watu ambao wamekuwa kwenye ndoa kwa miaka mitano au zaidi wanawezaje kuvumilia huu ujinga!

Niko kitandani na huyu Binadamu , lakini ameninunia tangu jana. Nimejaribu kuzungumza naye, lakini hataki kuonyesha ushirikiano .

Nafikiria kumfukuza arudi kwao.

Nadhani ni bora niishi peke yangu kuliko kuishi na mtu huyu.

Ninahisi kuchanganyikiwa na kukata tamaa. Je, kuna mtu yeyote anaweza kunipa ushauri?
Washauri na wadogo zako oa mlezi wa watoto wako husioe kwa ajili ya nyege kwenye ndoa hakuna mapenzi, we unadhani wote wanaochepuka kwamba hawa wanawake ndani
 
Kukupa ushauri upi tena?
Piga nyapu hiyo....anadhani alikuja kununa humo ndani🤒
Madogo wa buku mbili hawa, mtu kanuna huku anamsogezea kalio yeye yuko bize kuandika uzi jf. Idiot
 
Nimeoa wiki mbili tu zilizopita, lakini tayari nimechoshwa na maisha haya. Nahisi kama ninaishi maisha ya kipumbavu . Nashangaa jinsi watu ambao wamekuwa kwenye ndoa kwa miaka mitano au zaidi wanawezaje kuvumilia huu ujinga!

Niko kitandani na huyu Binadamu , lakini ameninunia tangu jana. Nimejaribu kuzungumza naye, lakini hataki kuonyesha ushirikiano .

Nafikiria kumfukuza arudi kwao.

Nadhani ni bora niishi peke yangu kuliko kuishi na mtu huyu.

Ninahisi kuchanganyikiwa na kukata tamaa. Je, kuna mtu yeyote anaweza kunipa ushauri?
Hiki kizazi kina wanaume legelege kama utumbo.
Sasa kinuniwa tu umechanganyikiwa na kukata tamaa, ungemfumania je?
 
Nimeoa wiki mbili tu zilizopita, lakini tayari nimechoshwa na maisha haya. Nahisi kama ninaishi maisha ya kipumbavu . Nashangaa jinsi watu ambao wamekuwa kwenye ndoa kwa miaka mitano au zaidi wanawezaje kuvumilia huu ujinga!

Niko kitandani na huyu Binadamu , lakini ameninunia tangu jana. Nimejaribu kuzungumza naye, lakini hataki kuonyesha ushirikiano .

Nafikiria kumfukuza arudi kwao.

Nadhani ni bora niishi peke yangu kuliko kuishi na mtu huyu.

Ninahisi kuchanganyikiwa na kukata tamaa. Je, kuna mtu yeyote anaweza kunipa ushauri?
Hapo ndo kwanza kaanza vituko,bado hajaanza kuiba pesa
 
Unapokuwa na demu wako mnaishi naye usiwe serious Sana make her a.friend than a wife
Msaidie kazi za nyumban unapokuwa upo, fanyeni outing

Kuwa serious kwenye tabia za umalaya tu kwingine relax
 
Ndugu inabidi uwaelewe wanawake aisee.Haya mambo hutaambiwa au kufundishwa na mchungaji wako au padre haya mambo utaambiwa na wanaume wenzio.
1.Jitahidi usimind vitu vidogo hivyo
2.Wanawake wako very complex kuliko wanaume - wanahisia na kusumbuliwa na vitu vingi.
3.Jifunze mkeo akinuna usimchokonoe na kupambana kujua tatizo ni nini au ukaanza kujihisi.Utakuta hata wewe huusiki wala hakuwazi wewe - hormones zimechangamka au ana mambo personal yanamsumbua
4.Kuwa busy: na kama huwezi basi nenda katembee huko kwa wadau piga moja mbili ukirudi nyumbani unapumzika
5.Usilazimishe kula mzigo kama unavyoshauriwa humu - utazidi kuharibu - just give her space atakuwa tu sawa.
6.Tambua hata unyumba jiandae kupitisha hata miezi 4 - usije sasa ukarudi humu kuanzisha uzi wa kuvunja ndoa kisa mzigo.
7.Uliza wanaume wenzio wanasurvive vipi then jifunze, acha kulalamika mitandaoni au kwa watu wa mtaani ovyo utamdhalilisha na wote mtajivunjia heshima.
Unalalamika kununiwa hivi husomi mitandaoni wenzako wanafilisiwa na wake zao wa ndoa wanarudi kuwa maskini.Ishi na mkeo kwa akili - muelewe, mchukulie madhaifu yake, sononeka, muonee huruma, they are very weak physically, emotionally n.k Wanaume wote unaokutana nao nje huko wana mabalaa hili la kwako cha mtoto - wengine wanakutamia kabisa - watu wanabeba misalaba sio mchezo.
Ukubwa dawa ushaur mzur
 
Nimeoa wiki mbili tu zilizopita, lakini tayari nimechoshwa na maisha haya. Nahisi kama ninaishi maisha ya kipumbavu . Nashangaa jinsi watu ambao wamekuwa kwenye ndoa kwa miaka mitano au zaidi wanawezaje kuvumilia huu ujinga!

Niko kitandani na huyu Binadamu , lakini ameninunia tangu jana. Nimejaribu kuzungumza naye, lakini hataki kuonyesha ushirikiano .

Nafikiria kumfukuza arudi kwao.

Nadhani ni bora niishi peke yangu kuliko kuishi na mtu huyu.

Ninahisi kuchanganyikiwa na kukata tamaa. Je, kuna mtu yeyote anaweza kunipa ushauri?
We ni Dulla? Na mkeo ni samia? Ndoa yenu nimehudhuria
 
😹😹😹 Wala usimfukuze, na wewe nuna mara kumi zaidi yake..!!

Au km vipi si umpelekee moto kisirani kiishe....!!
Wanawake tunakuwaga na nyege zinazoambatana na visirani mkuu, piga mashine. Hujapitia kwenye vikao vya kiumeni?
Wakubwa mnayajua madhaifu yenu kumbe
 
Back
Top Bottom