Nimeoa wiki mbili tu zilizopita lakini tayari nimechoshwa na maisha haya

Nimekuelewa sana mkuu. Naufanyia kazi huu ushauri.
 
Asante kwa ushauri murua.Nitajaribu kujifanyia mimi mwenyewe assessment ya kinifu kabla sijaongea naye tena kuhusu hii tabia.
 
😹😹😹 Wala usimfukuze, na wewe nuna mara kumi zaidi yake..!!

Au km vipi si umpelekee moto kisirani kiishe....!!
Wanawake tunakuwaga na nyege zinazoambatana na visirani mkuu, piga mashine. Hujapitia kwenye vikao vya kiumeni?
 

Washauri na wadogo zako oa mlezi wa watoto wako husioe kwa ajili ya nyege kwenye ndoa hakuna mapenzi, we unadhani wote wanaochepuka kwamba hawa wanawake ndani
 
Kukupa ushauri upi tena?
Piga nyapu hiyo....anadhani alikuja kununa humo ndani🤒
Madogo wa buku mbili hawa, mtu kanuna huku anamsogezea kalio yeye yuko bize kuandika uzi jf. Idiot
 
Hiki kizazi kina wanaume legelege kama utumbo.
Sasa kinuniwa tu umechanganyikiwa na kukata tamaa, ungemfumania je?
 
#kumbuka huyo sio Dada ako...Chakata kiroho mbaya bila huruma!!!

Acha kulia lia hapa
 
Hapo ndo kwanza kaanza vituko,bado hajaanza kuiba pesa
 
Unapokuwa na demu wako mnaishi naye usiwe serious Sana make her a.friend than a wife
Msaidie kazi za nyumban unapokuwa upo, fanyeni outing

Kuwa serious kwenye tabia za umalaya tu kwingine relax
 
Ukubwa dawa ushaur mzur
 
We ni Dulla? Na mkeo ni samia? Ndoa yenu nimehudhuria
 
😹😹😹 Wala usimfukuze, na wewe nuna mara kumi zaidi yake..!!

Au km vipi si umpelekee moto kisirani kiishe....!!
Wanawake tunakuwaga na nyege zinazoambatana na visirani mkuu, piga mashine. Hujapitia kwenye vikao vya kiumeni?
Wakubwa mnayajua madhaifu yenu kumbe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…