Namshakende
JF-Expert Member
- Sep 23, 2021
- 671
- 1,644
- Thread starter
- #21
Kidubashwa kimevishwa na nylon.Kiduduwasha anatoa au kakunyima kiduduwasha chake?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kidubashwa kimevishwa na nylon.Kiduduwasha anatoa au kakunyima kiduduwasha chake?
Ndio mnajuana sasa. Kujuana sio kukutanisha sehemu za siri tu. Karibu chamaniNimeoa wiki mbili tu zilizopita, lakini tayari nimechoshwa na maisha haya. Nahisi kama ninaishi maisha ya kipumbavu . Nashangaa jinsi watu ambao wamekuwa kwenye ndoa kwa miaka mitano au zaidi wanawezaje kuvumilia huu ujinga!
Niko kitandani na huyu Binadamu , lakini ameninunia tangu jana. Nimejaribu kuzungumza naye, lakini hataki kuonyesha ushirikiano .
Nafikiria kumfukuza arudi kwao.
Nadhani ni bora niishi peke yangu kuliko kuishi na mtu huyu.
Ninahisi kuchanganyikiwa na kukata tamaa. Je, kuna mtu yeyote anaweza kunipa ushauri?
Chama ni kigumu kama maisha yenyewe ni hayo hapana aiseeNdio mnajuana sasa. Kujuana sio kukutanisha sehemu za siri tu. Karibu chamani
Subiri mwezi uandameNimeoa wiki mbili tu zilizopita, lakini tayari nimechoshwa na maisha haya. Nahisi kama ninaishi maisha ya kipumbavu . Nashangaa jinsi watu ambao wamekuwa kwenye ndoa kwa miaka mitano au zaidi wanawezaje kuvumilia huu ujinga!
Niko kitandani na huyu Binadamu , lakini ameninunia tangu jana. Nimejaribu kuzungumza naye, lakini hataki kuonyesha ushirikiano .
Nafikiria kumfukuza arudi kwao.
Nadhani ni bora niishi peke yangu kuliko kuishi na mtu huyu.
Ninahisi kuchanganyikiwa na kukata tamaa. Je, kuna mtu yeyote anaweza kunipa ushauri?
Kesho lazima arudi kwaoNi wako huyo mpaka death do you part
Naona mnateteana tu, ndo zenu.Sasa hapo nani hayupo tayari huyo aliyenuna au huyu aliyeomba ushauri??Shida ya kuingia kwenye ndoa ukiwa haupo tayari madhara yake ndio hayo. Ndoa sio majaribio, kaa na mwenzako uyamalize.
Asante sana
Mkuu Nadhani hukuwa tayari kwa ndoa, ilitakiwa ule ule kwanza life! Umeoa kabla ya wakati wako!Nimeoa wiki mbili tu zilizopita, lakini tayari nimechoshwa na maisha haya. Nahisi kama ninaishi maisha ya kipumbavu . Nashangaa jinsi watu ambao wamekuwa kwenye ndoa kwa miaka mitano au zaidi wanawezaje kuvumilia huu ujinga!
Niko kitandani na huyu Binadamu , lakini ameninunia tangu jana. Nimejaribu kuzungumza naye, lakini hataki kuonyesha ushirikiano .
Nafikiria kumfukuza arudi kwao.
Nadhani ni bora niishi peke yangu kuliko kuishi na mtu huyu.
Ninahisi kuchanganyikiwa na kukata tamaa. Je, kuna mtu yeyote anaweza kunipa ushauri?
Ah aht, ulichaguliwa mke? Au uliona trako ukalipenda ukasahau vingine?Chama ni kigumu kama maisha yenyewe ni hayo hapana aisee
Katika binadamu wapumbavu ambao naendelea kuwashuhudia kipindi cha huu uhai wangu basi na ww ni mmoja wapo....Stupid!Nimeoa wiki mbili tu zilizopita, lakini tayari nimechoshwa na maisha haya. Nahisi kama ninaishi maisha ya kipumbavu . Nashangaa jinsi watu ambao wamekuwa kwenye ndoa kwa miaka mitano au zaidi wanawezaje kuvumilia huu ujinga!
Niko kitandani na huyu Binadamu , lakini ameninunia tangu jana. Nimejaribu kuzungumza naye, lakini hataki kuonyesha ushirikiano .
Nafikiria kumfukuza arudi kwao.
Nadhani ni bora niishi peke yangu kuliko kuishi na mtu huyu.
Ninahisi kuchanganyikiwa na kukata tamaa. Je, kuna mtu yeyote anaweza kunipa ushauri?
Hahaha! Hii ni pointBora uchoke mapema kuliko uchelewe kuchoka [emoji23]
Bora wewe umemuuliza .Naona mnateteana tu, ndo zenu.Sasa hapo nani hayupo tayari huyo aliyenuna au huyu aliyeomba ushauri??
I did not! I refuse to justify my stupidity when you seem to be even more stupid than I am.Katika binadamu wapumbavu ambao naendelea kuwashuhudia kipindi cha huu uhai wangu basi na ww ni mmoja wapo....Stupid!